Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
.
.
SahihiHii ni sabotage mbaya kuwahi kutokea nchi hii..... Wapo tu kama masanamu huku wakichukua mishahara na marupurupu kila mwezi... Huu ni uhujumu uchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamedhira au ni wamezira......kijana najua hii sio typing error ni umeandika kusudi kabisa kwa kutokuzingatia usahihi wa maneno ya kiswahiliAmewafokea huko ndani na wao wamedhira kinamna, kaona isiwe tabu sasa hivi anaamua kuwaambia hadharani kwamba ni wapumbavu.
Ushaur wa UKWELI ni wa DABMawaziri wenye akili zao walishaamuaga kukaaga kimya Siku nyingi tu kwan hawathaminiwi wala kusikilizwa zaidi wakishauri ushauri wao unakataliwa instantly
Umeona eeeeh!Watu wenyewe wana simple plans ambazo ukiwasikia tu unajua hapa viwanda hakuna.
Kashindwa cha kuwafanya amebaki kuwaita wapumbavu tuu. Kweli pushup sio maarifa
Tumeyaona ya Kimara,tunayaona kwenye elimu,tunayaona kwenye UTUMISHI WA UMMA,tumeyaona kwenye afya kwa mujibu wa TWAWEZAMawaziri wa awamu hii wanafanya kazi kimya kimya kuliko wa awamu zilizopita nadhan matokeo mnayaona
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna kitu kinaniuma kama ELIMU yetu,
Ujenzi wa KIMARAMkuu ni mambo yapi hayo, maana sanasana ni kumuona Mwakyembe akimpokea yule mwanariadha aliyepata medali bila jitihada za serekali. Mkuu au kuna mengine zaidi ya hayo?
Maji hapo Kibamba tu shida.Waziri wa maji umewah muona kwenye media matokeo yake au muulize mkazi wa dar masuala ya umeme utanambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Halaf alowateua anawaita WAPUMBAVU wewe unahangaika naoWaziri wa maji umewah muona kwenye media matokeo yake au muulize mkazi wa dar masuala ya umeme utanambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulima walime wakulima kwa gharama zao sifa umpe waziri wa kilimo asiyewajali hata kwa pembejeo,mbona mbaazi kg1 ni 300/- ameshindwa kuwasaidia ili bei iwe nzuri kwaoMkuu kwang sio dar nimeongea hvo kwa experience ya kukaa hapa na kusumbuliwa na masuala mgao wa umeme na maji kwa miaka mingi lakin suala hilo asaiv halipo na haliji kutokea tena. Pili safi sana ulivonambia waziri wa kilimo humjui mana hawa wa asaiv wameamua kufanya kazi. .juz tu hapo mlikuwa mnalalamika chakula nchini hamna watu wanasafirisha nje ya nchi zingine tumepiga stop nazan matokeo unayaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndg akili ndogo kama hii haiwezi kujibu hoja hapa JF. Kwanza; jifunze kuandika, pili; jifunze kuandika kimantiki, tatu; nenda shule kuongeza maarifa. Otherwise unaonekana goigoi sanaMkuu kwang sio dar nimeongea hvo kwa experience ya kukaa hapa na kusumbuliwa na masuala mgao wa umeme na maji kwa miaka mingi lakin suala hilo asaiv halipo na haliji kutokea tena. Pili safi sana ulivonambia waziri wa kilimo humjui mana hawa wa asaiv wameamua kufanya kazi. .juz tu hapo mlikuwa mnalalamika chakula nchini hamna watu wanasafirisha nje ya nchi zingine tumepiga stop nazan matokeo unayaona
Sent using Jamii Forums mobile app
- Unakaa miezi 2 hujateua, then unateua maprofesa halafu unawaita wabumbavu. MaajabuHalaf alowateua anawaita WAPUMBAVU wewe unahangaika nao
May Allah bless Me and You
Umejuaje kama anapiga Pori kwa pori kama sio KUWAJULISHA WATU YUPO PORINIKigwangala umemsikia hapa katikati mana anapiga pori kwa pori asaiv
Sent using Jamii Forums mobile app