Elimu juu ya siafu

Elimu juu ya siafu

Wenzetu wamewekeza kwenye tafiti halafu wanazifanyia kazi, wenzetu hawatupi kitu yaani rasilimali inatumika Hadi sehemu ya mwisho kabisaa...
 
Hahahaa, basi ongea na mkubwa Mshana Jr enzi zile ana private jet kaizunguka dunia, atakuwa anayajua machimbo😊
Kama uko karibu na akol wako mshana mambo yako si haba muosho kila week naona unaogeshwa no nuksi mwilini🤣
 
Ogopa bibie wa hivo
Wee anajua mpaka habari za faida za samaki wa kanda ya ziwa unamchukuliaje!
Huyo kashasafisha mwili anagusa tu wee humuoni hapa Jf nuru ake inavowaka mkuu
Seran
Hahhaah sasa nimekulia kijijini naachaje kujua😦 Khaa! nuru ipi hiyo jmn mbona sijaiona mimi🥹
 
Kama uko karibu na akol wako mshana mambo yako si haba muosho kila week naona unaogeshwa no nuksi mwilini🤣
Hapa namsubiri usiku wa manane akanioshe nikirudi tu asubuhi ntangaza ndoa🤗
 
🤣🤣🤣🤣 dah. Unajua Shost yako Hazsu huwa ana vitumajibu vya shombo shombo sana.

Mshana Jr vipi kuhusu Kumbikumbi /mchwa na senene?.
Wao ni dawa pia?

Siafu wachue tu kwa kweli.
Ila maprotein yanatokana na Senene ni balaa sana.
Wadudu watamu sana wale.
I promise kesho nitakuja na mada yake lakini naweza omba usaidizi kwenye AM
 
Back
Top Bottom