Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Jamani Mi nilikuwa napata Chanel zote za muvitv nikafuta baada ya kuwa Chanel nyingi kutokuwa zinaonesha. Niliingiza upya zimegoma kurudi. Naombeni msaada wenu.

Ingiza hizi frequency mdau utapata zinaonekana vizuri tu. 10721 H 30000, 12604 H 30000, 10962 H 3255 na 12728 30000 hapo utapata channels 34
 
kama umebalance dish vizuri ingiza 12016 v 29950
12054 v 29950 hapo pia utapata Chanel kama 34
 
Ni king'amuzi gani kizuri zaidi kwa sasa? In terms of channel nyingi na nzuri, socer included. Na pia ina local channels zote kubwa. Gharama za vifurushi nafuu, na pia uwezo wa kuongeza sattelite za kuchakachua
 
Ni king'amuzi gani kizuri zaidi kwa sasa? In terms of channel nyingi na nzuri, socer included. Na pia ina local channels zote kubwa. Gharama za vifurushi nafuu, na pia uwezo wa kuongeza sattelite za kuchakachua

bado azam wapo juu
 
Ingiza hizi frequency mdau utapata zinaonekana vizuri tu. 10721 H 30000, 12604 H 30000, 10962 H 3255 na 12728 30000 hapo utapata channels 34
faemba na MaxMase Kwangu intensity inasoma 77 na quality 40 lkn hakuna channel inakubali kwa frequency hizi, au position ya dish sio nzuri?
 
Last edited by a moderator:
tatizo lipo kwenye kuaadd satelite kwani lazima kuna vitu vya kuseti kama LNB Freq 9750- 10600.Disceqc - 1.2,LNB Power - auto, 22k - auto, switch port - port 1, Toneburst - 1, Location - east, Longitude – 7 . Then ndo unaadd hizo frequency tulizo kupa kwenye hizo satellite mpya let say inaitwa abcd: Labda utupe maelezo ulivyofanya mpaka zikakataa tujuwe ili tuykusaidie
 
tatizo lipo kwenye kuaadd satelite kwani lazima kuna vitu vya kuseti kama LNB Freq 9750- 10600.Disceqc - 1.2,LNB Power - auto, 22k - auto, switch port - port 1, Toneburst - 1, Location - east, Longitude – 7 . Then ndo unaadd hizo frequency tulizo kupa kwenye hizo satellite mpya let say inaitwa abcd: Labda utupe maelezo ulivyofanya mpaka zikakataa tujuwe ili tuykusaidie

Hapo kwenye longitude 7, nashindwa na badala yake naweka 7.0, and yet sipati ht chn 1, msaada
 
mkuu josephjul40 nitawezaje kupata frequency za channel za LTVGE na CRT kupitia kin'gamuzi cha Azam Tv?

Mkuu add satelite afu ipe jina, ipe freq 9750-10600, kisha tupia hizi: 12728 H 30000 utapata channels 5 ikiwemo RTS, rtvge, MTA n.k
 
Last edited by a moderator:
1.Azam TV decoder inatumia pia HDMI cable pia ingawa hakuna hata Channel moja ya HD, ila channel zao zina qaulity nzuri kuliko decoder nyingine za Bongo. Wafanyakazi wa Azam TV ukiwauliza mna HD watakujibu ndio ingawa hakuna nadhani hii ni kwa sababu hawajui maana ya HD. Pia channel zao hazigandigandi kama Startimes na wengine.

2. Azam 1 na Azam 2 ndio channel zinazoonyesha VPL mechi mbili kwa pamoja. HAta mechi zinazochezwa mikoani zinaonyeshwa kulingana na uzito wake. Hii ndio kitu inayowafanya watu wengi waipende.

3. Azam TV inaonekana nchi zote kusini mwa jangwa la Sahara. Hii kitu itawafanya wauze sana hasa kwa watanzania wanoishi nchi hizo.

4. Azam TV haina ITV na Star TV. Bado kuna kubaniana na akina Mengi labda na wao wanataka wapewe hizo za Azam 1 & 2 channels kwenye decoder zao.

5. Kwa ujumla Azam TV itauza sana kwa sababu ya kutumia satellite na pia ina channel karibu zote za Kenya na Uganda hivyo watanzania, wakenya na waganda popote walipo kusini mwa sahara wataitaka tuu.

Jeje sisi ambao tuko Burundi mbona munatutenga aaah.
 
1.Azam TV decoder inatumia pia HDMI cable pia ingawa hakuna hata Channel moja ya HD, ila channel zao zina qaulity nzuri kuliko decoder nyingine za Bongo. Wafanyakazi wa Azam TV ukiwauliza mna HD watakujibu ndio ingawa hakuna nadhani hii ni kwa sababu hawajui maana ya HD. Pia channel zao hazigandigandi kama Startimes na wengine.

2. Azam 1 na Azam 2 ndio channel zinazoonyesha VPL mechi mbili kwa pamoja. HAta mechi zinazochezwa mikoani zinaonyeshwa kulingana na uzito wake. Hii ndio kitu inayowafanya watu wengi waipende.

3. Azam TV inaonekana nchi zote kusini mwa jangwa la Sahara. Hii kitu itawafanya wauze sana hasa kwa watanzania wanoishi nchi hizo.

4. Azam TV haina ITV na Star TV. Bado kuna kubaniana na akina Mengi labda na wao wanataka wapewe hizo za Azam 1 & 2 channels kwenye decoder zao.

5. Kwa ujumla Azam TV itauza sana kwa sababu ya kutumia satellite na pia ina channel karibu zote za Kenya na Uganda hivyo watanzania, wakenya na waganda popote walipo kusini mwa sahara wataitaka tuu.

Kwenye kipengele namba 5 hapo.ITV ipo azam tv na inapatikana vizuri tu.
 
Jamani, kuna yeyote mwenye frequency za FTA za chaneli za dini (kikristo), ukitoa Emmanuel Tv. Nazihitaji, za kiislamu tayari ninazo kama tano hivi.
 
tatizo lipo kwenye kuaadd satelite kwani lazima kuna vitu vya kuseti kama LNB Freq 9750- 10600.Disceqc - 1.2,LNB Power - auto, 22k - auto, switch port - port 1, Toneburst - 1, Location - east, Longitude – 7 . Then ndo unaadd hizo frequency tulizo kupa kwenye hizo satellite mpya let say inaitwa abcd: Labda utupe maelezo ulivyofanya mpaka zikakataa tujuwe ili tuykusaidie

Mkuu nitaifanyia kazi hii na kuleta mrejesho hapa, maana ni kama kuna vingine sijaviona wakati ni add hizi channels. Asante
 
Natumia dish la f6 na receiver ya mediacom MFT 930PLUS nimefunga ku chin ya cband naomba msaada kupata frequency za KBC1 na nyinginezo pls
 
Natumia dish la f6 na receiver ya mediacom MFT 930PLUS nimefunga ku chin ya cband naomba msaada kupata frequency za KBC1 na nyinginezo pls

kbc ili uipate siku hizi lazima uipate satelite iitwayo yahsat ambayo ni ngumu sana kupatikana maana beam yake ipo mbali sana. kama upo interested na kbs tafuta dish zaidi ya ft12 tofauti na hapo hutaipata kwa ft6
 
Back
Top Bottom