Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,673
- 26,033
Daaah hapa anajadiliwa Tajiri kutokua na Nyumba wacha nitoke...
Mkuu punguza hasira,sijasema kwa ubaya huo ni mfano tu.Na wewe kenge ukaona utolee mfano walimu waliokupunguza ujinga
Daaah hapa anajadiliwa Tajiri kutokua na Nyumba wacha nitoke...
😂😂😂 we sio Elon musk bhana,Kumbe Mimi ninayekaa kwetu ni powa tu?
Baba Mimi sihami hapa ndio kwetu niende wapi?
Elon kumbe hana tofauti na nswahili tu.Devils worshiper huyo apuuzwe,hana nyumba ila analala 5 star hotel,presidential suit,ofisi yake iko customised kuacomodate familia
Ni kama hana kazi vile sawa na Chawa tuHuyu jamaa Yuko kama Mo, tajir Gani unakuwa unaropokwa tu
Hata siku moja hawasemi ukweliUsiwaamini sana waliofanikiwa.
Usiwaamini sana waliofanikiwa.
Mbona Rizi moko nae hana hata gari, gari anazoendesha huwa anaazima kwa marafiki zake wa karibu!!Jomba ana majumbaa, na makampuni makubwa.
Ashindwe sehemu ya kuishi