Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
- Thread starter
- #21
Hiyo ni kweli kabisa mdau. Mara ya kwanza sikuamini, nkapiga tena nikaambiwa hivyo.Nkapiga mara ya tatu........ hivyohivyo.Nikaamini wanamaanisha. Ila mdau mmoja hapa kanifafanulia kwamba tigo wanamfungia mteja ambaye amekopa sana muda wa maongezi na kushindwa kulipa.Nkaelewa.Kama ni kweli hiyo tigo ni tatizo kubwa sana.