Tunaelekea kuzimu kiroho safi kabisa na bila kinyongoKwa kweli binafsi nashindwa kujua tunakoelekea....
Wamesusa mpaka hata boss wao ameshindwa awafanye nini, maana atawatumbua mpaka liniMawaziri wenye akili zao walishaamuaga kukaaga kimya Siku nyingi tu kwan hawathaminiwi wala kusikilizwa zaidi wakishauri ushauri wao unakataliwa instantly
Hii ni sabotage mbaya kuwahi kutokea nchi hii..... Wapo tu kama masanamu huku wakichukua mishahara na marupurupu kila mwezi... Huu ni uhujumu uchumiMawaziri wenye akili zao walishaamuaga kukaaga kimya Siku nyingi tu kwan hawathaminiwi wala kusikilizwa zaidi wakishauri ushauri wao unakataliwa instantly
Kashindwa cha kuwafanya amebaki kuwaita wapumbavu tuu. Kweli pushup sio maarifaWamesusa mpaka hata boss wao ameshindwa awafanye nini, maana atawatumbua mpaka lini
- Mambo yanafanywa kuwa magumu kila siku
Wamesusa mpaka hata boss wao ameshindwa awafanye nini, maana atawatumbua mpaka lini
- Mambo yanafanywa kuwa magumu kila siku
Kashindwa cha kuwafanya amebaki kuwaita wapumbavu tuu. Kweli pushup sio maarifa
Mkuu mambo mengi sana MUHIMU yamesimama na mengine YAMEVURUGWA badala ya kurahisishwa yamefanywa MAGUMUUUUUMawaziri wa awamu hii wanafanya kazi kimya kimya kuliko wa awamu zilizopita nadhan matokeo mnayaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajeda wamefanyaje tena Mkuu ?
Viwanda hivyo tunavyobembeleza WAZUNGU wajenge halafu wawafanye VIJANA WETU MANAMBA na CHEAP LABOUR wa BUKU 3 USIKU MZIMA bila MIKATABA huku tukiwaKANDAMIZA VIJANA WETU na kushindwa kuwainua ??Tunaelekea nchi ya viwanda kwani mkulu humuelewagi n anaposema hilo!
Mawaziri wa awamu hii wanafanya kazi kimya kimya kuliko wa awamu zilizopita nadhan matokeo mnayaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi ukamuliwe ili walau sample ipatikaneNi shida mjomba, ila sina mkojo wa kutosha.