mshanar jr

  1. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Nimeungana na Watibeli

    Leo nilikaa kwa kutulia kuna bidada mmoja namuelewa sana kwenye moja nambili juzi kat alikua nachangamoto ya kifedha ukweli niliumia sana nikashindwa kumsaidia ingawa ni sehemu ya furaha yangu halii hii ilipelekea nikawa mnyonge sana kesho yake amenicheki walau nimpush alipokwama kila nikipiga...
  2. kijana mpambanaji

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu achaguliwa kuchezesha kombe la dunia mwaka huu

    Nimepata funzo kubwa kwenye maisha, huwezi amini huyu ni rafiki yangu, kiasi hatuwezi pishana bila kusalimiana. According to Micky jr, mtu WA michezo kadai kaka yangu kachaguliwa kuchezesha kombe la dunia, nimefurahi sana, kosa langu sikuomba contact, huwa si mtu wakujipendekeza, ila nilifanya...
  3. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Enyi madereva wa masafa marefu acheni roho mbaya dhidi ya wasaidizi wenu matingo

    Natumai wote ni wazima wazee kwa vijana poleni na mvua za masika zinazoharibu miundombinu yetu. Moja kwa moja nianze kwa kusema kama dereva wa masafa marefu niliyetundika daruga 2010. Uliza Congo uliza Malawi Zambia Uganda kenya Burundi rwanda hapo nikiwa na chuma cha msweden scania 113 pulling...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

    UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI. Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana. Kwa sababu wengi huwa tunataka ushahidi, naomba kila mmoja atakayepita kwenye huu uzi, akafanye utafiti wake...
  5. Jesuitdon

    JamiiForums Tanzania Simuulizi/documentari nzima ya kusisimua kwenye harakati za kuzima moto mlima Kilimanjaro na nilivyoshuhudia kifo mbele yangu lakini nikapona

    #SEHEMU YA KWANZA Naleta full documentary nilivyo husika kwenye janga la moto mlima kilimanjaro Kwanza Mimi nilishapitia mafunzo magumu ya jeshi 843Kj nadhani hii pia ilichangia kuepuka kifo. Stori inaanza asubuhi 13/10/2020 nilivyofika Marangu mtoni sehemu...
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri. Nna tatizo serious

    Mm n kijana wa 28yrs. Ilitokea kupata watoto wawili wa kike na binti wa kichaga (muuru) ambapo watoto hao wote walikuwa prematured chini ya miezi 7na walikufa wote kwa nyakati tofauti (walipishana mwaka moja). Mtoto wa wanza alikuwa prematured wa miezi6 hospital ilikataa kumtoa ingawa...
  7. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali kwa ma player na watu watu wagumu. kama wewe sio mgumu au player usisome

    Jaman habari zako? maaana najua akat unasoma uko mwenyewe!. Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kupendwa na mdada mmoja hapa jirani juzi alianza kuonyesha dalili kitambo.Mfano nikikutana nae anikumbatia kwa nguvu anafrahi ana changamka sana!. lakin mimi kusema kwel ndo walaaaaaaa...
Back
Top Bottom