Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Myahudi Jr II

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
6,988
Reaction score
9,213
Leo nimeona niandike jambo flan juu ya hawa watu maana wanatumia mamlaka yao vibaya sana.

Sifa kuu ya Civil Engineers sio Cheti chenye Ufaulu mkali ukijisifia umetoka na GPA kali sana chuo kikuu, sifa kuu ni uwezo wa kutatua matatizo na changamoto mbalimbali katika practical works maana hapa ndio tunakujudge hicho kichwa chako.

Civil Engineer hutakiwa kukaa ofisini ukapulizwa AC ukalipwa mshahara mzuri ukaona umemaliza ndugu yangu ipo siku hata fundi aliesoma VETA uwashi atakuaibisha.

Kuna tatizo mahali kwenye kadi hii hapa Tanzania, wengi wa maengineer wetu ni watu wa ofisini sana wakisema wanadesign ili hali ni vichekeaho tu,

Hawa maemgineer ambao ni wengi sana kwenye nchi yetu hii huwa wabishi sana, wao wanachojua ni literature tu ukimweleza kitu atarudi kusoma notes, unaweza ukamwambia Eng hapa kutokana na sababu hii hatuhitaji chuma zote hizooo, yeye atakacho fanya leta calculation sheet unajiuliza maswali mpk unakosa majibu,

Jibu unalipata, huyu ni Engineer wa Ofisini.

IMG-20180807-WA0012.jpg
 
Mbona sijaona kosa lolote lile alilofanya civil Engineer hapo,
Kama ni mtu ni structural Engineer yeye anajua alignment ya load au load inayoact sehemu husika...
Tatizo la watu ambao siyo maengineer bali wana experience na site hufanya kazi kwa mazoea...

Yaan mnajaribu sana vitu, Tafadhali heshimu fani husika mkuu, niliwahi kuandika humu juu ya watu kuheshimu taaluma
 
Mbona sijaona kosa lolote lile alilofanya civil Engineer hapo,
Kama ni mtu ni structural Engineer yeye anajua alignment ya load au load inayoact sehemu husika...
Tatizo la watu ambao siyo maengineer bali wana experience na site hufanya kazi kwa mazoea...

Yaan mnajaribu sana vitu, Tafadhali heshimu fani husika mkuu, niliwahi kuandika humu juu ya watu kuheshimu taaluma

Chukulia mfano Uwanja wa AC/INTER Milan zile cantiliver zaidi ya Metre 30 hapa bongo umewahi ziona???
 
Chukulia mfano Uwanja wa AC/INTER Milan zile cantiliver zaidi ya Metre 30 hapa bongo umewahi ziona???
Sijawahi kuziona, kwa hiyo ni kosa kwa civil Engineer? Kuona cantilever kama zile ni requirements za client
Kama bongo zingehitajika ungeziona
 
Hapa Utaona Ma engineer wanavyoteteana,hahahaa wengine wanatetea ili wazidi kuwapoteza Wenzao....Ukweli Utabaki Pale Pale,Ndio Maana Nowadays Nyumba tuu za Kawaida maeneo ya Kijichi,Kinyerezi,Mbweni,Ununio nk Unakuta nyumba Imejengwa hatari Nzuri sana tena na MTU ambae sio hata Engineer,sasa MPE kazi Engineer uone kitakachotokea na Cost juu zaidi,Haya mambo yanahitaji More Experiences, na Sio Tuu upande wa Civil hata Fani nyingine kama Umeme,Mechanical,
Unaweza kuta Electrical technician anajua zaidi kuliko Engineer,Nenda Viwandani Utajua naongea Nini,
 
Sio kweli ndugu yangu, Tanzania bado sana hawa watu wanahitaji kufanya practical

nakupa mfno: pale St joseph kuna steel structural ila bongo hii hakuna alieweza kudesign walitoa structural Kenya
Bongo hakuna steel structure? Hivi vitu unatoa wapi mkuu? Ile mkuki malls ni steel structure, nayo imetoka Kenya siyo?
 
Hapa Utaona Ma engineer wanavyoteteana,hahahaa wengine wanatetea ili wazidi kuwapoteza Wenzao....Ukweli Utabaki Pale Pale,Ndio Maana Nowadays Nyumba tuu za Kawaida maeneo ya Kijichi,Kinyerezi,Mbweni,Ununio nk Unakuta nyumba Imejengwa hatari Nzuri sana tena na MTU ambae sio hata Engineer,sasa MPE kazi Engineer uone kitakachotokea na Cost juu zaidi,Haya mambo yanahitaji More Experiences, na Sio Tuu upande wa Civil hata Fani nyingine kama Umeme,Mechanical,
Unaweza kuta Electrical technician anajua zaidi kuliko Engineer,Nenda Viwandani Utajua naongea Nini,
What is Civil Engineering? Huenda tuanzie hapo

Hivi kijumba single level kinahitaji Engineer kweli au architect? Watu wengi wanawachanganya Engineer na Architect
 
Back
Top Bottom