Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Huu mtindo wa wanwake wanakua na kiburi na jeuri wakiwa period Inaboa Sana.
Unakuta unauliza swali anajibu kwa jeuri ama anajifanya hasikii.
Namna hii tukichepuka msitulaumu.
Wanaume wale wanaokutana na changamoto ya namna hii kwenye ndoa zenu kujeni hapa tuwaseme hawa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta unauliza swali anajibu kwa jeuri ama anajifanya hasikii.
Namna hii tukichepuka msitulaumu.
Wanaume wale wanaokutana na changamoto ya namna hii kwenye ndoa zenu kujeni hapa tuwaseme hawa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app