English Medium Tanzania zimejaza wakenya tupu,serikali tuanzie hapa

3% TU ndio shule za private nchi nzima,juzi kati tamisemi walizangaza ajira za waalimu yakapokelewa maombi 94500.lakini walioajiriwa ni 4500 tu kama serikali haiwataki kiasi hicho private mtaenda kufanya nini??fundishaneni kiswahili chenu huko huko,
Kama uhitaji wa walimu ni mdogo kwa nini wanatengeneza walimu wengi?? Kuna tatizo sehemu.
 
Kama mbwahi iwe mbwahi,Si wakenya wanataka kutuvuruga

Shule nyingi za private kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu wamejaza wakenya hapa Tanzania

Hili lipo wazi watu wa Kenya ndo wamejazana kwenye taasisi hizi za Elimu za kibinafsi

Sio humo tu,hosptali,vituo vya afya migodi wamo wakenya tena wengi mno

Kila mwaka vijana zaidi ya maelfu wanahitimu vyuo mbalimbali lakini wanalalamika hawana ajira na huku wakenya wamejazana humo kisa wanajua kiingereza cha kuombea maji ya kunywa

Serikali ya Tanzania tunaomba iangalie hili upya ,na wakenya hawa hawana vibali vya kufanya kazi Tanzania
Yote haya tunaweza kuyaita mafanikio ya CCM, au sio? Maanake sasa kila jambo CCM ndio wafanikishaji.

Kama nchi hatuwezi kabisa kwenda hivi.
Chukua mfano huu ulioleta hapa wa walimu wa kufundisha lugha ya Kiingereza. Hivi Tanzania inashindwa kweli miaka yote hii kusomesha na kuajiri walimu wa kuifundisha hiyo lugha?

Hivi tatizo liko wapi jameni, mbona sielewi? Au hawa vijana wetu hawazitaki kazi hizi?
 
Kama mbwahi iwe mbwahi,Si wakenya wanataka kutuvuruga

Shule nyingi za private kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu wamejaza wakenya hapa Tanzania

Hili lipo wazi watu wa Kenya ndo wamejazana kwenye taasisi hizi za Elimu za kibinafsi

Sio humo tu,hosptali,vituo vya afya migodi wamo wakenya tena wengi mno

Kila mwaka vijana zaidi ya maelfu wanahitimu vyuo mbalimbali lakini wanalalamika hawana ajira na huku wakenya wamejazana humo kisa wanajua kiingereza cha kuombea maji ya kunywa

Serikali ya Tanzania tunaomba iangalie hili upya ,na wakenya hawa hawana vibali vya kufanya kazi Tanzania

Yaani dada na wewe unaendeleza u-Jaguar?

Halafu nilikua nakupaga heshima sana ,kumbe...

Xhzenophobia ni ugonjwa

Leo Wakenya,kesho Wapemba,keshokutwa Wachaga,mtondogoo Wahaya..then utajikupa umebaki mwenyewe!

Sweetie,get your butt chicks together!
 
Kama mbwahi iwe mbwahi,Si wakenya wanataka kutuvuruga

Shule nyingi za private kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu wamejaza wakenya hapa Tanzania

Hili lipo wazi watu wa Kenya ndo wamejazana kwenye taasisi hizi za Elimu za kibinafsi

Sio humo tu,hosptali,vituo vya afya migodi wamo wakenya tena wengi mno

Kila mwaka vijana zaidi ya maelfu wanahitimu vyuo mbalimbali lakini wanalalamika hawana ajira na huku wakenya wamejazana humo kisa wanajua kiingereza cha kuombea maji ya kunywa

Serikali ya Tanzania tunaomba iangalie hili upya ,na wakenya hawa hawana vibali vya kufanya kazi Tanzania
Tatizo nyie hamko siriaz mmejaa porojo na drama nyngi....mtu akipata mshahara humuon kazin mara mama anaumwa sijui jiran kafiwa acha kwanza mnyooshwe
 
So sisi Kenyans munataka tuende pande gan? Mitu ya Tz ni Nyang'au na iko na wivu sana,. Pia ata haichui English. Watoto zenu mutawafundisha na English yenu mbaya.
Shame on you.
Kiswahili chenyewe kibovu, hivi toka nchi yetu, ipate huru, nyinyi ndo mmetufunza Kiingereza, 'most of you are paid as under table cheap labour that's why, you are preferred kindly by many private institutions ,since they make handsomely profit by working with you! Yes, you mean a lot to us! We should be grateful to you, right? Is it true?
 
Acha ubaguzi wewe kiumbe
Wenyewe kwa wenyewe tunanyang'anyana uraia kila siku.... (kwa misigano ya kisiasa) bado tunabaguana kwa vyama... bado tunaitana kwa makabila (dukani kwa muha... kwa mchagga... kwa mpemba... kwa mkinga... kwa mhindi... kwa.... neno ndugu haliko tena!!!) Na hakuna anayekemea.... sifa yetu kubwa kuna "sisi wenyewe, wale si wenzetu!!!"
TUBAGUANE TU MPAKA TUYAONE MADHARA YA UBAGUZI MAANA VYAMA NI BORA KULIKO NCHI!!!
 
Say that again sis. Wabongo niseme wengi tu. Ni wazembe kazin. Professionalism 0. Nimefanya kaz na wazungu na si kwamba ninawasifia ila wanataka mtu anae ijali kazi yake. Wabongo hawajali kazi..
Ataitafuta kwa tabu. Akishaipata anajisahau.. ataanza kuchelewa. Kazi akamilish kwa wkt.. n.k
Wapo watanzania wachapa kazi.. ambao wanaendana na viwango. Ila wako kidogo.
Kwa hili ninasimama na wa Kenya. Wana discipline ya kazi na matunda ya kazi zao yanaonekana.

Ujamaa umetuharibu, Watanzania tunafanya kazi kwa kutegeana. Boss anaingia ofisini saa nne na saa saba akienda kula harudi.

Nikiwa na biashara nitaajiri Mkenya kwa ufanisi.
 
Say that again sis. Wabongo niseme wengi tu. Ni wazembe kazin. Professionalism 0. Nimefanya kaz na wazungu na si kwamba ninawasifia ila wanataka mtu anae ijali kazi yake. Wabongo hawajali kazi..
Ataitafuta kwa tabu. Akishaipata anajisahau.. ataanza kuchelewa. Kazi akamilish kwa wkt.. n.k
Wapo watanzania wachapa kazi.. ambao wanaendana na viwango. Ila wako kidogo.
Na wengi wachapa kazi walifanya kazi kwenye International Organisations au walisoma nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom