DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 271
- Thread starter
-
- #81
Tafuta mwanamke, halafu angalia kama anafaa kuwa mke. Hakuna mke huko nje, labda mke wa mtu!
Wengine tulikuwa tumelala, wakatoka upande wa ubavu wa kushoto
Ndio hilo linalonitatizaWanawake mbona wapo wengi lakini wake wa kuoa wapo wachache sana
Ndio hilo linalonitatiza
Jambo la kwanza muhimu, kama unaamini katika MUNGU tenga muda, ikiwezekana ufunge uliombee sana jambo hilo weka hata signs ktk ombi lako.. mfano "nikiona ishara hii basi huyo ndiyo mke wangu"..Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Ulipotea kumbe upo! Nmekumissje, ID iko banned miezi mitatu nikaja na hiiMuombe Mungu akukutanishe na alieumbwa kwa ajili yako
Mwanamke inatakiwa utulize ubongo maana hii ni process na sio kutangatanga kila sehemu. Weka vigezo vyako japo hakna MTU atakaye kuwa na vitu vyote unavyo taka, ila ukiona baadhi anavyo vingne mtaelekezana huko mtakako kuwa. Be carefullHabari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Mkuu huyu vipi ni muhumini wa mtumishi AskofuView attachment 1092357
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unampeleka kwa gwajiboy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Mkuu nakushauri uende KANISA LA UFUFUO NA UZIMA PALE KUNA WATOTO KONKI
Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umenichekesha kijanaHabari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
AsanteUkitaka mke mzuri mwangalie tabia za Mama wa Mke unae muoa,
Before ya mke wangu, nilikuwa na Binti mmoja tukienda kula tunaagiza Sato wawili na tulipo bakisha haangaiki kuomba afungiwe na mbaya zaidi alikuwa anaagiza vitu vyenye bei harafu vinamshinda.
Oohoo Mungu wangu... Nakumbuka first time nipo out na huyu ambae ni Mke wangu.. Alisema tuagize Sato mmoja na chip's Mbili... Na tulibakisha kwa sababu stori zilichukua nafasi kubwa.. Aliomba afungiwe kisha akaniambia chukua ukifika Home utakula... Nilimuona huyu vipi aoni noma hii sehemu tulivu hivi harafu mambo ya kufunga funga.. Ilikuwa saa nne usiku.
Nilivyo fika home nikavuta bangi kisha ndio nikazama kwenye tathimini juu yake... Ganja inaisha kichwani saa nane usiku njaa ya hatari.... Nikakumbuka ooohoo I have something. Mke mwema utamjua kwa Matendo na tabia zake.
Tatizo vijana mmeshatifuana sana. Sasa inafikia wakati wa kuoa/kuolewa kila mwanamke/mwanaume aliyekuzunguka ndo walewale mliotifuana so mnaonana sio. Women most of the times wanakuwa wako tayari kucompromise lakini vijana wa kiume hawataki. Yani nawahakikishia mtakaooana nao ndo hao hao mnapoteza muda tu!Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...