Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,180
Reaction score
138,470
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda
 
Ukute anapigia jaramba u-DC.
Maana ndio mtindo mpya sasa,full kujipendekeza
 
Hakumaanisha kufika kwa kwenda kutembelea bali kufika kikazi I mean kama Mbunge. ...alafu acha kutetea ujinga mnyika mbona hana chake kura zake ziko kimara-mbezi huku kwingine hana kitu.
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

Kwani wewe unaishi manzese si wananchi wa manzese ndio wamesema
 
kwanza mi nimesikiliza vizuri tu wananchi walikuwa wanamlalamikia diwan hawajamtaja mnyika hawaa jamaa wanamatatizo sana hawafanyi kazi kwa waledi kabisaa
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

Emanuel Buhohela Ndiyo MSUKULE Gani Huo Mkuu?
 
kwanza mi nimesikiliza vizuri tu wananchi walikuwa wanamlalamikia diwan hawajamtaja mnyika hawaa jamaa wanamatatizo sana hawafanyi kazi kwa waledi kabisaa

Mkuu uko vizuri hata Mimi ndicho nilichosikia na kuona
 
Wananchi hawajamtaja Mnyika..wao wamelalamika na Diwani wao,lkn nilichojifunza ni kuwa nchi hii tunapelekana kisera Sana,hao wanaolalamika wapo Mabondeni,kila mwaka wanaambiwa wahame hawataki...sasa wakati wa mvua wanataka huyo Diwani au Mbunge aje alifanye eneo lisiwe bonde?
Halafu wao badala ya kupeleka takataka kwenye jalala wao wanatupa kwenye mfereji unaopaswa kumwaga Maji kwenye Bahari..sasa hapa unalaumu Mbunge au diwani wa nini??
Halafu mtoa mada nikusaidie,aliyetangaza hii Habari ni yule #Sam Mahela na si Emmanuel Buhohela
 
Kwani wewe unaishi manzese si wananchi wa manzese ndio wamesema
kama ameweza kuonyesha malalamiko yote ya wananchi.iweje ashindwe kuonyesha script ya malalamiko dhidi ya John
 
Ndio mana hata likipindi lake la Dk 45 Halima mvuto ---- yeye
 
chadema wanataka wanahabari wawasifie tu hata kama wameharibu


mtoa mada naomba nikuulize swali


iwapo kama mnyika akiwa hajafik tuseme kimara

halafu emannuel buhoela akaja kusema mnyika ametembelea kimara mara kwa mara ungekuja kusema aache kumzushia??

Hahaha chadema aisee
 
Ukute anapigia jaramba u-DC.
Maana ndio mtindo mpya sasa,full kujipendekeza

...huu mtindo Wa kuhonga wilaya umeua sana hii tasnia ya uandishi, kila mtu (most of them) unawasikia hadharani nataka kuwa mbunge wengine ukuu Wa wiliya umeukosa ? katika mazingira haya hata muswada huu mpya uruhusu kuandika maovu ya serikali bila vitisho tusitegemee jipya toka kwa walamba viatu...
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

Acha mahaba yako wewe Bavicha, Wananchi wa Manzese ndio wamesema hawajawahi kumuona hata siku moja utamsingiziaje mtangazaji? Yeye ana report kilichokuwepo.
Mi mwenyewe ni Mbunge wangu katika kitongoji flani hivi lakini hajawahi kukanyaga hata siku moja ila na kumbuka alivyokuwa akija kuomba kura hadi kwenye match za vibandq umiza leo hii wapi,,,hahahah kweli wahenga wanasema "Maskini akipata Matak.o huliwa Mbwata" Vijana wanajuta bora angebaki mzee Keenja tu.
 
Acha mahaba yako wewe Bavicha, Wananchi wa Manzese ndio wamesema hawajawahi kumuona hata siku moja utamsingiziaje mtangazaji? Yeye ana report kilichokuwepo.
Mi mwenyewe ni Mbunge wangu katika kitongoji flani hivi lakini hajawahi kukanyaga hata siku moja ila na kumbuka alivyokuwa akija kuomba kura hadi kwenye match za vibandq umiza leo hii wapi,,,hahahah kweli wahenga wanasema "Maskini akipata Matak.o huliwa Mbwata" Vijana wanajuta bora angebaki mzee Keenja tu.
Mbona japo manzese uzuri ali kwenda JOHN MNYIKA: Hatua kuhusu maafa katika Jimbo la Ubungo
 
chadema wanataka wanahabari wawasifie tu hata kama wameharibu


mtoa mada naomba nikuulize swali


iwapo kama mnyika akiwa hajafik tuseme kimara

halafu emannuel buhoela akaja kusema mnyika ametembelea kimara mara kwa mara ungekuja kusema aache kumzushia??

Hahaha chadema aisee
Kavae nepi ukalale
 
Back
Top Bottom