Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Bavicha mmejawa ujinga ni lini Huyo John Mnyika amekwenda tangu wapatwe na hayo?Mnapenda sana kulalama na kufurahishwa! Anzisheni vyombo vya habari vya kuwafurahisha!

Bavicha wana uelewa mdogo-Juliana shonza
 
Last edited by a moderator:
Mnyika n mbunge wa chama sio wa wananchi hvyo anatumikia Cdm kwanza wanaanchi baadae
 
Umfurahie anayekukosoa ndio anayekukubari

Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

Huyo John Mnyika ukamanda alipewa na nani? Hivi kwanini bavicha mmekuwa kama watoto ambao kila mara ni kulalama? Yani umeshindwa kumuelewa mtangazaji una kimbia kulalama! Hivi kwanini msianzishe TV yenu ili iwafurahishe?
 
Last edited by a moderator:
Hakumaanisha kufika kwa kwenda kutembelea bali kufika kikazi I mean kama Mbunge. ...alafu acha kutetea ujinga mnyika mbona hana chake kura zake ziko kimara-mbezi huku kwingine hana kitu.

Bavicha wana uelewa mdogo -Juliana Shonza
 
kwanza mi nimesikiliza vizuri tu wananchi walikuwa wanamlalamikia diwan hawajamtaja mnyika hawaa jamaa wanamatatizo sana hawafanyi kazi kwa waledi kabisaa

Teh Teh Sasa hivi mtaanza kuangalia station gani maana kila station ina waonea Chadema! Yani msipo furahishwa basi watu hawana weledi
 
Ogopeni adhabu ya MUNGU munaposema uwongo.Vitabu vyote vitakatifu vinakataza uwongo,eleweni hapa duniani tunapita tu,kazi ipo huko tuendako.Mnyika hajatajwa kabisa na kituo cha ITV kuhusiana na mafuriko ya manzese.dk 45 kilikuwa jana na mgeni alikuwa ZITTO.Mtoa mada sahihisha uzi wako....ubarikiwe.Pamoja na kuihusia nafsi yangu nawahusia nyie pia tumuogope Mwenyezimungu na tufanye ibada.
 
Watu wamanzese wapuuzisana wanazibawenyewe mifereji alafuwanataka mnyika akazibue upuuzihuo aende madabida ndiyo mwenyekitiwao wa mkoa akauzesura Au anataka akija Obama ndiyoanakuwa mbelembele alafumamboyale siyo ya mbunge nimambo ya mwkt wa mtaa diwani nawajumbe wamtaa wanaoangalia keroyamitaayao mbunge aendeakafanye nn?nyie majizi ya lumumba mkojelakini?
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

ukweli mchungu siku zote, Mimi ni mkazi Wa hilo eneo tajwa. Ni kweli kwamba mnyika hajawahi fika eneo hilo toka awe mbunge.

Ifike mahala tuweke siasa pembeni na tujadili maendeleo!
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

Hakuwa Buhohela huyo bali ni "Sam Mahela"
 
Tuna kazi sana watanzania kusonga mbele yaani pamoja na jitihada anazozionyesha bungeni za kuwatetea wananchi wote bila kujali wa jambo gani, halafu mjinga mmoja anataka aende mazese aje afanye nini au mlitegemea mkimchagua atakuwa anawagawia hela? Jinga sana ccm wamewazoesha vibaya sana nyie wadanganyika.
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

Mkuu ni SAMMAHELA SI BUHOELA....!
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda
OKW BOBAN SUNZU

Ni Sam Mahela na sio Buhohela
 
Last edited by a moderator:
ukweli mchungu siku zote, Mimi ni mkazi Wa hilo eneo tajwa. Ni kweli kwamba mnyika hajawahi fika eneo hilo toka awe mbunge.

Ifike mahala tuweke siasa pembeni na tujadili maendeleo!

Kwani mbunge anatakiwa afike kila mahali? Hao wenyeviti wa serikali za mtaa wanafanya nini? Mbona mheshimiwa kabisa hajawahi fika kijijini kwetu kwa miaka 9 aliyokuwa madarakani na hatajalalamika? Tunajua sio lazima yeye afike maana ana wawakilishi wake
 
Huyo John Mnyika ukamanda alipewa na nani? Hivi kwanini bavicha mmekuwa kama watoto ambao kila mara ni kulalama? Yani umeshindwa kumuelewa mtangazaji una kimbia kulalama! Hivi kwanini msianzishe TV yenu ili iwafurahishe?

Kama tbc
 
Last edited by a moderator:
Huyu buhohela wala haeleweki kama ni me au ke
 
Huyo buholela kipindi cha dk 45 tu kimemshinda, sembuse ya mnyika.
 
Back
Top Bottom