Elimu Waliyonayo Dada Zetu Vyuo Vikuu Haina Maana

Hivi kuna mwanaume anayetaka kilaza siku hizi???... wewe nenda kaoe hao vilaza wako wa mulugo wanaoshindwa ht kuandika majina yao na kusoma.. ht cc wadada vilaza hatuwataki mana future hawana.
 
mh! elimu ni maarifa anayopata mtu, ambayo humuwezesha kupambanua mbivu na mbovu,,,sidhani kama kuna syllabus inayofundisha kuwa/kuacha umalaya,,, isipokuwa kuassociate na watu ndo kuna mfanya mtu afanye/asifanye, ki2 flan,awe/asiwe m2 flan,,,,ni dhana 2 iliyojengeka kuwa msomi atakuwa right in each and everything lakini ikumbukwe, kuna elimu ya darasani na elimu ya stadi za maisha.Hivyo elimu ya stadi za maisha ndo inachangia kwa kiasi kikubwa mtu kuwa alivyo,,,,elimu ya darasani inampa mwanga wa kujua wap sahh au si sahihi maamuzi yana baki kuwa kwa muhusika. Umalaya hauhusiani na elimu, ni akili ya mtu inavomwongoza.
 
Mwanamke aliyesoma hadi f4 ndio mzuri akizidi hapo unaoa dikteta na huwi na sauti kwa walio wengi
 
kweni huo umalaya wanaufanya na akina nani kama sio wanaume?,sasa inakuaje wao wawe malaya halaf wanaume wao wasiwe malaya?
 
"Inferiority complex".Hyo research yako umeifanyia wap sasa.Kuwa Malaya n tabia ya M2 wala hairelate na level yake ya elimu.
 
Chunguza Wadada Wa Vyuo Vikuu Ambao Tunasema Ni Miongoni Mwa Wasomi Ambavyo Suala La Ngono Wanavyolichangamkia Pamoja Na Kupewa Elimu Ili Wajikomboe Kifikra Lakn Patupu, Kwa Nawapa Pole Hata Wanaowaoa Mabiti Hawa Kwa Kuwa ---- Zao Zimechewa Kupita Kiasi. Kazi Kwenu Wasomi Na Elimu Za Kikuda.

Labda elimu aliyo nayo dadako ndo haina maana,na hizo tabia anazozifanya usi- conclude kwamba wadada wote wanafanya hivyo,try to be a little bit reasonable,atleast ungesema baadhi ya wadada lakini umejumuisha all,how sure are you by the way huh
 
mh! elimu ni maarifa anayopata mtu, ambayo humuwezesha kupambanua mbivu na mbovu,,,sidhani kama kuna syllabus inayofundisha kuwa/kuacha umalaya,,, isipokuwa kuassociate na watu ndo kuna mfanya mtu afanye/asifanye, ki2 flan,awe/asiwe m2 flan,,,,ni dhana 2 iliyojengeka kuwa msomi atakuwa right in each and everything lakini ikumbukwe, kuna elimu ya darasani na elimu ya stadi za maisha.Hivyo elimu ya stadi za maisha ndo inachangia kwa kiasi kikubwa mtu kuwa alivyo,,,,elimu ya darasani inampa mwanga wa kujua wap sahh au si sahihi maamuzi yana baki kuwa kwa muhusika. Umalaya hauhusiani na elimu, ni akili ya mtu inavomwongoza.



Jipange Ngd Au Fanya Usahihi Mwenyewe.
 
Back
Top Bottom