Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Mkuu wa mkoa Wa Rukwa mh. Stella Manyanya ametangaza kuwashughulikia wale wote watakaoleta maandamano na vurugu hasa akiwalenga chadema ameyasema hayo wakati akichangia muswada Wa katiba.
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah huyu mama vipi.ana matatizo eheeeeeeeeeeee.