Haiwezekani katibu mkuu wa Chadema kumaliza karibu mwaka mmoja bila kuwa na mkutano wake wa hadhara ambao anaiongoza yeye! Hapana haiwezekani! Haiwezekani katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kama Chadema kutokushikiliwa katika mahakama yoyote ile nchini kwa madai ya uchochezi mwaka mzima tangu achaguliwe/ apitishwe! Sina maana kwamba aanzishe uchochezi, hapana ila kwa nchi kama Tanzania hii ya Magufuli haiwezekani katibu mkuu wa upinzani kuwa clean for all most one year! No! Big no!
Hivi huyu Dr. Mashinji amewahi kuangalia videos za Slaa kweli? Slaa alipita katikati ya michongoma na alikuwa active kwelikweli! Kule Kagera angekuwa Slaa alishaenda siku nyingiiii na serikali ingekuwa imeshakaa vikao kwa kauli ambazo angekuwa ametoa Slaa!!
No! Mashinji sioni jipya la kisiasa kutoka kwake zaidi ya kuvaa tu suti! We are done! Mashinji gooo..!
Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!
Hapana mkuu, Dr Slaa aliangalia katiba inasemaje. Huyu wa sasa anaogopa mtu!
Naye kanda ya ziwa, atakuwa anawasaliti makamanda chini chini, apewe Lema kamanda mzuri.Sio apewe jpm??
Engine ikiharibika chama chenu kitabaki kinapiga marktime miaka yote iliyobaki.Haiwezekani katibu mkuu wa Chadema kumaliza karibu mwaka mmoja bila kuwa na mkutano wake wa hadhara ambao anaiongoza yeye! Hapana haiwezekani! Haiwezekani katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kama Chadema kutokushikiliwa katika mahakama yoyote ile nchini kwa madai ya uchochezi mwaka mzima tangu achaguliwe/ apitishwe! Sina maana kwamba aanzishe uchochezi, hapana ila kwa nchi kama Tanzania hii ya Magufuli haiwezekani katibu mkuu wa upinzani kuwa clean for all most one year! No! Big no!
Hivi huyu Dr. Mashinji amewahi kuangalia videos za Slaa kweli? Slaa alipita katikati ya michongoma na alikuwa active kwelikweli! Kule Kagera angekuwa Slaa alishaenda siku nyingiiii na serikali ingekuwa imeshakaa vikao kwa kauli ambazo angekuwa ametoa Slaa!!
No! Mashinji sioni jipya la kisiasa kutoka kwake zaidi ya kuvaa tu suti! We are done! Mashinji gooo..!
Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!
Tushawaambia..
Dr. Slaa ni level nyingine...
Ninyi kwa unyumbu wenu mkaenda kudeki barabara huku mkimuita na kumkejeli na kumpa majina kama dr mihogo nk.
Unapoona leo hii mtu kama wewe unaleta thread hapa ya kumlinganisha Slaa na Mashinji, hakika inatia kinyaa.. Ccm wenyewe wanajua Slaa alikuwa mwiba! Aliye akiongea kitu wote wanabaki vinywa wazi wasijue la kufanya!
Ona sasa, utawala wa Magufuli una mapungufu mengi sana ambayo hata mm darasa la saba nayaona wazi kabisa, lakini ninyi mnaishia kumkejeli kwa kunukuu vikauli vya rais katika hituba zake! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie hamna Katibu hapo, huyo ni TISS undercover!Haiwezekani katibu mkuu wa Chadema kumaliza karibu mwaka mmoja bila kuwa na mkutano wake wa hadhara ambao anaiongoza yeye! Hapana haiwezekani! Haiwezekani katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kama Chadema kutokushikiliwa katika mahakama yoyote ile nchini kwa madai ya uchochezi mwaka mzima tangu achaguliwe/ apitishwe! Sina maana kwamba aanzishe uchochezi, hapana ila kwa nchi kama Tanzania hii ya Magufuli haiwezekani katibu mkuu wa upinzani kuwa clean for all most one year! No! Big no!
Hivi huyu Dr. Mashinji amewahi kuangalia videos za Slaa kweli? Slaa alipita katikati ya michongoma na alikuwa active kwelikweli! Kule Kagera angekuwa Slaa alishaenda siku nyingiiii na serikali ingekuwa imeshakaa vikao kwa kauli ambazo angekuwa ametoa Slaa!!
No! Mashinji sioni jipya la kisiasa kutoka kwake zaidi ya kuvaa tu suti! We are done! Mashinji gooo..!
Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!
Sio tu anatoka kanda ya ziwa kubwa huyo ni TISS undercoverAnakihujumu chama anatoka kanda ya ziwa huyo. Atakuwa anakisaliti chama chini kwa chini , aondolewe awekwe kamanda Lema.
Gear angani imeangukia kwa senior TISS undercoverTushawaambia..
Dr. Slaa ni level nyingine...
Ninyi kwa unyumbu wenu mkaenda kudeki barabara huku mkimuita na kumkejeli na kumpa majina kama dr mihogo nk.
Unapoona leo hii mtu kama wewe unaleta thread hapa ya kumlinganisha Slaa na Mashinji, hakika inatia kinyaa.. Ccm wenyewe wanajua Slaa alikuwa mwiba! Aliye akiongea kitu wote wanabaki vinywa wazi wasijue la kufanya!
Ona sasa, utawala wa Magufuli una mapungufu mengi sana ambayo hata mm darasa la saba nayaona wazi kabisa, lakini ninyi mnaishia kumkejeli kwa kunukuu vikauli vya rais katika hituba zake! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukimtaja Dr. Slaa unajidhihirisha ulivyo uchi kifikra. Siamini hii thread ya G. Sam ninayefahamu humu JF.Hapana mkuu, Dr Slaa aliangalia katiba inasemaje. Huyu wa sasa anaogopa mtu!
Hujui kitu wewe, unayemtetea yuko kwenye payroll ya serikali, ni kijana wa serikali huyo so usitegemee kitu kipya toka kwakeG Sam nimekuelewa sana hoja yako lazima utambue majukumu ya Katibu Mkuu ni zaidi ya mikutano ya kisiasa pia hujui hali ya kisiasa iliyokuwepo?
Bora umeshtuka, wengine bado wapo gizaniHuyo jamaa namuonaga kama hatoshi vile...
Umekuja sasa tulijua tu utajitokeza, unamsema silaha kufadhiliwa na CCM! Na wewe acha ule mshahara wa TISS tukujue kama wewe ni mpambanaji kweliUkimtaja Dr. Slaa unajidhihirisha ulivyo uchi kifikra. Siamini hii thread ya G. Sam ninayefahamu humu JF.
1. Dr. Mihogo alijificha muda mrefu ndani ya CHADEMA akiwa anafanya kazi ya CCM hadi alipofadhiliwa akaishi CANADA.
2. Dr. Mihogo alipewa platform na mfumo ili mfumo utambe kuwa kuna demokrasia Tanzania.
3. Kusimamisha shughuli za kisiasa si bahati mbaya bali ni mkakati wa kunusuru mfumo mbele ya upinzani wa mfumo uliokosa mamluki ndani ya CHADEMA
4. Mpaka sasa sijaona udhaifu wa Katibu Mkuu Dr. Mashinji ndani ya mazingira ya utawala wa kidikteta uchwara uliopo.
5. Kwa kufanya kazi kimya kimya CHADEMA sasa inaungwa mkono na idadi kubwa ya washabiki na wanachama zaidi ya hapo awali.
6. Ni mfumo uliotaharuki baada ya kuona CHADEMA haiingiliki wala haiteteleki pamoja na kufanyiwa vitimbwi
7. Nashawishika kuwa wewe umekosa vyanzo vya umbeya wa kupeleka kwenye huu mfumo uchwara.
8. USISAHAU KIMYA NI JIBU PIA
lema atakua yuko lupango au mahakamani saa zote. kama ndio mnavyotaka..sawa.Anakihujumu chama anatoka kanda ya ziwa huyo. Atakuwa anakisaliti chama chini kwa chini , aondolewe awekwe kamanda Lema.
Naunga mkono hoja,Huyu mtu hafai kwa kweli, Hivi unajua kuna wapenzi/wakereketwa,wafuasi na wanachama wa CHADEMA kwa hakika hawamfahamu huyu Mashinji japo kwa sura?.Mbowe alimtoa wapi huyu?Hat kma ni mwanamikakati mzuri basi wangeendelea kumtumia kwa namna nyingine lakini kwa level ya Katibu mkuu hafai kabisa.Haiwezekani katibu mkuu wa Chadema kumaliza karibu mwaka mmoja bila kuwa na mkutano wake wa hadhara ambao anaiongoza yeye! Hapana haiwezekani! Haiwezekani katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kama Chadema kutokushikiliwa katika mahakama yoyote ile nchini kwa madai ya uchochezi mwaka mzima tangu achaguliwe/ apitishwe! Sina maana kwamba aanzishe uchochezi, hapana ila kwa nchi kama Tanzania hii ya Magufuli haiwezekani katibu mkuu wa upinzani kuwa clean for all most one year! No! Big no!
Hivi huyu Dr. Mashinji amewahi kuangalia videos za Slaa kweli? Slaa alipita katikati ya michongoma na alikuwa active kwelikweli! Kule Kagera angekuwa Slaa alishaenda siku nyingiiii na serikali ingekuwa imeshakaa vikao kwa kauli ambazo angekuwa ametoa Slaa!!
No! Mashinji sioni jipya la kisiasa kutoka kwake zaidi ya kuvaa tu suti! We are done! Mashinji gooo..!
Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!