zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
tuombe radhi tafadhali
Kwa lipi zaidi? Kama wewe ni bikra nakuomba radhi.
tuombe radhi tafadhali
Mmh kuna raha yake kuwa na mwanaume aliye na experience kwenye hayo mambo! Sasa mambo ya beginners...daah.. But either way taratibu atazoea..na pengine akaja kuwa mtaalam balaa..
Ila unataka kusema wewe ni (wanaitaje vile "virgin" au?) Mh..
Hebu niambie,maana yake nini?
Wanasema eti bikra ya mwanamke imekua adimu kama mkojo wa kuku!