Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Parcels zinachukua muda mrefu kumfikia mlengwa. Zamani walikuwa wanatumia ndege baadae wakaacha. Wakati huo ilikuwa inawezekana parcel kutumwa leo kutoka DSM na kesho unaipokea Mwanza.
Sasa hivi EMS wanatumia magari yao, ambapo mzigo kutoka Tunduma kwenda DSM unatumia siku 4. Bukoba to Tunduma siku 10. Kuna Mndengereko mmoja amependekeza kuzuia kutuma parcels kwa kutumia mabasi, watumie Posta. What a nonsense!!!!
EMS anza kutumia huduma ya ndege, we need quick delivery of our parcels, achana na mambo yenu ya ujima.
Sasa hivi EMS wanatumia magari yao, ambapo mzigo kutoka Tunduma kwenda DSM unatumia siku 4. Bukoba to Tunduma siku 10. Kuna Mndengereko mmoja amependekeza kuzuia kutuma parcels kwa kutumia mabasi, watumie Posta. What a nonsense!!!!
EMS anza kutumia huduma ya ndege, we need quick delivery of our parcels, achana na mambo yenu ya ujima.