akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 787
- 527
Kwanza kabisa naomba nitahadhalishe kuwa mimi sio expert wa hii kitu ila nahakika walau mtapata mawili au matatu lakini pia naamini wataalam zaidi watakuja kufafanua na pengine kujibu maswali.
Ni ukweli usiopingika kuwa watu wengi wana uelewa wa hii nguvu lakini pia nahakika kuwa kwa namna moja ama nyingine elimu ni bahari.
Kwangu nimefunga
1. Panel ya 160w (made in ujerumani).
2. Dry battery ya 500N (made in Ujerumani)
3. Inverter ya Victron/Phoenix) 12v, 350va (made in Philipine) ambayo ni auto na haina kelele
4. Dash board 15A/ solar power controller aina ya Steca/Solarix PRS 1515 ya (made in zhing zong)
Na vifaa tajwa hapo juu vinategemeana na matumizi yako ila mimi nina run
TAA
1Watt 5pcs...vyumbani na chooni
2Watt 6pcs...sebureni, corridor na store
3Watt 9pc...nje
Hizi zinauzwa pale Quality Centre moja 5000/ na zina mwanga wa kutosha kama nilivyoeleza hazitumii umeme mwingi tofauti na zamani kipindi nanunua niliuziwa taa zenye watt 10 mpaka 20 ziko kama tube light hizi za sasa ni bulb ambazo kimsingi ilikuwa hata TV kuangalia ni anasa maana taa tu hazikeshi usiku kucha.
(Nilizibadilisha kwa kununua kwanza chache ili nitest mwanga nikakuta zipo poa kabisa) so ikanilazimu nibadilishe zote.
Zinasambazwa na Step Entertaiment hawa jamaa wa Bongo movie.
Na kwa hakika hapa kwenye taa ndo wengi wetu tunaumia maana taa zinakuwa ni A kizamani wakati tech ime advance sana.
Nina Flat Tv 32"
Nina Laptop
Ambapo nimekuja kugundua laptop inakula umeme mwingi sana kuliko flat tv maana unaweza kuangalia tv siku nzima na ukawa safi tu kuliko tofauti na ukitumia laptop. Hapa siongelei TV zile za zamani zenye shape kama kisogo maana ninayo lakini nilishindwa kuitumia kwenye solar.
FAIDA
Haitatokea hata siku moja vifaa vyako kuungua
Pia gharama yake ni mwanzo tu wakati unanunua vifaa.
HASARA
Umeme wake hautoshi mahitaji yote mf pasi, jiko, fridge japo siku hiz zipo water pump, pasi, fridge na freezer za solar ila sijajua utendaji kazi wake.
Cha zaidi nashauri Panel yako iwe upande ambao jua ndo linaonekana kwa asilimia kubwa japo panel zingine zinahitaji mwanga tu then unatosha kuchaji betri yako.
Na fundi aifunge panel sambamba na bati ili kuisaidia uchafu ama vumbi kuwa linatoka lenyewe na hii itasaidia ufanisi wake pia, kuliko kuifunga horizontal maana itasababisha uchafu na vumbi vigande juu yake.
ANGALIZO
Vitu muhimu vya kuangalia wakati wa manunuzi ni Panel, Betri na Inveter ila kama utahitaji kuwa una chaji simu au radio au tv na kama ni taa tu hauhitaji inverter.
Wataalam munaweza kuongezea hapo.
Pamoja
alfred.kohi@kcd.co.tz
Ni ukweli usiopingika kuwa watu wengi wana uelewa wa hii nguvu lakini pia nahakika kuwa kwa namna moja ama nyingine elimu ni bahari.
Kwangu nimefunga
1. Panel ya 160w (made in ujerumani).
2. Dry battery ya 500N (made in Ujerumani)
3. Inverter ya Victron/Phoenix) 12v, 350va (made in Philipine) ambayo ni auto na haina kelele
4. Dash board 15A/ solar power controller aina ya Steca/Solarix PRS 1515 ya (made in zhing zong)
Na vifaa tajwa hapo juu vinategemeana na matumizi yako ila mimi nina run
TAA
1Watt 5pcs...vyumbani na chooni
2Watt 6pcs...sebureni, corridor na store
3Watt 9pc...nje
Hizi zinauzwa pale Quality Centre moja 5000/ na zina mwanga wa kutosha kama nilivyoeleza hazitumii umeme mwingi tofauti na zamani kipindi nanunua niliuziwa taa zenye watt 10 mpaka 20 ziko kama tube light hizi za sasa ni bulb ambazo kimsingi ilikuwa hata TV kuangalia ni anasa maana taa tu hazikeshi usiku kucha.
(Nilizibadilisha kwa kununua kwanza chache ili nitest mwanga nikakuta zipo poa kabisa) so ikanilazimu nibadilishe zote.
Zinasambazwa na Step Entertaiment hawa jamaa wa Bongo movie.
Na kwa hakika hapa kwenye taa ndo wengi wetu tunaumia maana taa zinakuwa ni A kizamani wakati tech ime advance sana.
Nina Flat Tv 32"
Nina Laptop
Ambapo nimekuja kugundua laptop inakula umeme mwingi sana kuliko flat tv maana unaweza kuangalia tv siku nzima na ukawa safi tu kuliko tofauti na ukitumia laptop. Hapa siongelei TV zile za zamani zenye shape kama kisogo maana ninayo lakini nilishindwa kuitumia kwenye solar.
FAIDA
Haitatokea hata siku moja vifaa vyako kuungua
Pia gharama yake ni mwanzo tu wakati unanunua vifaa.
HASARA
Umeme wake hautoshi mahitaji yote mf pasi, jiko, fridge japo siku hiz zipo water pump, pasi, fridge na freezer za solar ila sijajua utendaji kazi wake.
Cha zaidi nashauri Panel yako iwe upande ambao jua ndo linaonekana kwa asilimia kubwa japo panel zingine zinahitaji mwanga tu then unatosha kuchaji betri yako.
Na fundi aifunge panel sambamba na bati ili kuisaidia uchafu ama vumbi kuwa linatoka lenyewe na hii itasaidia ufanisi wake pia, kuliko kuifunga horizontal maana itasababisha uchafu na vumbi vigande juu yake.
ANGALIZO
Vitu muhimu vya kuangalia wakati wa manunuzi ni Panel, Betri na Inveter ila kama utahitaji kuwa una chaji simu au radio au tv na kama ni taa tu hauhitaji inverter.
Wataalam munaweza kuongezea hapo.
Pamoja
alfred.kohi@kcd.co.tz
Gharama hutegemeana na matumizi ila kwangu ni kama ifutavyo.
*Panel ya 160watt ...500,000/-
*Sealed battery 500N ..500,000/-
*Phoenix Auto Inveter 12V/350VA..400,000/-
*15A Controller 250,000/-
*Base ya panel 30,000 hili ni chuma (angleline ambalo halishiki kutu) linakatwa then linaungwa kwa umeme japo wengine huunga mbao.
Wiring inategemeana na ukubwa na matumizi yako,
Mf kwangu nimeweka system mbili tofaut na zinajitegemea Tanesco na Solar, maana yake ni kwamba nimefanya a complete wiring system zinazojitegemea na pia nilijiwekea standards kuwa sitaki extension cables ndani na nje ya nyumba so utakuta ukuta mzima umejaa socket za umeme maana kila kitu kinachukulia ukutani and mind u kuna socket za TANESCOna za solar.
Bei ya bulb 5,000/- kwa watts yoyote (1,2 au 3) kila moja so itatemeana na idadi.
Huu ni mwaka wa tatu sasa na sijajuta na pia nataka niongeze tena walau panel moja na betri yake kwa ajiri ya fridge tu
Kwa mahesabu hayo nimewekeza zaidi ya 3m ila pia si lazima uanze kwa level hiyo hapana, unaweza kuanza kidogo kidogo hasa kwenye wiring lakin panel na battery lazima upate vitu geniune
How to choose the right equipment for my needs.
For simplicity, let's assume you have a 100 watt device that you want to power with free solar energy for 10 hours each night.
To figure out what size solar panel, batteries, charge controller and inverter you need, follow the simple steps below.
1. Calculate how much energy is needed. 100 Watts x 10 hours = 1,000 Watt hours. That is the total energy you will need.
2. Now calculate what size solar panel you will need. Based on a ten hour day of light, the calculation is simple:
----1,000 Watt hours / 10 hours sunlight = 100 Watt solar panel.
----The reality is that most summer days give about 15 hours of sunlight and winter you get about 4-5 hours of sunlight. Always choose the worst case scenario for-
----your solar panel. In this case, go with a winter day of 5 hours sunlight.-
----1,000 Watt hours / 5 hours sunlight = 200 Watt solar panel.
----(Based on average United States daily sunlight hours.)
3. Calculate what size batteries you need. 1,000 Watt hours divided by 12 Volts = 83 Amp Hours of reserve battery power.
----1,000 / 12 = 83.3
----An average marine deep cycle battery will work well here. Select a larger size battery to be sure, say 100 Amp hours capacity.
4. To figure what size solar charge controller is needed, take your solar panel wattage, which is 100 watts divided by 12 Volts.
----100 / 12 = 8.3 Amps.
----Always go larger, in this case use a 10 Amp solar charge controller.
5. Calculate what size inverter is needed. That's the easy part. You need to power a 100 Watt load, so select an inverter that has
----at least 100 Watts continuous power rating