Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

jubilant kwa sasa gharama ya kufunga umeme wa kadiri yako ni shilingi ngapi kwa kununua solar

Siwezi kukupa jibu kamili kutokana na kila duka kuwa na bei zake, ila kwa kuanzia ukiwa na 1M naweza kukushauri the best way forward.
 
Last edited by a moderator:
Siwezi kukupa jibu kamili kutokana na kila duka kuwa na bei zake, ila kwa kuanzia ukiwa na 1M naweza kukushauri the best way forward.

ok je kipindi cha mvua vipi inafanya kazi ?na je naweza tumia wiring iliyokuwepo ya tanesco na kuifanya ya solar?
 
Mkuu akohi panel ya 160wtts inawezaje kucharge battery ya 500N au 500Ah?

Kwa panel za zaman za 50watts zilikuwa na uwezo wa kujaza battery ya 100Ah au N100 kutokana na uwezo wa haraka wa kuabsorb jua kwa haraka na pia ikiwa na current kubwa. Kwa hesabu ya:
50w = 100Ah
160w = 300Ah.

Sasa hii panel ya 160w kwa 500Ah na inajaa full atakuwa amepata panel nzur sana.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina Panel ya watt 40, betri ya maji 25N, inverter ya 115-250v na charger control. Kwa matumizi ya saloon ya kunyolea nywele kijijini. Ninawasha taa mbili za watt2, machine moja ya kunyolea, Radio subwoffer na Tv ndogo. Hakuna tatizo lolote nikiwasha taa na radio wakati wowote but nikiwasha Tv after 10minutes umeme unakata! Au nikitumia machine ya kunyolea kwa mfululizo wa masaa mawili tu then inashindwa kufanyakazi although radio na taa zinaendelea kuwaka vizuri. Vitu vyote vinafanyika mchana tu. Nifanye nini ili niweze kuwasha machine wakati wote na ikiwezekana kuwasha tv ndogo.

Tafuta panel ya 80w na panel battery ya N100 kwasabab ya aina ya matumizi yako ya kutumia umeme mchana na usiku. Km ungekuwa unatumia nyumbani hasa kipindi cha usiku ningekushauri utafte solar ya 60watts na battery ya N75 ingekusaidia nyakati za usiku
 
By Professional mie ni electronics engineer. Ninaishi dar ninaweza kumsaidia yeyote kuhusu hii system bila malipo yoyote, nitakushauri kabla ya kunua na kufunga..online

Nimefunga Solar System nyumbani 2008 baada ya serekali kubadili mfumo na kuleta LUKU service Charge
Nina 2 Panels 90Watts @ = (180Watts)
Batery 7 sealed za 150Ah@ = 1050Ah

Matumizi
Nina Desktop Computer 1
Nina Laptop 1
Nina Solar Frige kubwa 290Lrs
Nina 500Watts Power invetor
Nina 32 Inch TV flat screen
Nina taa 3watts 11 ndani
nina taa 5watts 7 nje
Nina Brender 400Watts
Nina Music system 2000Watts PMPO ikipiga just kama uko disco
Mafundi wanakujaga na machine zao za kukata chuma na mbao wanatumia bila shida yoyote.

Sijutii kufunga solar system sio kwamba niko sehemu ambayo Tanesco hawajapita hapana nguzo ya umeme iko 1 meter kutoka nyumba yangu ila utumwa sitaki, kila siku bei ya umeme inapanda utasiki watu wanalia na kulalamika. 2008 elfu kumi nilikuwa napata 112 units sasa hivi 10,000 hata 38 units hupati
Mabadiliko ya kweli hutokea kwenye fikra na unayoyaona kwa nje ni matokeo tu...

Watanzania Tubadili jinsi tunavyo fikiria life is good

Asante Engeneer binafsi naomna ushauri wako mimi nina nyumba ya vyumba vitatu sebule na dinning room pia nina vifaa vya umeme kama music system,tv 32 flat na ki ng'amuzi pia nina frigde mdogo na laptop je nitahitaji solar ya ukubwa gani pamoja na betri zake?NB;Natumia wiring ya Tanesco je nitahitaji wiring nyingine?
Matumizi makubwa ni usiku na mchana ni tv au tedio tu.
Msaada wako plz
 
Asante Engeneer binafsi naomna ushauri wako mimi nina nyumba ya vyumba vitatu sebule na dinning room pia nina vifaa vya umeme kama music system,tv 32 flat na ki ng'amuzi pia nina frigde mdogo na laptop je nitahitaji solar ya ukubwa gani pamoja na betri zake?NB;Natumia wiring ya Tanesco je nitahitaji wiring nyingine?
Matumizi makubwa ni usiku na mchana ni tv au tedio tu.
Msaada wako plz

Unaweza ukafunga system zote mbili kwa pamoja au kwa kutenganisha inategemea na jinsi unavyopenda wewe..
Kukupatia jibu sahihi naomba unipatie hizi taarifa
1. TV yako ina watts gapi? kasome nyuma ya tv kuna label inaonyesha hizo taarifa
2. Fridge yako ina watts ngapi
3. Radio ni watts ngapi
4. Kingamuzi kinatumia 12v adapter? au unachomeka umeme moja kwa moja kwenye kingamuzi?
5. Nyumba yako ina taa? ziko ngapi na zina watts nagpi?

Baada ya hapo ndio tutaongelea ni mfumo gani unaupendelea
 
Naomba kuelimishwa juu ya full usage ya nyumba ya kawaida. Tuchukulie yani nyumba nzima kuanzia friji,tv,pasi,jiko na hata washing mashine na nisiwe na wasiwasi wa kukatikiwa kati ya siku nitahitaji budget ya kiasi gani kwa sollarpanels,inverter,na zile betry kubwa kabisa zenye nguvu.in short nikitaka kufunga mkataba na tanesko na kuhamia solar kwa mahitaji yoote ya nyumbani gharama zinaweza kuwa kiasi gani..naomba kufahamishwa wakuu.

Weka budget ya 10m-15m hapo mpaka ac na fan
 
Asante Engeneer binafsi naomna ushauri wako mimi nina nyumba ya vyumba vitatu sebule na dinning room pia nina vifaa vya umeme kama music system,tv 32 flat na ki ng'amuzi pia nina frigde mdogo na laptop je nitahitaji solar ya ukubwa gani pamoja na betri zake?NB;Natumia wiring ya Tanesco je nitahitaji wiring nyingine?
Matumizi makubwa ni usiku na mchana ni tv au tedio tu.
Msaada wako plz

Weka budget ya 3-5m maana huwezi kutumia wiring ile ile kwa solar na tanesco, kila kimoja kinajitegemea
 
Weka budget ya 3-5m maana huwezi kutumia wiring ile ile kwa solar na tanesco, kila kimoja kinajitegemea

Asante Eng ila mimi bado sijaunganisha umeme wa Tanesco ingawa wiring tyr nilitaka kufahamu kama naweza tumia wirinh ile ile kabla sijaunga Tanesco kwa sasa natumia Generator kubwa lkn no ghari na lina kelele
 
Weka budget ya 10m-15m hapo mpaka ac na fan

mkuu hapa ni hadi wiring.pia naweza kutumia vifaa vya kawaida na sio special kwa solar?mfano friji,pasi heater,brenders jiko? tafadhali mijulishe mkuu, pia itakuwa vyema kama ukinieleza ni kifaa kipi na kipi na hata price estimation na ukubwa wa kila kimoja hasahasa batery,panels inverter pamoja na monitor 'estimation tu mkuu'...natanguliza shukran
 
hiyo bettery ya 500N mbona sijawahi iona naomba ufafanuzi
 
mkuu hapa ni hadi wiring.pia naweza kutumia vifaa vya kawaida na sio special kwa solar?mfano friji,pasi heater,brenders jiko? tafadhali mijulishe mkuu, pia itakuwa vyema kama ukinieleza ni kifaa kipi na kipi na hata price estimation na ukubwa wa kila kimoja hasahasa batery,panels inverter pamoja na monitor 'estimation tu mkuu'...natanguliza shukran

Kama utaweka inverter maana yake utatumia chochote ila usipoweka hutatumia lakin pia kwa vile vifaa apecial vya solar nashauri utumie solar which means umeme wake utakuwa direct kutoka kwenye panel, inalazim umeme upitie kwenye inveter kama vifaa vyako sio vya solar
 
Asante Eng ila mimi bado sijaunganisha umeme wa Tanesco ingawa wiring tyr nilitaka kufahamu kama naweza tumia wirinh ile ile kabla sijaunga Tanesco kwa sasa natumia Generator kubwa lkn no ghari na lina kelele

Yes hapo sawa tu ila hauhitaji socket breaker wala main switch japo unaweza kuitumia tu lakin si lazima
 
Kama utaweka inverter maana yake utatumia chochote ila usipoweka hutatumia lakin pia kwa vile vifaa apecial vya solar nashauri utumie solar which means umeme wake utakuwa direct kutoka kwenye panel, inalazim umeme upitie kwenye inveter kama vifaa vyako sio vya solar

Sawasawa mkuu. Nahapa nitahitaji vifaa vyenye specification gani kaka..yaani ukubwa wake...na ni umeme wa kukata usiku kati au ni ule continuous mkuu..ndio maana nimeuliza specification nijue ukubwa wa betry ule wa mwisho kabisa kaka.
 
Nimefaidi sana nimeprint maelezo yote ngoja nikasome vizuri tayari kwa maamuzi sahihi maana huu umeme wa muongo hauaminiki sana.
 
Weka budget ya 3-5m maana huwezi kutumia wiring ile ile kwa solar na tanesco, kila kimoja kinajitegemea

Mkuu naomba niongezee kitu hapo...kwenye swala la wiring halina ulazima wa kuwa na wiring zaidi ya moja. Kikubwa ni kujua izo source of power unataka kuzitumia kwa wakati mmoja au moja iwe master na nyingine iwe back-up. Unaweza kutumia change over switch pia badala ya kufanya wiring mpya kulinda uchumi wako. Au km unahisi kuna haja ya kuwa na wiring mbili tofauti pia unaweza na kila source of zikajitegemea.
 
Safi sana Kontelo, kweli hapo niliwachanganya wana jf.

Iko hivi.
Mimi niliamua kuwa na system mbili za umeme kwa maana ya tanesco na solar na kila moja inajitegemea ambapo taa zote ni solar na baadhi ya socket chache, tanesco ni fridge na pasi tu

Ukitumia change over switch basi wiring itakuwa moja tu
 
By Professional mie ni electronics engineer. Ninaishi dar ninaweza kumsaidia yeyote kuhusu hii system bila malipo yoyote, nitakushauri kabla ya kunua na kufunga..online

Nimefunga Solar System nyumbani 2008 baada ya serekali kubadili mfumo na kuleta LUKU service Charge
Nina 2 Panels 90Watts @ = (180Watts)
Batery 7 sealed za 150Ah@ = 1050Ah

Matumizi
Nina Desktop Computer 1
Nina Laptop 1
Nina Solar Frige kubwa 290Lrs
Nina 500Watts Power invetor
Nina 32 Inch TV flat screen
Nina taa 3watts 11 ndani
nina taa 5watts 7 nje
Nina Brender 400Watts
Nina Music system 2000Watts PMPO ikipiga just kama uko disco
Mafundi wanakujaga na machine zao za kukata chuma na mbao wanatumia bila shida yoyote.

Sijutii kufunga solar system sio kwamba niko sehemu ambayo Tanesco hawajapita hapana nguzo ya umeme iko 1 meter kutoka nyumba yangu ila utumwa sitaki, kila siku bei ya umeme inapanda utasiki watu wanalia na kulalamika. 2008 elfu kumi nilikuwa napata 112 units sasa hivi 10,000 hata 38 units hupati
Mabadiliko ya kweli hutokea kwenye fikra na unayoyaona kwa nje ni matokeo tu...

Watanzania Tubadili jinsi tunavyo fikiria life is good

Mkuu hapa kwenye panel 180wtts na betri 1050Ah bado sijaelewa.

Nimekuwa nikifuatilia mijala hapa jf kuhusu mfumo wa solar maoni ya wengi wanatoa kulingana uzoefu wao ni kwamba inapendeza na ili usijutie mfumo wa solar kama betri 100Ah basi inatakiwa panel angalau iwe 120wtts.

Yaani kifupi panel iwe na namba inayozidi kidogo betri ili kuwe na uhakika wa kujaa

Mfano halisi mimi nina panel 45wtts na betri 100Ah yaani inanisumbua sana mwanga hafifu sana kwa kiasi fulani nakubaliana nao.

Naomba utupe uzoefu wewe hapo kwa mfumo wako wa panel 180wtts na betri za 1050Ah haikupi shida?
 
Mkuu hapa kwenye panel 180wtts na betri 1050Ah bado sijaelewa.

Nimekuwa nikifuatilia mijala hapa jf kuhusu mfumo wa solar maoni ya wengi wanatoa kulingana uzoefu wao ni kwamba inapendeza na ili usijutie mfumo wa solar kama betri 100Ah basi inatakiwa panel angalau iwe 120wtts.

Yaani kifupi panel iwe na namba inayozidi kidogo betri ili kuwe na uhakika wa kujaa

Mfano halisi mimi nina panel 45wtts na betri 100Ah yaani inanisumbua sana mwanga hafifu sana kwa kiasi fulani nakubaliana nao.

Naomba utupe uzoefu wewe hapo kwa mfumo wako wa panel 180wtts na betri za 1050Ah haikupi shida?


Ni sahihi kabisa Kalindi lakin pia inategemeana na uwezo wa vyote hivyo, je ni geniune? Maana mchina anakuandikia 80watts kumbe inafua umeme 40watts tu.
Pili nashauri ubadirishe bulb kama nilioyoeleza hapo mwanzo. Weka za
Wat 3 nje
Wat 2 sebureni
Wat 1 vyumbani

Hazili umeme mwingi. Soma hapo mwanzo mwa uzi nimeelezea kwa kirefu

Swali? Je betri yako huwa inajaa charge? Ni aina gani?
Maana kama inajaa na inawahi kuisha basi imechoka na kama haijai basi ongeza panel kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom