Emmanuel Nchimbi amestaafu lini Ubalozi? Kaapishwa Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa balozi Brazil

Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Hawezi kuwa rais uyo
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?

Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Kifukwe, Ipyana Malecela!!
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Moumbabu ni wewe ambaye unaleta Revelations
 
Nafasi nyingine ni kuwasaidia walioingia kwenye mfumo wa kula keki ya taifa kwenda kupumzika.
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Kwa hiyo ukiwa na influence tu unakuwa Rais au sio??
 
Dr Nchimbi pamoja na yote, namheshimu alijitoa mhanga pamoja na Sophia Simba kueleza wazi kwamba mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM 2015 haukuwa credible na kwamba wanaopendwa ndio wanaoenguliwa. Hatimae tukampata JPM ambako yaliyobaki ni maumivu tunayojaribu kuyasahau...ana element za ujasiri na ilimgharimu sana politically.
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Rais wa TFF? :oops:
 
Naona mheshimiwa Rais leo amemuapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Brazil.
Hiyo nafasi ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Nchimbi.

Amestaafu au nin kimetokea?
View attachment 2034750
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha ya pamoja na Prof. Adelardus Lubango Kilangi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Barazil leo tarehe 06 Disemba 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam.
Tangu ulipotangazwa uteuzi!
 
Back
Top Bottom