Alex Mponela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 254
- 109
Umekasirika!
Chunguza Wadada Wa Vyuo Vikuu Ambao Tunasema Ni Miongoni Mwa Wasomi Ambavyo Suala La Ngono Wanavyolichangamkia Pamoja Na Kupewa Elimu Ili Wajikomboe Kifikra Lakn Patupu, Kwa Nawapa Pole Hata Wanaowaoa Mabiti Hawa Kwa Kuwa ---- Zao Zimechewa Kupita Kiasi. Kazi Kwenu Wasomi Na Elimu Za Kikuda.
Kwani wasomi wamesema wewe ni husband material? huenda na wao wanaona wewe ni wa kuchunwa na kuachwa. Kuoa ni hiari ya mtu na kuolewa hali kadhalika.Dunia ni uwanja wa fujo kila mtu hucheza ngoma yake. Ukitaka wasio soma wapo, drs la 7 wapo chuo wapo ni kama kinywaji ukitaka kimpumu kipo beer ipo wisky halikadhalika ni wewe tu na kujipima kwako.
Lakini wasomi wanaume wasiopenda wasomi wenzao mara nyingi ni waoga hawapendi challenges, wanapenda watu wa kuwaburuza
Mwanamke aliyesoma hadi f4 ndio mzuri akizidi hapo unaoa dikteta na huwi na sauti kwa walio wengi
challenge wapi mkuu ? Tatizo hawa educated mapepe mno