Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?Ni hapo atakapothubutu
Waache waendelee kumshambulia January Makamba kwa fitina zao za kuutaka Urais.Kwamba,ndiye mtarajiwa?
Hawezi kuwa rais uyoWewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Kifukwe, Ipyana Malecela!!Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Wengi tu......Kuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?
Moumbabu ni wewe ambaye unaleta RevelationsWewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Yaani ulivyo mjinga unafikiri Dr. Nchimbi ataogopa kugombea kwa sababu yako wewe unayebwabwaja hapa jukwaani? Kwanza jamaa yuko measured and he calculates every move he makesMoumbabu ni wewe ambaye unaleta Revelations
Umechanganya madesa. Enzi za mradinwa mabasi wahusika walikuwa ni akina Didas MasaburiNchimbi alikula pesa za Mabasi ya wanafunzi DSM akiwa Mwenyekiti UVCCM
kidogo kairukiKuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?
Kwa hiyo ukiwa na influence tu unakuwa Rais au sio??Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Brazil kuna warembo duniani sijaona aiseeBora aondolewe maana toka amekuwa Balozi hakuna manufaa yoyote kwa taifa
Kigogo 2014 enzi za uhai wake alisema ndo alitakiwa kuwa makamu wa raisiLabda ndio mpango wa kumsogeza karibu zaidi na jikoni.
Rais wa TFF?Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
mradi wa mabasi ya wanafunzi aliuuwa ni masaburi siyo nchimbi navyokumbuka mimiNchimbi alikula pesa za Mabasi ya wanafunzi DSM akiwa Mwenyekiti UVCCM
kwahiyo sasahivi ndiyo angekuwa presdaaKigogo 2014 enzi za uhai wake alisema ndo alitakiwa kuwa makamu wa raisi
Tangu ulipotangazwa uteuzi!Naona mheshimiwa Rais leo amemuapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Brazil.
Hiyo nafasi ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Nchimbi.
Amestaafu au nin kimetokea?
View attachment 2034750
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha ya pamoja na Prof. Adelardus Lubango Kilangi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Barazil leo tarehe 06 Disemba 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam.