JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Unashuri kusiwe na balozi sio? ππππHivi ni vyeo kwa shukrani kwa makada wa CCM
Unashuri kusiwe na balozi sio? ππππHivi ni vyeo kwa shukrani kwa makada wa CCM
Acha dharau kwa kiporo cha maharage? Kwani huwezi kuchangia pasi na kuyasema vby Maharage?Wewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Yupo. Balozi Steve Nyerere. Balozi wa uviko π π π π π πKuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?
Kawasaidia sana wabongo waishiyo BrazilBora aondolewe maana toka amekuwa Balozi hakuna manufaa yoyote kwa taifa
Hii story kuna watu walikuwa hawajazaliwa humu!!Nchimbi alikula pesa za Mabasi ya wanafunzi DSM akiwa Mwenyekiti UVCCM
WEwe huna akili kabisa....inaonekana ni mchepuko wa Nchimbi. Yaani Nchimbi huyu hopeless ndo awe Rais....okey labda Rais wa Familia yakoWewe ni mpumbavu kabisa! Kwa taarifa yako Dr Nchimbi ndio next president wako tuone utamfanya nini! Yaani umeshiba kiporo cha maharage ya jana unaanza kutishia nyau humu jukwaani. Unafikiri kwanini Magufuli alimpeleka mbali ili kuondoa influence yake nchini?
Sweden kapelekwa Nani?Dr. Silaa naye yupo kwenye mawe
Nawe una ushahidi kuwa hakula? πUna ushahidi?
Balozi ndio analeta wanunuzi? Wanunuzi dunia nzima hutafuta sehemu yenye product nzuri na kwa gharama nafuu.Wa China anajitahidi kuleta wanunuzi wa mazao
Wakati wa Nini Sasa? Kupata urais?Kile kikundi chao pamoja na Sophia Simba naona ndo wakati sasa
China na Tz kuna muingiliano wa kihistoria na kibiashara! SasaWengi tu......
Hebu mfuatilie mpambanaji mzalendo mh.Mbelwa Kairuki wa huko China......
Kuna mtu kwenye familia au ukoo wako amewahi kufikia nafasi alizoshika Dr.Nchimbi? Au ndio ile hulka ya Watz kuwachukia watu wenye mafanikio na kuwaita wezi, freemasons n.k? Mtu aliyekuwa kwenye kamati kuu ya CCM unamuita hopeless! Una akili au umebeba embe bolibo kichwani?WEwe huna akili kabisa....inaonekana ni mchepuko wa Nchimbi. Yaani Nchimbi huyu hopeless ndo awe Rais....okey labda Rais wa Familia yako
The burden of proof lies on the accuser or plaintif and not vice versa! Vp jasusi mbobezi mbona unaanza kuwa na mhemko au unamuogopa na kumhofia Dr. Nchimbi? Huenda kwenye ufalme wake akakupa nafasi ya kurudi nyumbani utoke utumwaniNawe una ushahidi kuwa hakula? π
Uko sawa kabisa, Mwenyekiti alikuwa John John Guninita (RIP) na msimamizi Mkuu wa project Didas Masaburi (RIP)Mkuu, ilikuwa Guninita.... Kama sikosei ni marehemu kwa sasa.
Ulikuwa mwaka gani ? tuanzie hapo kwanzaUmechanganya madesa. Enzi za mradinwa mabasi wahusika walikuwa ni akina Didas Masaburi
Usichanganye mambo ya UDA na Mabasi ya wanafunzimradi wa mabasi ya wanafunzi aliuuwa ni masaburi siyo nchimbi navyokumbuka mimi
Nadhani 1990-1995 Mwenyekiti akiwa John John Guninita (RIP). Mkuu wa mradi alikuwa Didas Masaburi. Kwenye mradi huo ndipo alipopata hela alizojengea chuo cha mambo ya procurement kule ChanikaUlikuwa mwaka gani ? tuanzie hapo kwanza
Kwanza anajua UDSM ipi???? Lakini nakumbuka nchini alisoma mzumbe mwanzo mwishouna umri gani ?
Mkuu mimi ni mfuasi mkubwa wa post zako, unataka kusema jamaa ni mzizi ndani ya chama hadi wakubwa wamfiche asiwasumbue?Kwani Nchimbi alipelekwa Brazil kufanya kazi au kufichwa asisumbue Wakubwa?