Enrique Iglesias

Enrique Iglesias

Nafkiri humtambui Dua Lipa vizuri..
Nisimjue Dua Lipa? Dua anaimba fresh namkubari....Lkn sio kwa Sia ...Sia hata Rihanna anaomba maji...je Dua Anaweza kusimama na Sia.


Ila kuna mdundo unaitwa Scared to be Lonely nimeshindwa kuuchoka Dua Lipa kauwa mno....sijui unaujua???


Youtube ikusaidie
Nafkiri humtambui Dua Lipa vizuri..
 
Namfahamu,ila kwa sasa siwezi kumsikiliza,ukiokoka huwa kuna configuration ya ajabu moyoni mwa mtu baadhi ya mambo yasiyo upande wa mila ya mbinguni yanakosa nguvu ndani ya mtu
Dunian hakuna alieokoka bado ila kuwa wokovu
 
Kwa nyimbo ipi mkuu The Greatest? 😂 Kuna watu wanaimba jamani.. em fatilien vizuri
mkuu kwanza nikisema kuimba simaanishi studio version, namaanisha ujue kuimba real life.

sia anajua kuimba, angalia live show zake, nenda youtube tafuta chandelier live version yoyote msikilize utaelewa ninachotetea.
 
Nisimjue Dua Lipa? Dua anaimba fresh namkubari....Lkn sio kwa Sia ...Sia hata Rihanna anaomba maji...je Dua Anaweza kusimama na Sia.


Ila kuna mdundo unaitwa Scared to be Lonely nimeshindwa kuuchoka Dua Lipa kauwa mno....sijui unaujua???


Youtube ikusaidie
Na nahisi huo wimbo umeuskia siku hizi mbili tatu.. kwa hits za Dua lipa sitaanza na huo Wimbo unaweza ukawa wa Mwisho ktk list..

Kuna Wasanii nikikutajia hapa utaanza kubabaika.. all in all.. Sia kwa upande wangu ni msanii wa kawaida mno
 
Na nahisi huo wimbo umeuskia siku hizi mbili tatu.. kwa hits za Dua lipa sitaanza na huo Wimbo unaweza ukawa wa Mwisho ktk list..

Kuna Wasanii nikikutajia hapa utaanza kubabaika.. all in all.. Sia kwa upande wangu ni msanii wa kawaida mno
Oky lkn mm pia sikuwahi kuona maajabu ya Dua Lipa kivile,hapana hapana ni kawaida tu...
 
mkuu kwanza nikisema kuimba simaanishi studio version, namaanisha ujue kuimba real life.

sia anajua kuimba, angalia live show zake, nenda youtube tafuta chandelier live version yoyote msikilize utaelewa ninachotetea.
Tukisema LIVE.. Sia anaingia kwa Mariah Carey?
 
Enrique Iglesias hamkuti dingi yake? Stop joking Bro
kwa lipi mkuu? unapoongelea Julio pengine unaongelea moja ya sauti ya kipekee kabisa ya mwanaume, ni legend of all time, enrique hajui kuimba anategemea tu computers, lete live show yoyote akiimba live.

kumbuka auto tune hata wewe inaweza kukufanya ukawa mkali hata kama una sauti mbaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom