Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

Ni sahihi kabisa Kalindi lakin pia inategemeana na uwezo wa vyote hivyo, je ni geniune? Maana mchina anakuandikia 80watts kumbe inafua umeme 40watts tu.
Pili nashauri ubadirishe bulb kama nilioyoeleza hapo mwanzo. Weka za
Wat 3 nje
Wat 2 sebureni
Wat 1 vyumbani

Hazili umeme mwingi. Soma hapo mwanzo mwa uzi nimeelezea kwa kirefu

Swali? Je betri yako huwa inajaa charge? Ni aina gani?
Maana kama inajaa na inawahi kuisha basi imechoka na kama haijai basi ongeza panel kubwa zaidi

Nina taa 3wtts @ nje 2 nawasha mwisho saa 4 usiku kisha nazima

Nina taa 5wtts 1 siting room mwisho saa 4 inazimwa na nina taa 3wtts 3 vyumbani baada ya kulala baada ya hapo nawasha kwa mahitaji endapo yatajitokeza

Kuhusu panel na betri ambavyo ni halisi kwa huo mfumo wangu nataka niongezee hapo baadae tv 32" flat screen niandae kiasi gani na wapi vinapatikana nipo Dodoma?
 
Gharama hutegemeana na matumizi ila kwangu ni kama ifutavyo.
.Panel ya 160watt ...500,000/-
.Sealed battery 500N ..500,000/-
.Phoenix Auto Inveter 12V/350VA..400,000/-
.15A Controller 250,000/-
.Base ya panel 30,000 hili ni chuma (angleline ambalo halishiki kutu) linakatwa then linaungwa kwa umeme japo wengine huunga mbao.

Wireing inategemeana na ukubwa na matumizi yako, mf kwangu nimeweka system mbili tofaut na zinajitegemea Tanesco na Solar, maana yake ni kwamba nimefanya a complete wiring system zinazojitegemea na pia nilijiwekea standards kuwa sitaki extension cables ndani na nje ya nyumba so utakuta ukuta mzima umejaa socket za umeme maana kila kitu kinachukulia ukutani and mind u kuna socket za tanesco na za solar.

Bei ya bulb 5000/- kwa watts yoyote (1,2 au 3) kila moja so itatemeana na idadi

Huu ni mwaka wa tatu sasa na sijajuta na pia nataka niongeze tena walau panel moja na betri yake kwa ajiri ya fridge tu

Kwa mahesabu hayo nimewekeza zaidi ya 3m ila pia si lazima uanze kwa level hiyo hapana, unaweza kuanza kidogo kidogo hasa kwenye wiring lakin panel na battery lazima upate vitu geniune
mkuu hiyo battery ya 500N inapatikana wapi? maana mie nimetafuta hadi nimeshindwa nipo Dar. nionavyo mie inverter yako ni ndogo kuliko uwezo wa battery. YOu could do more kwa inverter yenye watt au VA nyingi kwani battery yako ni kubwa ambayo ni store nzuri .
lakini jee 160W pannel inaweza ijaza hiyo battery?
 
By Professional mie ni electronics engineer. Ninaishi dar ninaweza kumsaidia yeyote kuhusu hii system bila malipo yoyote, nitakushauri kabla ya kunua na kufunga..online

Nimefunga Solar System nyumbani 2008 baada ya serekali kubadili mfumo na kuleta LUKU service Charge
Nina 2 Panels 90Watts @ = (180Watts)
Batery 7 sealed za 150Ah@ = 1050Ah

Mkuu hiyo system yako estimate cost imecost vipi? na umeme unavotumia is it that efficient maana najua solar power inahitaji investment kubwa kdg kupata the best panels... nahisi nikihitaji ntahitaji zaidi ya hiyo maana mimi ni mtumiaji moja mkubwa sana wa umeme na siwezi kupunguza, gadgets ni kama hobby na ni kazi pia....
umeme wako unakwenda vipi on daiky basis? output ukilinganisha na input from a full day of sunlight..... naeza tengeneza programmable system ya kurotate solar panel kulingana na direction ya jua...
 
mkuu hiyo battery ya 500N inapatikana wapi? maana mie nimetafuta hadi nimeshindwa nipo Dar. nionavyo mie inverter yako ni ndogo kuliko uwezo wa battery. YOu could do more kwa inverter yenye watt au VA nyingi kwani battery yako ni kubwa ambayo ni store nzuri .
lakini jee 160W pannel inaweza ijaza hiyo battery?

Hata mimi hapo nina wasi wasi, battery ya 500 Ah kujazwa na panel ya 160 watts. Alafu hiyo battery ya 500ah nitaipata wapi maana naona bei yake ni nzuri sana, maana deep cycle ya 200Ah made in India ni 500,000. Mimi niwashauri wadau kitu kimoja, hili uwe na mfumo mzuri ni vyema ukamtumia mtaalamu wa mambo ya solar, maana kuna vitu vingi vya kuangalia ikiwa ni pamoja na ukubwa wa vitu unavyotumia, maeneo unakokaa unapata jua jua linalochoma direct kwenye panels kwa masaa mangapi na unataka bank yako ya umeme (battries) itumike masaa mangapi baada ya jua kuacha kuchoma panels. Kuna vitu vingi vya kuangalia lakini kwa kuanza hivi ni vitu vya msingi kuvijua kwanza.
 
Jamani hata hamtaki ku google "solar battery 500ah" anyway mi niliagiza nje kupitia mradi kwa hapa kwetu sina uhakika kama zipo.

Yes i'm so confortable na umeme wa jua na taa za nje zinawaka mpaka asubuhi
 
Hii ni elimu ya bure au tangazo la biashara .

Kuna mdau kesha ambiwa alipie au kaelekezwa duka fulani? Acha ubinafsi Magwio, maisha ni kusaidiana kushauriana na ndo maana halisi ya jf, watu wabadirishane mawazo ili kupunguza na kuboresha maisha.

Magwio unaoneka unaishi maisha magum sana sababu ya Selfish.

"Sharing is caring"
 
Jamani munaoshangaa 160watts kujaza 500ah. Mbona Jubilant ana 180watts na betri 7 za 150ah.

Kama panel ni original inajaza vizuri tu
 
Mkuu jubilant acha kuwadanganya watu. 180Watts pannel hazina uwezo wa kucharge 7 150Ah battery (Labda Jua liwake 24 hours) na wala huwezi kupata umeme wa Kuchomelea Chuma kwa 180 Watts pannel solar system.
 
Last edited by a moderator:
Jamani munaoshangaa 160watts kujaza 500ah. Mbona Jubilant ana 180watts na betri 7 za 150ah.

Kama panel ni original inajaza vizuri tu

Mkuu hizo panel original zinapatikana wapi?
 
Mkuu jubilant acha kuwadanganya watu. 180Watts pannel hazina uwezo wa kucharge 7 150Ah battery (Labda Jua liwake 24 hours) na wala huwezi kupata umeme wa Kuchomelea Chuma kwa 180 Watts pannel solar system.

Mimi naomba msaada wa kujua au zinakopatika hizo panel original
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hizo panel original zinapatikana wapi?

180 Watts to 7 times 150Ah battery? Hiyo no Solar rationing ya wapi? Technically is not possible. Mimi ni 240 Watts pannel ninajaza three 120Ah battery tu.
 
Asante sana Albedo...utakuwa umejibu maswali mengi ya wana jf na huu ndo uungwana...big up chief
 
Ni knowledge nzuri.... I appreciate that.
 
By Professional mie ni electronics engineer. Ninaishi dar ninaweza kumsaidia yeyote kuhusu hii system bila malipo yoyote, nitakushauri kabla ya kunua na kufunga..online

Nimefunga Solar System nyumbani 2008 baada ya serekali kubadili mfumo na kuleta LUKU service Charge
Nina 2 Panels 90Watts @ = (180Watts)
Batery 7 sealed za 150Ah@ = 1050Ah

Matumizi
Nina Desktop Computer 1
Nina Laptop 1
Nina Solar Frige kubwa 290Lrs
Nina 500Watts Power invetor
Nina 32 Inch TV flat screen
Nina taa 3watts 11 ndani
nina taa 5watts 7 nje
Nina Brender 400Watts
Nina Music system 2000Watts PMPO ikipiga just kama uko disco
Mafundi wanakujaga na machine zao za kukata chuma na mbao wanatumia bila shida yoyote.

Sijutii kufunga solar system sio kwamba niko sehemu ambayo Tanesco hawajapita hapana nguzo ya umeme iko 1 meter kutoka nyumba yangu ila utumwa sitaki, kila siku bei ya umeme inapanda utasiki watu wanalia na kulalamika. 2008 elfu kumi nilikuwa napata 112 units sasa hivi 10,000 hata 38 units hupati
Mabadiliko ya kweli hutokea kwenye fikra na unayoyaona kwa nje ni matokeo tu...

Watanzania Tubadili jinsi tunavyo fikiria life is good

LG: life is good. Umeni inspire
 
Back
Top Bottom