Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,856
- 38,774
Elon Musk(50) tajiri namba 1 duniani amesema hadi sasa hamiliki nyumba yoyote hata kulala huwa analala kwa marafiki zake licha ya utajiri wake kukadiriwa kuwa zaidi ya dola bilioni $200.
Amesema hana interest sana na material things, kitu cha kifahari alichonunua ni ndege ambayo inamsaidia kufanya kazi zake vizuri.
Tajiri huyo namba moja duniani pia amesema hamiliki yatch wala sio mtu wa kusafirisafiri kwenda nchi hii au nchi ile kwa ajili ya mapumziko na kula bata ambao ni mtindo wa maisha uliozoeleka kwa matajiri wengi wakubwa duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema hana interest sana na material things, kitu cha kifahari alichonunua ni ndege ambayo inamsaidia kufanya kazi zake vizuri.
Tajiri huyo namba moja duniani pia amesema hamiliki yatch wala sio mtu wa kusafirisafiri kwenda nchi hii au nchi ile kwa ajili ya mapumziko na kula bata ambao ni mtindo wa maisha uliozoeleka kwa matajiri wengi wakubwa duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app