Eliza na Ex-Boyfriend wake

Eliza na Ex-Boyfriend wake

Mlolongo

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
3,631
Reaction score
6,494
Ex: Eliza mambo

Eliza: poa tu nani!!

Ex: aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.

Eliza: hayo hayakuhusu sema we nani.

Ex: mi Fredy Mcharo

Eliza: jamn mzima wewe za siku!!

Ex: nzur tu nimekumiss.

Eliza: we si uliniacha bwana...

Ex: hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.

Eliza: ndio hivyo ningefanyaje sasa

Ex: bado unaishi kwenye moyo wangu.

Eliza: mmh asante

Ex: Niko tanga kwenu.

Eliza: mmh kweli umefikia wapi?

Ex: lodge tu nimekuja kwenye seminar mara moja ..lodge flan huku chuda

Eliza: haya bhna karibu kwetu.

Ex: mmh namuogopa mumeo

Eliza: hofu yako tu

Ex: njoo hata unisalimie jamani. nimekumiss sana.

Eliza: mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.

Ex: Niamini bado nakupenda naomba uje.
v-mmh kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...

Ex: poa saa ngap.

Eliza: Anaenda kazini asubh ko mi ntatoka saa nne.

Ex: poa ntakuambia chumba nilichopo.

Eliza: wee siingii lodge mimi..mi mke wa mtu usijisahaulishe

Ex: please sitakufanya chochote ..siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.

Eliza: wee ndio munasemaga hivyo hivyo

Ex: please siwez niamini

Eliza: sawa lakini sitakaa sana....story tu sitaki mambo mengine.

Ex: poa usijar mamy.

Eliza: sawa .

Hivi ndivyo ma ex wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.

Ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX labda kwa mwanamke matuared!!!......

Fuatiliaa hii.........

BAADA YA KUONANA HIYO KESHO

Eliza: ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex..sijapenda kiukweli

Ex: Nisamehe wangu..nilishindwa si unajua tuliko toka..asante nimeenjoy sana

Eliza: sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje

Ex: Hawez jua atajuaje sasa!!

Eliza: jua hivyo tu....usitume text amekuja...

Ex: poa usiku mwema.

BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA

Eliza: nambie

Ex: poa kaondoka

Eliza: ndio ila akija ntakuambia.

Ex: poa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.

Eliza: ntaangalia asipokuwepo.

Ex: mmh so akiwepo

Eliza: mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu ntakuja ila sitakaa

Ex: sawa.. nakupenda sana

Eliza: nakupenda pia ila usirudie kuniumiza.

Ex: sitaweza dear!!!

Hivyo ndivyo mwnaamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!!
kumbukumbu zikirusdishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue!!
 
Karantini inawafanya watu kugundua vipaji vyao na mtaendelea kutunga mpk chanjo ipatikane😂😂 ngoja nihamie kwa yule jamaa alieenda kwa mganga nikitoka hapo naenda kwa yule wa mgodini😂😂 Radha tofauti tofauti mpk unahisi huu mwisho wa dunia watu wanatoa ya moyoni😜😜😂😂
 
Ex-Eliza mambo
Eliza-poa tu nani
Ex-aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.
Eliza-hayo hayakuhusu sema we nani.
Ex-mi Fredy Mcharo
Eliza -jamn mzima wewe za siku
Ex-nzur tu nimekumiss.
Eliza-we si uliniacha bwana...
Ex-hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.
Eliza-ndio hivyo ningefanyaje sasa
Ex-bado unaishi kwenye moyo wangu.
Eliza-mmh asante
EX-Niko tanga kwenu.
Eliza-mmh kweli umefikia wapi.
Ex-lodge tu nimekuja kwenye seminar mara moja ..lodge flan huku chuda
Eliza-haya bhna karibu kwetu.
Ex-mmh namuogopa mumeo
Eliza-hofu yako tu
Ex-njoo hata unisalimie jamani.nimekumiss sana.
Eliza-mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.
Ex-Niamini bado nakupenda naomba uje.
v-mmh kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...
Ex-poa saa ngap.
Eliza -Anaenda kazini asubh ko mi ntatoka saa nne.
Ex-poa ntakuambia chumba nilichopo.
Eliza-wee siingii lodge mimi..mi mke wa mtu usijisahaulishe
Ex-please sitakufanya chochote ..siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.
Eliza-wee ndio munasemaga hivyo hivyo
Ex-please siwez niamini
Eliza-sawa lakini sitakaa sana....story tu sitaki mambo mengine.
Ex-poa usijar mamy.
Eliza -sawa .

Hivi ndivyo ma ex wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.....ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX labda kwa mwanamke matuared!!!......fuatiliaa hii

BAADA YA KUONANA HIYO KESHO

Eliza-ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex..sijapenda kiukweli

EX-Nisamehe wangu..nilishindwa si unajua tuliko toka..asante nimeenjoy sana

Eliza-sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje

EX-HAawez jua atajuaje sasa!!

Eliza-jua hivyo tu....usitume text amekuja...

Ex-poa usiku mwema.

BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA

Eliza-nambie

EX-poa kaondoka

Eliza-ndio ila akija ntakuambia.

Ex-poa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.

Eliza-ntaangalia asipokuwepo.

Ex-mmh ko akiwepo

Eliza-mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu ntakuja ila sitakaa

Ex-sawa..nakupenda sana

Eliza-nakupenda pia ila usirudie kuniumiza.

Ex-sitaweza dear!!!

*Hivyo ndivyo mwnaamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!!kumbukumbu zikirusdishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue!!...., dada heshimu ndoa yako!!huyo ex angekuwa anakupenda sana angekuoa basi, !!anarudi sababu umeolewa anajua hutamsumbua atakuwa mpigaji tu na hakuna mapenzi hapo...!!!!na wewe mwanaume anayetembea na mke wa mtu kisa ex wako ..fikiria tu mkeo ww ndio anakufanyia hivyo!!maumivu utayoyapta ndio atayopitia mume wa ex wako akijua!!when goes around comes arounds unayomfanyia mke wa mwenzio hata mkeo anafanyiwa hivyo hivyo sema hujui tu!!hakuna ubaya unaoenda bure...Amini..
Courtesy of Copy - paste

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na huyo mume pia ni ex wa mtu.
Vice versa.
 
Mpaka napata mda wa kuchati na x wng hivo ujue weww mme wng kuna kitu umelegarega ndan, mie nna aman zote na mme wng huyo x akintafuta namshushua najitutumue ajue sijutii kuachana nae mbwa yule
 
Siku zote nasemaga akili kwa mwanamke ni kila kitu, ukioa kichwa panzi utato.mbewa tu.

Kuna ex wangu mmoja alikua ananipenda mbaya nikamzingua tukaachana, Nna uhakika 100% bado yuko single lakini siku nikimtext hajawahi hata siku moja kujibu meseji au kupokea simu.
 
Mpaka napata mda wa kuchati na x wng hivo ujue weww mme wng kuna kitu umelegarega ndan, mie nna aman zote na mme wng huyo x akintafuta namshushua najitutumue ajue sijutii kuachana nae mbwa yule

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mume akilega unamkaza kwa kuchat na ex?

Hapo ndipo wanawake mnapokosea....kosa likifanyika usilimalize kwa hasira utasababisha madhara ambayo utakuja kushindwa kuyatatua maisha yako yote.
 
Ndugu yangu kuna mambo yanaumiza moyo sana kwenye dunia hii, unayemwamini anaweza kukuumiza sana ukajiona dunia yote imekulemea. Play your part, wapende wanao na ndugu zako.

Hawa wengine hata ujikaange kwenye mafuta kamwe wataendelea tu kufanya mambo yao. Usiumie, utakufa kwa presha
 
Back
Top Bottom