Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,381
Mnisamehe leo sijatoa shikamoo kwa wakubwa zangu wote wa humu Jamiiforums. I'm sincerely sorry
Mnisamehe leo sijatoa shikamoo kwa wakubwa zangu wote wa humu Jamiiforums. I'm sincerely sorry
I don't do homework, I retired from teaching Ph.D candidates how to do their homework.
I write RFCs and Release Notes.
Kama una kitu cha kubishania kiweke hapa.
TPB Bank is moronic redundancy.
Bisha.
Commonly made mistakes in language happen everywhere.
But adopting them in formal bank names is something else.
Ina maana benki haina watu wanaofanya verification na proofreading? Watu waliopewa tender kuchapisha mabango hawaulizi? Wasomi wote wa benki hawajaona hilo?
Hii si commonly made mistake, hii ni accepted way of life, si kweli kwamba wasomi wote wa Tanzania Postal bank hawaoni hili, wamelikubali tu.
Apparently sarcasm is not your strong suit.Kama mtu anatamka Tpb kumaanisha Tanzania Postal Bank ni sawa ila kwa sasa Tpb ni just a brand name,kufundisha PhD candidates on how to do their homework haimaanishi unajua ama upo sahihi kwa kila jambo PhD sio kipimo cha ufahamu/uelewa wa kila jambo.
Tamaduni za uandishi ni za kigeni. Miaka 200 tu iliyopita jamii zetu karibu zote zilikuwa katika oral tradition tu.Hapo kwenye hayo makosa kuwa accepted kwenye jamii yetu nakubaliana na wewe.
Jaribu tu, kwa mfano, kuingia kwenye tovuti ya idara ya uhamiaji Tanzania.
Inatia hadi kinyaa. Makosa ya kiuandishi all over the place mpaka mtu unajiuliza...’hivi hawa watu huwa wakishaandika hawarudii tena kusoma walichoandika ili kuhakikisha kipo sahihi?’...
Kuna kitu kina Kiranga na huyu mleta mada mnakiignore
Tanzania Postal Bank no longer exists.
TPB Bank does. This is not an acronym. This is the brand name itself. Yes it has been derived from the commonly used acronym, but it stands for itself as a name.
TPB is atomic. Do not force expanding it.
TPB Bank Plc ≠ Tanzania Postal Bank Plc
Find a writing (printed or otherwise) by TPB Bank post-rebranding that refers to the bank as Tanzania Postal Bank. Then you will have a case against the name.
Exactly. TPB is simply TPB as people have gotten used to calling it.So what does TPB stand for? Nothing?
Exactly. TPB is simply TPB as people have gotten used to calling it.
TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na bridge" kwa wakati mmoja wakati maneno yote mawili yana maana sawa???
View attachment 1171492
View attachment 1171493
NB: NSSF nipeni fao langu la mkupuo. Mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue?
Kuna kitu kina Kiranga na huyu mleta mada mnakiignore
Tanzania Postal Bank no longer exists.
TPB Bank does. This is not an acronym. This is the brand name itself. Yes it has been derived from the commonly used acronym, but it stands for itself as a name...
Kuna kitu kina Kiranga na huyu mleta mada mnakiignore
Tanzania Postal Bank no longer exists.
TPB Bank does. This is not an acronym. This is the brand name itself. Yes it has been derived from the commonly used acronym, but it stands for itself as a name...
Ningejiona najua kila kitu nisingekuja hapa, tatizo lako hujui nini ni sarcasm na nini ni serious discussion.Huyu Kiranga shida yake anajiona anajua kila kitu na hata unapomuelewesha anajitahidi kutumia vilugha vya kujitukuza kwamba ye hawezi kukosea ama anachokijua yeye ndio sahihi,dawa ni kumpuuza tu.
Ningejiona najua kila kitu nisingekuja hapa, tatizo lako hujui nini ni sarcasm na nini ni serious discussion.
Unless B stands for something else other than Bank, TPB Bank is a moronic duplication.
Sasa, what does B in TPB stand for?
Usilazimishe ujinga uwe ujanja.
Ningejiona najua kila kitu nisingekuja hapa, tatizo lako hujui nini ni sarcasm na nini ni serious discussion...
Lakini si wamesema hiyo TPB doesn’t stand for anything...
Ingeweza kuwa hata MJP Bank, etc.
Hujaona wamesema kuwa hiyo benki iliji brand upya ndo ikaanza kuitwa TPB?
Bank inayotangaza rasmi kwamba haistand for anything inatisha kuipa hela zako.Lakini si wamesema hiyo TPB doesn’t stand for anything...
Ingeweza kuwa hata MJP Bank, etc.
Hujaona wamesema kuwa hiyo benki iliji brand upya ndo ikaanza kuitwa TPB?
Kutumia jina la benki kuweka herufi zisizomaanisha kitu ni kuonesha kwamba uongozi wa benki haujui uchumi wa kutumia jina, haujui branding, haujui clear communications etc.Cc @Kiranga