Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,454
Infinix tu ndgCmu yako Aina gani?
Infinix tu ndgCmu yako Aina gani?
Na Nicole ni Heart Beat, dah kumbe unaipata😀🔥Yupo na Nicole naniliu
Nyimbo 5000 zimefikaje???Infinix tu ndg
Unataka kubisha.. or.. upewe Elimu na hizo ni nyimbo tu kuna Playlist kama 30 moja mb 189+ za masaa mawili mawiliNyimbo 5000 zimefikaje???
Huyu mwamba bora hata umsikie kwenye audio tu.Na Nicole ni Heart Beat, dah kumbe unaipata😀🔥
Mkuu usizime data nipe somo chapUnataka kubisha.. or.. upewe Elimu na hizo ni nyimbo tu kuna Playlist kama 30 moja mb 189+ za masaa mawili mawili
mkuu alicia anajua sio kuimba tu hata maisha yake sio fake. sema bado kwa sia, vipaji mkuu viangalie live sio kwenye hizi studio version. pengine Mtu mkali level za Sia labda Adele hivi?Unamzungumziaje ALICIA KEYS... huyu bdo yupo na juzi tu katoa ngoma then mfananishe na huyo Sia.
🔥Huyu mwamba bora hata umsikie kwenye audio tu.
Kwenye video zake anawala mate mademu kama hana akili nzuri.
Chochote kinachofanyika na kilichopo chini ya jua ni design yake huyo yesu.Kabla ya kumpokea Yesu maishani mwangu nilikuwa shabiki wa huyu jamaa,miaka takribani 7 iliyopita hivi sina time na mziki wa kidunia
Labda hawa wa sasa ila wale wa zaman wapo goodloh unataka ushahidi wa video? kuna wasanii feki kibao marekani,
wana lip sync na autotune, mwanamuziki anaimba anatapika nyimbo inaendelea kuimba live, mwengine anaanguka nyimbo inaendelea kuimba, wanaojua kuimba live ni wachache kuliko fake.
Titanium ft David Guetta🙌mkuu alicia anajua sio kuimba tu hata maisha yake sio fake. sema bado kwa sia, vipaji mkuu viangalie live sio kwenye hizi studio version. pengine Mtu mkali level za Sia labda Adele hivi?
halafu sia ana katabia fulani anaandikia wanamuziki wakubwa Nyimbo, kuna baadhi wanazikataa, wakikataa anaimba mwenyewe.
mfano ni Titanium Alimuandikia Alicia, akaja Akaiimba mwenyewe, pengine toka Itoke Titanium Alicia hajawahi toa Ngoma kali kama hio.
Hilo pini homa mkuu🙌nimejikuta nabubujikwa machozi nilipoona huo wimbo am taking back my love
Mimi nakwambia hakuna kama DidoHakuna kama SIA narudia hakuna kama SIA We jamaa hakuna mwanamziki anaemshinda utungaji Sia Umenielewa.!
Ebu malizia hilo jina la mwisho 😂😂😂😂😂😂Yupo na Nicole naniliu
Nitaitafta.. Kuna ile pia aliimba na mdada flani hivi.. Kama sijakosea ni Am taking back my love.. Alooh
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kama La AnorldEbu malizia hilo jina la mwisho 😂😂😂😂😂😂
Alicia anapiga vyombo vya Mzki na Anaimba Live.. huyo ndio Mtumbuizaji Bora.mkuu alicia anajua sio kuimba tu hata maisha yake sio fake. sema bado kwa sia, vipaji mkuu viangalie live sio kwenye hizi studio version. pengine Mtu mkali level za Sia labda Adele hivi?
halafu sia ana katabia fulani anaandikia wanamuziki wakubwa Nyimbo, kuna baadhi wanazikataa, wakikataa anaimba mwenyewe.
mfano ni Titanium Alimuandikia Alicia, akaja Akaiimba mwenyewe, pengine toka Itoke Titanium Alicia hajawahi toa Ngoma kali kama hio.