Elimu juu ya siafu

Elimu juu ya siafu

Je, unajua kuwa siafu mmoja anaweza kuuzwa hadi dola 220 kwenye soko haramu?
Lakini hawa si siafu wa kawaida. Ni malkia wa siafu kutoka Kenya.
-
Wakusanyaji huwafuga kama wanyama wa majumbani na huwaangalia wakianzisha makazi yao ndani ya masanduku yaliyowazi
Mwandishi wa BBC @_phillys na taarifa zaidi
-
-
#bbcswahili #siafu #China #kenya #biasharaharamu
 
Back
Top Bottom