Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
- Thread starter
- #41
mambo ya mapenzi hayana wa kujisifu bana we style ni zile zile zana ni zile zile labda,kama kuna mtu ambae unaweza kumtaja anasifika tanzania yote kwa kuchezea k mtaje,nenda kawatafute mabubu,vichaa,vilema,vipofu awaion lakni utamu wanauhc.tusipotoshane kwamba kunautaalam flan hapo.umeish na mumeo miaka kumi bado mnafanyia kitandan kama nyie wataalam kafanyieni kwenye mti ata dining,kitchn,sitng room na stoo amjawai fanyia mapenz then unajisfu upo experiencd,wazungu na ujanja wao wote wamegundua kupeana ti go,kulamb koni na kuingia chumvn.we kama upo kweny ndoa mmeo au mkeo alamb wala uingii chumvn nyie bado ni washamb mnakuwa kama watu wa mwaka 47.
Kudadadeki!!!!!!!. . . . . . . . . . . .!