Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 12,889
- 27,319
Kuna maelfu ya siafu niliwa angamiza huku kijijini kwetu, walikuwa wanakuja usiku wanavamia mabanda ya kuku, wanang'ata vifaranga na kuku.
Nikamwaga oil na petrol nikawachoma moto.
Kumbe naua pesa aisee!! 😂
Ukosefu wa maarifa ni tatizo sana.
Nikamwaga oil na petrol nikawachoma moto.
Kumbe naua pesa aisee!! 😂
Ukosefu wa maarifa ni tatizo sana.