Kwani ni mzanzibari? Acha kuunga mkono wapuuzikwahiyo sasahivi ndiyo angekuwa presdaa
Kwani ni mzanzibari? Acha kuunga mkono wapuuzikwahiyo sasahivi ndiyo angekuwa presdaa
utakuwa hujanielewa au katiba inakataa kuwa na makamu mbara?Kwani ni mzanzibari? Acha kuunga mkono wapuuzi
Rais awe JPM na Nchimbi makamu! Upo seriousutakuwa hujanielewa au katiba inakataa kuwa na makamu mbara?
Wa China anajitahidi kuleta wanunuzi wa mazaoKuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?
Ubalozi unapokuwa ni zawadi - kupewa au kunyanganywa ni wakati wowote.Naona mheshimiwa Rais leo amemuapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Brazil.
Hiyo nafasi ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Nchimbi.
Amestaafu au nin kimetokea?
View attachment 2034750
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha ya pamoja na Prof. Adelardus Lubango Kilangi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Barazil leo tarehe 06 Disemba 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam.
watu wa kusini hao akina kambona type...,ila cha ajabu he is not popular alikokuwa mbungeDr Nchimbi pamoja na yote, namheshimu alijitoa mhanga pamoja na Sophia Simba kueleza wazi kwamba mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM 2015 haukuwa credible na kwamba wanaopendwa ndio wanaoenguliwa. Hatimae tukampata JPM ambako yaliyobaki ni maumivu tunayojaribu kuyasahau...ana element za ujasiri na ilimgharimu sana politically.
Ok mkuu hongera
Miaka zaidi ya mitatu inaatosha kuwa diplomat Nchi mojaLabda ndio mpango wa kumsogeza karibu zaidi na jikoni.
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Anamaanisha baada kifo Cha Magufuli kipindi hicho kigogo 2014 alikuwa Moto au hai kweli, alivujisha taarifa kuwa Nchimbi ndiye Makamu wa Samia. Taarifa ilienda mbali kuwa yupo njiani kurejea nyumbani.Rais awe JPM na Nchimbi makamu! Upo serious
Nchimbi awe Rais wa Tanzania ! hii tabia ya uchawa isipopigwa marufuku itaharibu vijana wallah .Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Mhula wa ubalozi ni miaka 3 mkuu- nashangaa kuwa hujui hilo halafu tuko wote humuNaona mheshimiwa Rais leo amemuapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Brazil.
Hiyo nafasi ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Nchimbi.
Amestaafu au nin kimetokea?
View attachment 2034750
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha ya pamoja na Prof. Adelardus Lubango Kilangi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Barazil leo tarehe 06 Disemba 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam.
Mkuu, ilikuwa Guninita.... Kama sikosei ni marehemu kwa sasa.Umechanganya madesa. Enzi za mradinwa mabasi wahusika walikuwa ni akina Didas Masaburi
Mmh huyu huyu nchimbi EmanuelWewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Nchimbi alikuwa kijana wa JK ila aligeukwa alipotakiwa kujiuzulu kupitia kwa Pinda! Hivi unadhani JK ambaye ndiye Injinia ya Samia angelikubali? Wakati urafiki wao uliingia doa? Kigogo alikuwa overratedAnamaanisha baada kifo Cha Magufuli kipindi hicho kigogo 2014 alikuwa Moto au hai kweli, alivujisha taarifa kuwa Nchimbi ndiye Makamu wa Samia. Taarifa ilienda mbali kuwa yupo njiani kurejea nyumbani.
Bora aondolewe maana toka amekuwa Balozi hakuna manufaa yoyote kwa taifa
Kuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?