stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,834
- 22,946
Acha uvivu mkuu,shuka ilala maduka ya spear,tembea mwenyewe mguu kwa mguu,hii mambo ya kutuma watu wengine wanaongeza vya juu...Jamaa anauza engine kwa bei yaghari kweli 5A ya corolla anauza M. 1.8 nimechoka kabisaa