Je, unajua kuwa siafu mmoja anaweza kuuzwa hadi dola 220 kwenye soko haramu?
Lakini hawa si siafu wa kawaida. Ni malkia wa siafu kutoka Kenya.
-
Wakusanyaji huwafuga kama wanyama wa majumbani na huwaangalia wakianzisha makazi yao ndani ya masanduku yaliyowazi
Mwandishi wa BBC @_phillys na taarifa zaidi
-
-
#bbcswahili #siafu #China #kenya #biasharaharamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.