Engagement...on the road to formalize it with Catherine

Mentor

JF-Expert Member
Oct 14, 2008
20,328
23,879
engage.jpg
Salaaam za Jumapili wakubwa,
Nataka kuongelea hili suala la engagement party..proposing...kuvishwa pete ya uchumba!! (are they really the same??)

Wiki jana nili attend sherehe moja ya 'engagement' and it was really boring (ama ndo inavyotakiwa iwe? kibongobongo).
It was jus straight forward watu tumeitwa tumefika..mara MC anatangaza "kilichotuleta hapa ni kushuhudia tendo maalum kati ya ... na ..." mara katoa pete mfukoni kamvisha watu wakapiga makofi...drinks...drinks...drinks n more drinks...then watu wakasepa!


Now enlighten me ninyi ambao mshapita huku, ndo engagement zinatakiwa kuwa hivyo kweli?
I thought they were some kind of a surprise thing. Yani hata binti mwenyewe hajui kwamba hiyo siku anavishwa pete?
Ama ni uzungu mwingi umenijaa kichwani?

What hapenned to the, "Will you marry me?" and she is all like..Waaat! i never expected this..n ol dat!??
engage2.jpg

Nifahamisheni wakuu kwani niko kwenye mchakato wenye yakinifu wa kuhalalisha mahusiano yangu na bi Catherine nje ya jukwaa! Nilikuwa nafikiria a surprise event (msijali mtaalikwa) lakini hii ya kibongo imenishtua..

Naombeni mawazo yenu hata nyie ambao bado hamjaoa/kuolewa walau mtakuwa mmeona sehemu ikifanyika.




cc: babu Asprin, dada AshaDii, @erickb52, beibe nasty, Judgement, Ruttashobolwa, snowhite, SnowBall, The Boss, BAK, mtotowamjini, Viper, Eversmilin Gal, Baba V, charminglady, muuza ubuyu, manoah, Ciello Asprin, Mamndenyi, Pombekali, lara 1
 
Last edited by a moderator:
Mie nadhan ni the way unataka ww iwe, ila surprice ni nzuri mkiwa wawil kweny like mmekwenda dina then wasurprice mhusika
 
Mpango mzima, ulitaka iwe kama senema?
Kwenye tamthilia kunakuwaga na director, producer, make-up artist, costume designer, location manager, technician, light manager, sound engineer, boom swinger, cast organiser, continuity superviser, floor manager, camera person na wengineo wa kumwaga.
Eh, nimewasahau hao wanaopropoziana wenyewe.
Hapa ni Tanganyika, na sio Hollywood, let us do it our fuc*ing way...
Bravo waliochumbiana huko kwenu!
 
Tatizo maigizo ni mengi mno böngo hii, ya kwako unaweza ukaifanya the way mtakavyoshauriana wewe na bi Catherine ,msirahau tu kunialika
 
Last edited by a moderator:
siku hizi ni full maigizo

utaita watu na kuandaa vinywaji halafu iwe surprise?

angekataa jee mbele ya watu?
The Boss, ichukulie hivi!
Ni dada mmefahamiana muda wa kutosha anajua una lengo la kumuoa na wewe umeshaongea naye mara kwa mara na una uhakika kuwa uki-propose hatokataa then u can just pick a date and make it a surprise event..ama!??
 
Last edited by a moderator:
ile inabidi iwe surprise....mi siamini eti kuita dj kualika watu na bibie nae anajua leo nachumbiwa hainogi, kuna wengine wanafanya surprise wakiwa wenyewe chumbani/hotelini au wengine wanafanya surprise mbele za watu, wazungu ndio washenzi anaweza kupropose barabarani au dukani mbele za wateja..:happy:
 
mh, ngoja makungwi waje! nipo hapa pembeni mejificha tu. . .

mhh wewe charminglady, u min hata za kuona hujawahi!??

Mpango mzima, ulitaka iwe kama senema?
Kwenye tamthilia kunakuwaga na director, producer, make-up artist, costume designer, location manager, technician, light manager, sound engineer, boom swinger, cast organiser, continuity superviser, floor manager, camera person na wengineo wa kumwaga.
Eh, nimewasahau hao wanaopropoziana wenyewe.
Hapa ni Tanganyika, na sio Hollywood, let us do it our fuc*ing way...
Bravo waliochumbiana huko kwenu!

Sio zote ni za sinema bwana Mphamvu.
Niliwahi kuorganize moja ya my university brother.
Ilikuwa birthday ya dada. So mshkaji akawaalika marafiki za binti na marafiki zake in the name of "throwing a surprise birthday party"..so wote excpet jus five pipo tulio-organize ndo tulijua how it was gong to end!
Mi nadhani inapendeza if u make it a memorable event bana!
 
Last edited by a moderator:
ile inabidi iwe surprise....mi siamini eti kuita dj kualika watu na bibie nae anajua leo nachumbiwa hainogi, kuna wengine wanafanya surprise wakiwa wenyewe chumbani/hotelini au wengine wanafanya surprise mbele za watu, wazungu ndio washenzi anaweza kupropose barabarani au dukani mbele za wateja..:happy:

kudos adui wangu wa baadaye..hahah!
mi nadhani hiyo ndo inapendeza bana..apa nawaza tu ni idea gani ya surprise ndo itapendeza coz almost zote zimeshafanywa!!!
 
The Boss, ichukulie hivi!
Ni dada mmefahamiana muda wa kutosha anajua una lengo la kumuoa na wewe umeshaongea naye mara kwa mara na una uhakika kuwa uki-propose hatokataa then u can just pick a date and make it a surprise event..ama!??


mimi uzungu nilishashindwa
 
kudos adui wangu wa baadaye..hahah!
mi nadhani hiyo ndo inapendeza bana..apa nawaza tu ni idea gani ya surprise ndo itapendeza coz almost zote zimeshafanywa!!!

nina idea moja ya nguvu hiyo nitakusuggestia lakini inategemea na matokeo leo pale stamford bridge yatakuaje,:biggrin1: hiyo yaani ukimfanyia lazima mtoto achanganyikiwe :happy:
 
Naona umeshindwa kutoautisha baina ya "usasa" na "uzungu"

Katika taratibu za Kizungu za zamani (ambazo zinaendelea kwenye taratibu za Kiarabu, Kihindi", engagement party zilikuwa zikifanyika kama hiyo uliyoiona. Hakuna sense of surprise ya aina yoyote. Mnafikia makubaliano kabla, hususan baina ya wazazi, kisha kunafanywa sherehe ya kutambulisha kwa jamii kama hivyo ilivyofanywa

Usasa ndio mambo ya surprise,uzungu la hasha
 
Tatizo maigizo ni mengi mno böngo hii, ya kwako unaweza ukaifanya the way mtakavyoshauriana wewe na bi Catherine ,msirahau tu kunialika

sherehe watu, huo uzungu na masuprise mi hata siyataki. Nataka nijue mapemaaa nijiandae. Lol,
 
Last edited by a moderator:
Mie sikubaliani na hayo mambo ya kuita watu kuvalishana pete. It aint romantic at all! You cant even kiss the surprise away, mppphheeewww!
Mpeleke mahali, romantic ambapo atakumbuka for the rest of her life. Dinner, then traaaalaaa! Piga goti mwanawani, mvalishe pete. Kama ni elegant enough mashuhuda hupiga makofi bila kuombwa. Mhudumu anaweza kuwapiga picha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom