swala la shahada awe nayo asiyo nayo aitusaidi lakini kwa uwezo wa mnyika alionao wa uchambuzi wa mambo na jinsi anavyo pambana na mafisadi sisi hyo shahada ya darasani atuna shida nayo tuna shida na uwezo wake na jitihada zake kupambana na ukombozi wa nchi hii.
Je kwa wao ambao wana shahada mbona wamefukuzwa na wanatapa tapa? Waende zao uko awajui pakufia kisiasa
Mkuu.
Haya, mfano Mnyika anasema nimesoma masoma ya shahada (BBA) evening program pale udsm lakini sija tunukiwa shahada hiyo (kwa maana hiyo hana shahada inayotambuliwa kisheria na kitaaluma japo amesoma shahada)
Ndio maji yatakuja ubungo na kueleza ubadhirifu wa mabilioni ya fedha kwenye mradi wa mchina?!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sioni connection ya elimu ya Mnyika na ulichokiandika labda tuanze na elimu yako kwanza .....maana nashindwa hata nianze wapi umechanganya maada hata hakuna logic........edit kwanza tukupe elimu ya Mnyika
Mijitu inashadadia tu hapa Elimu ya Mnyika Elimu ya Mnyika wakati wenyewe elimu zao za Kuunga Unga
Unaweza kukuta mtu kama Ritz au ZeMarcopolo
1. Darasa la saba alifeli kama Mwigulu akatumia jina la Mtu kurudia huko Nangurukuru
2. Form ame re seat Mpaka amezeeka mpaka akapata Vicredit Vitatu
3. Form Six akafeli akingia Chuo kwa kutumia Mature Entry Examination baada ya Form six kukosa sifa za kuingia chuo
4. Chuo Akadesaaaa Mpaka akamaliza na GPA yake ya 2.0
5. Akaenda Mzumbe akahonga walimu wampe Thesis na sasa hivi ana ka MBA
Halafu wanaleta U.puuzi hapa na watu wanakesha Kujadili. Hivi mtu kama Mwampamba aliyeenda Ualimu baada ya Kufeli Form Six anaweza akaongelea Elimu ya Mnyika Kweli?
Acheni U.puuzi jamani
Mkuu ZeMarcopolo sikuwa nafahamu kama na wewe ni M.puuzi kwa Kiwango hiki.
Yaani Unataka Mnyika apande Jukwaani asema
1. Nilimaliza Shule ya Msingi mwaka 1994 Nikaongongoza Kitaifa?
2. Nikamaliza Form Four Mwaka 1998 Niokaongoza Kitaifa?
3. Nikamaliza Tambaza Form Six Mwaka 2001 Nikapata Div Three?
4. Nikajiunga Chuo nikapata BBA?
Ama Hakika Mnyika akijitokeza na akazungumza hayo anatakuwa M.puuzi zaidi yako
Kama zemarcopolo elimu yake ni ya kuungaunga, akigombea ubunge anawajibika kusema ukweli kuwa elimu yake ni ya kuungaunga. Akiwadanganya wananchi kuwa ana degree ambayo hana inakuwa siyo sahihi na hawezi kujiainisha kuwa ni muumini wa utawala bora wakati ametumia uongo kupata uongozi.
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.
wewe ndiye mpuzi kabisa.
mnyika asifiche elimu yake.
Ni wapi na Lini Mnyika ameshawahi kuzungumzia Elimu yake? Wapi na lini Mnyika ameshawahi Kusema ana Degree? Nimesema Mnyika akijiyokeza na kujibu huu U.puuzi na yeye atakuwa M.puuzi kama Ninyi
Naona umeshaanza kuelewa...
Jamani wekeni sawa mambo...a shahada ipo au haipo?
Mnyika rudi shule kama Mrema.
Wewe ni Mpuuzi kama Wa.puuzi wengine
Mnyika Mtoto wa Juzi tu unasema anaficha elimu yake? Kwani Mnyika amesomea Mbinguni mpaka watu wawe hawaijui elimu yake hadi apande Jukwaani. Mnyika akipanda Jukwaani kujibu huu Upuuzi atakuwa M.puuzi kuliko wewe. Mnyika
1. Kamaliza Darasa la saba mwaka 1994. Na Unajua Matokeo yake
2. Kamaliza Form Four mwaka 1998. Na Unajua Matokeo yake
3. Mnyika Kamaliza Form Six mwaka 2001. Na Unajua Matokea yake
4. Mnyika kamaliza BBA Mlimani (Hakuwa anasomea Mbinguni) Na Unajua Matokeo.
Kuuliza Maswali ambayo majibu yake unayajua ni U.puuzi
kwahiyo alipata division one point 3 tambaza a level! my foot!
watu wapuuzi mnatetea hata upuzi. mwambieni mnyika arudishe cv yake kule website ya bunge. anaficha nini.
kuwa kiongozi bora sio lazima uwe na elimu kubwa. ila hata ukiwa na elimu darasa la saba sema hivyo.
kwahiyo alipata division one point 3 tambaza a level! my foot!
ipo BBA
Hakuna mahala Mnyika amewahi kusema alipta division one point tatu Tambaza. Yaani mna mlisha Maneno halafu mnataka ayathibitishe. Ndio Upuuzi wenyewe huu