Emmanuel Nchimbi amestaafu lini Ubalozi? Kaapishwa Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa balozi Brazil

Naona mheshimiwa Rais leo amemuapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Brazil.
Hiyo nafasi ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Nchimbi.

Amestaafu au nin kimetokea?
View attachment 2034750
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha ya pamoja na Prof. Adelardus Lubango Kilangi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Barazil leo tarehe 06 Disemba 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam.
Ubalozi unapokuwa ni zawadi - kupewa au kunyanganywa ni wakati wowote.
 
Dr Nchimbi pamoja na yote, namheshimu alijitoa mhanga pamoja na Sophia Simba kueleza wazi kwamba mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM 2015 haukuwa credible na kwamba wanaopendwa ndio wanaoenguliwa. Hatimae tukampata JPM ambako yaliyobaki ni maumivu tunayojaribu kuyasahau...ana element za ujasiri na ilimgharimu sana politically.
watu wa kusini hao akina kambona type...,ila cha ajabu he is not popular alikokuwa mbunge
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Nchimbi awe Rais wa Tanzania ! hii tabia ya uchawa isipopigwa marufuku itaharibu vijana wallah .
 
Naona mheshimiwa Rais leo amemuapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Brazil.
Hiyo nafasi ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Nchimbi.

Amestaafu au nin kimetokea?
View attachment 2034750
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha ya pamoja na Prof. Adelardus Lubango Kilangi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Barazil leo tarehe 06 Disemba 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam.
Mhula wa ubalozi ni miaka 3 mkuu- nashangaa kuwa hujui hilo halafu tuko wote humu
 
Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Mmh huyu huyu nchimbi Emanuel
 
Anamaanisha baada kifo Cha Magufuli kipindi hicho kigogo 2014 alikuwa Moto au hai kweli, alivujisha taarifa kuwa Nchimbi ndiye Makamu wa Samia. Taarifa ilienda mbali kuwa yupo njiani kurejea nyumbani.
Nchimbi alikuwa kijana wa JK ila aligeukwa alipotakiwa kujiuzulu kupitia kwa Pinda! Hivi unadhani JK ambaye ndiye Injinia ya Samia angelikubali? Wakati urafiki wao uliingia doa? Kigogo alikuwa overrated
 
Back
Top Bottom