Engagement...on the road to formalize it with Catherine

Umenikumbusha tulienda kuoza kijana wetu, so siku tunapeleka mahari tunashangaa tunapelekwa ukumbini. Mc, mapambo, mziki na watu wana kadi za mwaliko! Kha! That is a family thing na inafanyikia sebuleni!
Mpenzi mi nataka tualike ukoo mzima hapo, mziki spika mia na misonsomolo ya nguvu.
 
Umenikumbusha tulienda kuoza kijana wetu, so siku tunapeleka mahari tunashangaa tunapelekwa ukumbini. Mc, mapambo, mziki na watu wana kadi za mwaliko! Kha! That is a family thing na inafanyikia sebuleni!

hee! Huyo bi dada bila shaka wakati wa kutongozwa alienda na marafiki zake.
 
siku hizi ni full maigizo

utaita watu na kuandaa vinywaji halafu iwe surprise?

angekataa jee mbele ya watu?

bora kuambiana mapema, maana unaweza ukawa na mtu ila unajua kabisa sio husb mat... Hlf anakufanyia hiyo suprise, lazima umtie aibu.
 
! That is a family thing na inafanyikia sebuleni!

Hii ndo yale yale ya wengi wetu kudhani mila na tamaduni zetu ni sahihi kuliko wengine.

Kaa kwenu kunafanyikia sebuleni haina maana kuwa hiyo ndio njia pekee na sahihi kuliko nyengine. Kila watu wana traditions zao
 
kama wahitaji suprise u can do it pia na kama wataka ajue kesho wamvisha pete safii pia itbjus hw u pipo wan it to be
 
raha ya engegement muwe wawili, mnaweza kuanzia movie then dinner halafu unamsuprise.....

Ya kuita watu kibaaa, bibie ananunua kigauni special nk wala hainogiiii
 
Hahaha! It is perfectly understood kuna tamaduni zingine hawana sebule,lol. Ila tamaduni za kwenu ni kulipia kwenye ukumbi? Kinda fake huh?
Hii ndo yale yale ya wengi wetu kudhani mila na tamaduni zetu ni sahihi kuliko wengine.

Kaa kwenu kunafanyikia sebuleni haina maana kuwa hiyo ndio njia pekee na sahihi kuliko nyengine. Kila watu wana traditions zao
 
bora kuambiana mapema, maana unaweza ukawa na mtu ila unajua kabisa sio husb mat... Hlf anakufanyia hiyo suprise, lazima umtie aibu.

Hapo hapo hata mie nilikuwa nafikiri! Sometimes unaweza ukawa na mchumba kumbe wewe wala haupo moyoni mwake ila kinachomfanya aendelee na wewe ni kukuchuna tu! Sasa unaalika watu eti ufanye surprise then unamwagwa mbele ya halaiki!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
raha ya engegement muwe wawili, mnaweza kuanzia movie then dinner halafu unamsuprise.....

Ya kuita watu kibaaa, bibie ananunua kigauni special nk wala hainogiiii
BADILI TABIA, my friend alimwita tu baada ya kutoka job njoo sehemu flani at least we have a drink..ts ur birthday! so demu alikuja vilevile alivyotoka kazini thinking anaenda tu ku-have a drink na bf wake..! no dress, no decorations needed...
 
Last edited by a moderator:
Hahaha! It is perfectly understood kuna tamaduni zingine hawana sebule,lol. Ila tamaduni za kwenu ni kulipia kwenye ukumbi? Kinda fake huh?

No king'asti, sio kulipia ukumbi mkuuubwa unatumia cost nyingi! make t like some birthday bash budget! inawezekana..au whats ur other alternative?

Hapo hapo hata mie nilikuwa nafikiri! Sometimes unaweza ukawa na mchumba kumbe wewe wala haupo moyoni mwake ila kinachomfanya aendelee na wewe ni kukuchuna tu! Sasa unaalika watu eti ufanye surprise then unamwagwa mbele ya halaiki!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

We muuza ubuyu unadhani ni mama ngina huyu!lol
eniwei, mpaka una propose kwa mtu si unakuwa upo sure kabisa kwamba she is the ONE..na yeye anajijua na ameshakubali. That is jus formalizing it to the society.
Unaweza ukawa ushamuuliza mara kadhaa kabla if she will marry you mnakua hata mshaanza kuplan mipango ya ndoa...apo ndo unaweza kufanya ivo!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha! It is perfectly understood kuna tamaduni zingine hawana sebule,lol. Ila tamaduni za kwenu ni kulipia kwenye ukumbi? Kinda fake huh?

Tamaduni za "kwetu" ni kukusanya watu wengi wakati wa mahari na engagement.

Kwa vile nyumba yetu haina ukumbi wa kutosha, na nisingependa wageni kuwafungia turubali mtaani nje, nimeona nikodi ukumbi.

Tatizo ni lipi?
 
Lol. Hakuna tatizo as long as huniitishi mchango. Ila tu mi hupenda kuishi kasri ya uwezo wangi especially basics. What you see is what you get, mchumba na nduguze watajua kwetu ni padogo na pana hali aliyoikuta. No more, no less.
Tamaduni za "kwetu" ni kukusanya watu wengi wakati wa mahari na engagement.

Kwa vile nyumba yetu haina ukumbi wa kutosha, na nisingependa wageni kuwafungia turubali mtaani nje, nimeona nikodi ukumbi.

Tatizo ni lipi?
 
My dearest brother, suit yourself. Inategemea na expectations zako pia. Binafsi kukaa mbele ya kiti cha enzi and everybody staring kwangu sio fun hata kiduchu, kama mfano tu. Napenda kuinterract nicheke all the time na wati wote. So hata bday bash is different, ni dinner na very few pple.kama sio mpenzi tu.

Unamjua mpenzio, unajua anapenda nini. Fanya kitakachompendeza. Nimeona wengine engagement wanafanya baada ya kulipa mahari. Ungeweza kumtumia rafiki yake wa karibu ama ndugu yake kumdodosa ujue kitu gani kitamfurahisha.

But my ideal engagement ni ya two pple, hapo my heart melts!
No king'asti, sio kulipia ukumbi mkuuubwa unatumia cost nyingi! make t like some birthday bash budget! inawezekana..au whats ur other
 
safi, ndo maana ya suprise hiyo...



BADILI TABIA, my friend alimwita tu baada ya kutoka job njoo sehemu flani at least we have a drink..ts ur birthday! so demu alikuja vilevile alivyotoka kazini thinking anaenda tu ku-have a drink na bf wake..! no dress, no decorations needed...
 
dah,ngoja nisave hii thread for future use make now is not applicable to me lolest!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom