English Medium Tanzania zimejaza wakenya tupu,serikali tuanzie hapa

Taifa la aina gani ili tena .Siku hizi JF imeingiliwa sana na vijana wa kidato cha pili,nne na wanaotokea JKT. Hivi uwezi jiuliza kua kwanini hizo shule za English Medium zinazomilikiwa na watanzania ziwaajiri watu kutoka Kenya au Uganda ? Ungejiuliza ilo bila shaka usingediriki kuandika huu upuuzi.
Pili,kukosea kwa Jaguar aimanishi kua nasisi tufanye makosa ata kama zamani tuliwai kufanya makosa ya kutaifisha n'gombe na kuchoma vifaranga pamoja na kumkataa meneja wa Vodacom kutoka Kenya.
Ni muhimu sana kujenga ujirani mwema katika Dunia hii kuliko kuwazia kuvunja.
 
Kama ni ngeli hata si tunagonga fresh... Turuhusiwe tu kuvuta mvinyo kabla ya kuingia class......

😎😎😎😄😄
 
tatizo letu kubwa watanzania ni ng'eng'e, yaani kwa mwendo wetu wa zee, zee, zeee yuu nooo ziss, kwa kweli apo hatuwezi kuwa kwepa wakenya na waganda kuwafundisha watoto wetu!
 
Kama mbwahi iwe mbwahi,Si wakenya wanataka kutuvuruga

Shule nyingi za private kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu wamejaza wakenya hapa Tanzania

Hili lipo wazi watu wa Kenya ndo wamejazana kwenye taasisi hizi za Elimu za kibinafsi

Sio humo tu,hosptali,vituo vya afya migodi wamo wakenya tena wengi mno

Kila mwaka vijana zaidi ya maelfu wanahitimu vyuo mbalimbali lakini wanalalamika hawana ajira na huku wakenya wamejazana humo kisa wanajua kiingereza cha kuombea maji ya kunywa

Serikali ya Tanzania tunaomba iangalie hili upya ,na wakenya hawa hawana vibali vya kufanya kazi Tanzania


It's about time the start to ________ !!!
 
Hisia kwenye mambo ya maana sidhani kama ni kitu kizuri. ..
Ile sentence ni ya mtu mmoja aisie na mamlaka ya kiserikali. ....
Hili la sijui na watz wajibu mapigo ni wehu uliovuka mipaka. ..

Hiyo ya kufundisha English hatuwezi lakini you need diversity to build a country!
Busara itawale..
Mkuu,kwa baadhi yetu humu ndani sio wale "GREAT THINKERS" wa zamani. Wapo wadau ambao "kelele zinatangulia mawazo" na sio "mawazo kwanza afu kelele baadae"
 
Taifa la aina gani ili tena .Siku hizi JF imeingiliwa sana na vijana wa kidato cha pili,nne na wanaotokea JKT. Hivi uwezi jiuliza kua kwanini hizo shule za English Medium zinazomilikiwa na watanzania ziwaajiri watu kutoka Kenya au Uganda ? Ungejiuliza ilo bila shaka usingediriki kuandika huu upuuzi.
Pili,kukosea kwa Jaguar aimanishi kua nasisi tufanye makosa ata kama zamani tuliwai kufanya makosa ya kutaifisha n'gombe na kuchoma vifaranga pamoja na kumkataa meneja wa Vodacom kutoka Kenya.
Ni muhimu sana kujenga ujirani mwema katika Dunia hii kuliko kuwazia kuvunja.
Akuanzae mmalize...

NO MERCY....
 
Kama mbwahi iwe mbwahi,Si wakenya wanataka kutuvuruga

Shule nyingi za private kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu wamejaza wakenya hapa Tanzania

Hili lipo wazi watu wa Kenya ndo wamejazana kwenye taasisi hizi za Elimu za kibinafsi

Sio humo tu,hosptali,vituo vya afya migodi wamo wakenya tena wengi mno

Kila mwaka vijana zaidi ya maelfu wanahitimu vyuo mbalimbali lakini wanalalamika hawana ajira na huku wakenya wamejazana humo kisa wanajua kiingereza cha kuombea maji ya kunywa

Serikali ya Tanzania tunaomba iangalie hili upya ,na wakenya hawa hawana vibali vya kufanya kazi Tanzania
ila msiwapige waacheni wafundishe na nyie nendeni mkafanye biashara kwao.
 
Kwa hili ninasimama na wa Kenya. Wana discipline ya kazi na matunda ya kazi zao yanaonekana.

Ujamaa unetuharibu, Warmtsnzania tunafanya kazi kwa kutegeana. Boss anaingia ofisini saa nne na saa saba akienda kula harudi.

Nikiwa na biashara nitaajiri Mkenya kwa ufanisi.
Waache kupiga domo sasa, wao wazuri maofisini, sisi wazuri kwenye kuchuuza. Haha bongo kila mtu ni Dalali in nature
 
Kwa hili ninasimama na wa Kenya. Wana discipline ya kazi na matunda ya kazi zao yanaonekana.
Ujamaa unetuharibu, Warmtsnzania tunafanya kazi kwa kutegeana. Boss anaingia ofisini saa nne na saa saba akienda kula harudi.
Nikiwa na biashara nitaajiri Mkenya kwa ufanisi.
Watanzania mnatabia ya kujidharau na kujitukana.. Huu ni upuuzi uliotukuka..
Hao wakenya watakuja hadi watia madole
Kwamba wao wana specialty gani au viwango gani ambavyo sisi hatuna.
Jidharau peke yako..
 
Mmeharibu mahusiano ya kimataifa kwa mikurupuko sasa mnaenda kuharibu na mahusiano na majirani wa karibu tumieni komoni sensi siyo mikurupuko .
 
Watanzania mnatabia ya kujidharau na kujitukana.. Huu ni upuuzi uliotukuka..
Hao wakenya watakuja hadi watia madole
Kwamba wao wana specialty gani au viwango gani ambavyo sisi hatuna.
Jidharau peke yako..
Hantavirus kuambiwa ukweli, maofisini mnaleta story za mtaani za jana mtaani.
 
Taifa la aina gani ili tena .Siku hizi JF imeingiliwa sana na vijana wa kidato cha pili,nne na wanaotokea JKT. Hivi uwezi jiuliza kua kwanini hizo shule za English Medium zinazomilikiwa na watanzania ziwaajiri watu kutoka Kenya au Uganda ? Ungejiuliza ilo bila shaka usingediriki kuandika huu upuuzi.
Pili,kukosea kwa Jaguar aimanishi kua nasisi tufanye makosa ata kama zamani tuliwai kufanya makosa ya kutaifisha n'gombe na kuchoma vifaranga pamoja na kumkataa meneja wa Vodacom kutoka Kenya.
Ni muhimu sana kujenga ujirani mwema katika Dunia hii kuliko kuwazia kuvunja.
Umenena vema
 
Kwa hili ninasimama na wa Kenya. Wana discipline ya kazi na matunda ya kazi zao yanaonekana.

Ujamaa umetuharibu, Watanzania tunafanya kazi kwa kutegeana. Boss anaingia ofisini saa nne na saa saba akienda kula harudi.

Nikiwa na biashara nitaajiri Mkenya kwa ufanisi.
Kuna rafiki yangu mmoja anasemaga ule msemo wa 'no hurry in Africa' ilibidi uwe 'no hurry in Tanzania'. Hilo umeongea ni sahihi kabisa hata ukienda nairobi watu wanatembea upesi upesi kuwahi mishe zao
 
Back
Top Bottom