haina maana kwako. kaoe darasa la nne cz hata uwezo na akil ya kuishi na mdada alomaliza chuo kikuu hauna. wenzio wameoa hao wachuo kikuu na wanaona maana kubwa tu yakuao mdada mwenye elimu. afu unaonekana unawivu roho inakuuma wadada kusoma chuo kikuu sidhan kama ukipata mtoto wakike utamsomesha. afu inawezekana hujawah hata kuwa na mahusiano na mdada wachuo kikuu ila unaleta mawazo ya story za kijiwen
Pole kwa waliokufanya madada wasomi, wenzio ndio tumeoa hao....
Ukioa mtu aliyesoma chuo kikuu ni sawa na kula makombo mana wanatumiwa hadi basi
Mwanamke aliyesoma hadi f4 ndio mzuri akizidi hapo unaoa dikteta na huwi na sauti kwa walio wengi
Shahada zao huwa zinaitwa za Chupi.
wanaowanunua ni akina nani kama sio nyie wenyewe?,watu wanaanzisha biashara kama kuna wateja
bumija kumbe unamawazo mafupi kama mkia wa mbuzi yan unaongea kitu without a research sema huna sifa za kuwa na mdada wa chuo kikuu
Wanajf Tunatakiwa Kujua Ukweli Huo Ambao Unamashiko Ya Kuwa Madada Wa Vyuo Vikuu Anaendesha Ngono Sana Ambayo Ni Doa Kwa Jamii(UKIMWI) Wakisahau Kuwa Wanasoma Na Baadae Kuwa Na Familia Zao, Wadada Zetu Twahitaji Kuwaoa Lakini Huwezi Oa Ngono Au UKIMWI Vinginevyo Mwanaume Ni Taahira.
msomi hawezi mjibu kilaza, vilaza tumekutana
Kilaza ndo hutakiwa kusaidiwa aidha kimawazo au vngnevyo...naamin ukija kutoka hum utakuwa umepata kitu fulan...ambacho nahc knaweza kukusaidia kwa namna moja ama upande wa pil!!
Kwa Wazo Hilo Ok!
tell itPole kwa waliokufanya madada wasomi, wenzio ndio tumeoa hao....
Hawa ni wa kupiga na kuacha
Ukioa mtu aliyesoma chuo kikuu ni sawa na kula makombo mana wanatumiwa hadi basi
Shahada zao huwa zinaitwa za Chupi.
Ngoja nimrudishe beibe nimeopoa jana hapa club la parte ...sminoff 5 tu zimenipa miuno ya karne..asante sana RUCO