Picha ili watu tuwe hata na hamu ya kutaka kukutafuta.Wadau eneo linauzwa lipo makongo mwisho njia kwenda kanisa katoliki lina ukubwa sqm 2231 lina hati ya wizara.halina shida yoyote ni tambalale na bei ya kutupa linuzwa kwa ajili ya shida tu bei ni 300m
Karibu
Kuna nini cha zaidi kuwa ghali hivyo? Is it a business area district?Makongo ni sqm 1 kwa 150,000