johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,776
CRDB ilikuwa Bank ya serikali lakini ikabinafsishwa GM akiwa huyo Kimei au John Rubambe sikumbuki vizuri
Tulikuwa pia na Benki ya Nyumba THB, Benki ya Posta TPB, Benki ya Rasilimali TIB, Benki ya Biashara NBC na Benki Kuu BoT
Mwigullu Nchemba hebu turejeshee THB tafadhali
Na wewe Bashe acha kulia lia CRDB ni Benki ya serikali na kirefu chake ni Cooperative and Rural Development Bank sass inataka kuanzisha Benki nyingine ya nini?
Mungu anawaona mjue
Tulikuwa pia na Benki ya Nyumba THB, Benki ya Posta TPB, Benki ya Rasilimali TIB, Benki ya Biashara NBC na Benki Kuu BoT
Mwigullu Nchemba hebu turejeshee THB tafadhali
Na wewe Bashe acha kulia lia CRDB ni Benki ya serikali na kirefu chake ni Cooperative and Rural Development Bank sass inataka kuanzisha Benki nyingine ya nini?
Mungu anawaona mjue