BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
Wanawake hao
we jamaa n Bangii kwelKuusikilizia mkojo unavyotoka kunaponza!
Eboue imemgharimu!we jamaa n Bangii kwel
Picha yake please ikiwezekana na ya huyo mwanamke
Picha yake please ikiwezekana na ya huyo mwanamke
EU wanasheria tofauti kidogo, sheria yapenda kumpendelea mwanamke zaidi, hasa akiwa na watoto, tayari familia wanapakulala, ila nahisi ile nyumba ya pili ni kwa ajili ya malazi kwa watoto, labda sababu jamaa hana kipato.Binafsi simuelewi, he was extravagant au Mali kapewa mke wake!? Mana naona Mali zote zipo isipokuwa umiliki nd umehama kwenda kwa mkewe! Swali, kwann mke ajimilikishe Mali!? Mwandishi rudi tena kafukue!?
Iz papuchii bhaan daahEboue imemgharimu!
Elimu Elimu Elimu unasaini vipi documents usizozielewa ndugu Eboue?? Yani akiletewa anasaini tu hahaha eti ni mke wangu shubamiiti!!! nimejifunza hapa nisiamini sana mwanamke kisa ni mke wangu wengine sio wema aisee dah...