Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Huyo buholela kipindi cha dk 45 tu kimemshinda, sembuse ya mnyika.

Hivi una uhakika alikuwa Buholela au unafata mkumbo?Kwanza mwandishi husika hana kosa lolote sema Bavicha mmezoea kulialia.
 
Hawa vibaraka wa chadema ni watu wa ajabu sana.....hivi nyinyi ni watu gani msiopenda challenge yaan mnataka kila siku msifiwe tu........zitto is WHO?
 
Kwani wewe unaishi manzese si wananchi wa manzese ndio wamesema

Kwa hiyo Buhohela anaishi Manzese maana yeye ndiye aliyetamka kuwa Mnyika hajawahi kufika huko na sio wananchi aliowahoji kama kweli angekuwa anamaanisha alichokiongea angetuwekea script yenye kuonyesha mwananchi akiyasema hayo aliyoyasema tofauti na hivyo ni yeye tunayemuingiza kwenye ujinga wa kushambulia wabunge wa Upinzani kupitia tasnia yake ya Habari
 
Hawa vibaraka wa chadema ni watu wa ajabu sana.....hivi nyinyi ni watu gani msiopenda challenge yaan mnataka kila siku msifiwe tu........zitto is WHO?

Unachokiandika umevamia na haujaelewa mleta mada anamaanisha nini ni vema kama haukutazama na kusikiliza taarifa ya habari ITV saa 2 usiku ukakaa kimya kwani hakuna unachokielewa.
 
Nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha Dk.45 ITV bwana Buhohela.Bwana huyu amezusha kuwa Mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la Manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.Amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu Mnyika.Tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

umeama igunga ,wewe ni msemaji wake punguza mahaba ninyonge
 
Kwa hiyo Buhohela anaishi Manzese maana yeye ndiye aliyetamka kuwa Mnyika hajawahi kufika huko na sio wananchi aliowahoji kama kweli angekuwa anamaanisha alichokiongea angetuwekea script yenye kuonyesha mwananchi akiyasema hayo aliyoyasema tofauti na hivyo ni yeye tunayemuingiza kwenye ujinga wa kushambulia wabunge wa Upinzani kupitia tasnia yake ya Habari

Bavicha mtaponzwa na ujinga wa kulialia unafikiri yeye ametunga?
 
Hawa vibaraka wa chadema ni watu wa ajabu sana.....hivi nyinyi ni watu gani msiopenda challenge yaan mnataka kila siku msifiwe tu........zitto is WHO?

Hawa ni wa kulialia ndio maana hatuwezi kupeleka ikulu watu dhaifu kama hawa!
 
Bavicha mtaponzwa na ujinga wa kulialia unafikiri yeye ametunga?

Wewe ndiye unayeponzwa na UJINGA,Tunasema ametunga kwa kuwa hakuweka ushahidi sasa kati ya sisi na wewe ni nani mjinga hapa wewe unayeamini taarifa isiyo na ushahidi na sisi tunaoona kuwa huyo mwandishi ametunga hiyo habari na lengo lake ni kufukuzia uDC.
 
nimesikitishwa sana na mzushi na muuza kipindi cha dk.45 itv bwana buhohela.bwana huyu amezusha kuwa mnyika hajawahi kufika toka achaguliwe katika eneo la manzeshe ambalo limepatwa na adha ya mfereje wa maji machafu kutokana mvua.amenukuu wananchi bila kuonyesha script ya wananchi wakiongea hayo kuhusu mnyika.tunajua changamoto za wakazi wanaoishi mabondeni lakini usimzushie kiivo kamanda

siyi buhohela.
Yule ni sam mahela!
 
Kwa hiyo Buhohela anaishi Manzese maana yeye ndiye aliyetamka kuwa Mnyika hajawahi kufika huko na sio wananchi aliowahoji kama kweli angekuwa anamaanisha alichokiongea angetuwekea script yenye kuonyesha mwananchi akiyasema hayo aliyoyasema tofauti na hivyo ni yeye tunayemuingiza kwenye ujinga wa kushambulia wabunge wa Upinzani kupitia tasnia yake ya Habari

Hivi Buholela umemsikia kwenye hiyo habari? Kama humjui aliye ongea kweli ulisikiliza kilicho ongelewa?
 
Wewe ndiye unayeponzwa na UJINGA,Tunasema ametunga kwa kuwa hakuweka ushahidi sasa kati ya sisi na wewe ni nani mjinga hapa wewe unayeamini taarifa isiyo na ushahidi na sisi tunaoona kuwa huyo mwandishi ametunga hiyo habari na lengo lake ni kufukuzia uDC.

Bavicha acheni kuropoka na kukurupuka ni wazi wewe na mtoa mada hamkusikiliza habari vyema kwa sababu si tabia yenu kutulia kama walivyo viongozi wenu! Muhusika ni Sam Mahela na wala hamkumuelewa alicho maanisha!

Hii habari ya Bavicha mwenzio imenikumbusha Lissu alipo kurupuka na kusema TBC imezima mitangazo nchi nzima kumbe si kweli na akaumbuka ...sasa naninyi mnafata nyayo za Kaka yenu kwa kuropoka kumbe hata mtangazaji husika hamjui! Punguzeni udhaifu wa kulialia ni kweli Mnyika hajawai kufika pale toka tatizo litokee.
 
kwanza mi nimesikiliza vizuri tu wananchi walikuwa wanamlalamikia diwan hawajamtaja mnyika hawaa jamaa wanamatatizo sana hawafanyi kazi kwa waledi kabisaa

Unasikitisha sana, kwani Mnyika siyo Diwani?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wanautaka ubunge wakati hawauwezi.

Wewe si unauweza nenda katembelee wewe
Magamba sijui mkoje kwaiyo kila anapoenda kwa wananchi wake awe anaita vyombo vya habari na kuvitaalifu kua anaenda eheee
 
Wewe si unauweza nenda katembelee wewe
Magamba sijui mkoje kwaiyo kila anapoenda kwa wananchi wake awe anaita vyombo vya habari na kuvitaalifu kua anaenda eheee

Itv is everywhere watu wameshaona na ujumbe amepata lakini kwani uongo? Amefanya nini tangu amekuwa mbunge?
 
Back
Top Bottom