Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Labda ulitaka afanye nini wewe ndo uone kafanya nini

Kwani wengine wamefanya nini? Mbona kawe hawamlalamikii Halima Mdee ni kwamba anatatua matatizo yao Mnyika ktk ahadi alizotoa hakuna hata moja aliyotimiza hata kuonekana tu hakuna.
 
Kwani wengine wamefanya nini? Mbona kawe hawamlalamikii Halima Mdee ni kwamba anatatua matatizo yao Mnyika ktk ahadi alizotoa hakuna hata moja aliyotimiza hata kuonekana tu hakuna.

Inaonekana ahadi alizoweka unazijua sana haya zitaji na tuone kama hajazikamilisha zote izo
 
CDM wanaikubali ITV Tz coz wako open kuliko TVs zoote Bongo.

Shida inakuja hapa, BUHOHELA akiuma upande wao, taabu!!

Sheenz type!
 
Wabunge wa upinzani wana shughuli, hata kiwanda cha konyagi kisipozalisha product za kutosha utasikia Mnyika hajatembelea kiwanda hicho ili aongeze uzalishaji.

Mnyika unahitajika manzese ukachimbe mtaro serikali za mitaa hakuna huko.
 
Kwani mbunge anatakiwa afike kila mahali? Hao wenyeviti wa serikali za mtaa wanafanya nini? Mbona mheshimiwa kabisa hajawahi fika kijijini kwetu kwa miaka 9 aliyokuwa madarakani na hatajalalamika? Tunajua sio lazima yeye afike maana ana wawakilishi wake

ndo mnayoilalamikia serikali kila kukicha,,,, mnadhani kuongoza taifa hili ni mchezo!
 
Yaani kuzibua mifereje inahitaji usaidizi wa mbunge?

Baadhi ya Watanzania ni wapumbavu sana...
 
wakihojiwa na ITV wakazi wa manzese kutoka jimbo la Ubungo wamelalamia utendaji mbovu kupita kiasi wa mbubge john mnyika. ""tangia mvua hii inyeshe ni mate so maji yamejaa ndani kwa kuwa hakuna mitaro ya maji na mbunge hajawahi kuja eneo hili kutatua kero hii tutamwadhiby 2015."" aliisika mmoja akise.ma.
jimbo la Ubungo Lina shida kubwa ya maji sass no mwez maji hamna, barabara ni mbovu yani mnyika is very weak.. leader
 
Mnyika anashinda pale landmark ubungo na michepuko aende huko ushenzini manzese kufanya nini?
 
wakihojiwa na ITV wakazi wa manzese kutoka jimbo la Ubungo wamelalamia utendaji mbovu kupita kiasi wa mbubge john mnyika. ""tangia mvua hii inyeshe ni mate so maji yamejaa ndani kwa kuwa hakuna mitaro ya maji na mbunge hajawahi kuja eneo hili kutatua kero hii tutamwadhiby 2015."" aliisika mmoja akise.ma.
jimbo la Ubungo Lina shida kubwa ya maji sass no mwez maji hamna, barabara ni mbovu yani mnyika is very weak.. leader

Mnyika hataadhibiwa na wahuni wa CCM. Hakuna asiyetambua utendaji wa Mnyika.
 
Kwani wengine wamefanya nini? Mbona kawe hawamlalamikii Halima Mdee ni kwamba anatatua matatizo yao Mnyika ktk ahadi alizotoa hakuna hata moja aliyotimiza hata kuonekana tu hakuna.

Muongo wewe Mnyika amezindua miradi mingi sana jumbo la Ubungo, wabunge wa ccm waliokaa miaka 50 wamefanya nini ubungo.
 
[QUOTMTU ssadsyria3;12182778]wakSikh iwa na ITV wakazi wa manzese kutoka jimbo la Ubungo wamelalaminame utendaji mbovu kupita kiasi wa mbubge john mnyika. ""tangia mvua hii inyeshe ni mate so maji yamejaa ndani kwa kuwa hakuna mitaro ya maji na mbunge hajawahi kuja eneo hili kutatua kero hii tutamwadhiby 2015."" aliisika mmoja akise.ma.
jimbo la Ubungo Lina shida kubwa ya maji sass no mwez maji hamna, barabara ni mbovu yani mnyika is very weak.. leader[/QUOTE]

Hivi mtu asipoonekana kwenye TV siku hivi anakuwa hafanyi kazi, anataka awe kama Makonda anafuatana na kundi la vyombo vya habari hata akienda kuangalia mfereji wa maji machafu.
 
Nimeshangaa hbr karipot sam mahela co buhohela
 
Yaani kuzibua mifereje inahitaji usaidizi wa mbunge?

Baadhi ya Watanzania ni wapumbavu sana...

Ndio maana wenzetu wa coalition of the willing wanatutenga, tunaonesha ni jinsi gani tulivyo mijinga. Yaani mbunge afike kila mtaa kweli? Sasa hao watendaji wa chini wa nini?
 
Hakumaanisha kufika kwa kwenda kutembelea bali kufika kikazi I mean kama Mbunge. ...alafu acha kutetea ujinga mnyika mbona hana chake kura zake ziko kimara-mbezi huku kwingine hana kitu.
mnyika nimewahi kuhudhuria mikutano yake miwili manzese akiwa mbunge, kwa hiyo amefika mara kadhaa kwa kuwa sikuweza kuhudhuria mikutano yooote
 
Back
Top Bottom