Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Ningependa kujua jinsi elimu inavyosaidia ukuaji wa uchumi...
reason being,
watu huku mtandaoni wamekua wakilalamika Rais kununua Ndege na kuacha ku invest kwenye Elimu..
sasa kwa faida ya wengi,,pamoja na Rais..
Mtuambie kwa nini elimu iwe kipaumbele na inavyofanya kazi katika kukuza uchumi..
Msigoogle
Ningependa kujua jinsi elimu inavyosaidia ukuaji wa uchumi...
reason being,
watu huku mtandaoni wamekua wakilalamika Rais kununua Ndege na kuacha ku invest kwenye Elimu..
sasa kwa faida ya wengi,,pamoja na Rais..
Mtuambie kwa nini elimu iwe kipaumbele na inavyofanya kazi katika kukuza uchumi..
Msigoogle