Elimu imekusaidiaje?

Hahahahah!!

Mkuu, wewe mwenyewe umeeleza kuwasoma wana sayansi kadhaa, maisha yao na andiko zao.

Mara kadhaa pia umekuwa ukiwaeleza hao wanasayansi / (hata viongozi) maisha yao.

Wote hao sidhani kama umeishi nao, bali kuwasoma kupitia kitabu, interview zao nk.

Au una waogopa wasiojulikana??[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimenyambulisha muktadha sawia, maongezi kwa minajili ya kuukabili mustakabala wetu vizuri kwa kuchambua mada na mambo sina pingamizi nayo.

Maongezi ya kuvunja faragha za watu au kutaka kumjenga mtu aweze kujifikiri yeye ni mwamba fulani wa ajabu, sina utashi nayo.

Wasiojulikana huwa nawatafuta mwenyewe kwenye simu halafu nawaambia wanavyoharibu, wenyewe wanakubali mambo yanaenda vibaya, ila wanatekeleza "amri kutoka juu" tu, hivyo, tayari wananijua, tena wa ngazi ya cabinet, wala sina haja ya kuwahofia.
 
Hehehe last sentence!
 
Elimu ni pana hata kama hutoitumia kwenye ajira itakusaidia kwenye mambo mengine maishani.
Husomi kwa ajili ya ajira tuu bali kutoa ujinga na kujikomboa kifikra.
Halafu siku hizi hatuangalii vyeti bali talent.
 
Hapo ndipo utakapojua nguvu ya mazingira na utamaduni.

Mtu ana Ph.D lake, kasoma mpaka ulaya, anagombea ubunge, na yeye kaenda kwa mganga wa kienyeji amuoshee nyota.
Hao wasomi unawaonea mkuu kwa mfano huko ulaya hayo mambo ya giza ndio yametawala? kwa mfano marekani watu wake mashuhuri kama viongozi na wasanii wa musiki, wanafalsafa, wanajeshi ni freemason, illuminant na taasisi nyingine za giza? Ukitaja hizo jamii za giza matafia kama uingereza, italia na ufaransa utayaacha?

Bado naamini giza limetawala ulimwenguni wachawi, waganga, freemason, illuminant n.k wote ni agent wa shetani tu.
 
Marekani wakila mavi, na wewe utakula mavi?
 
Suala la elimu ni pana sana na mara nyingi linaanza na sera utendaji na linashuka mpka ktk ngazi ya familia.
Hili la mwisho lina impact kubwa sana. Kwa mtazamo mdogo tuu unakuta hata ambao wanaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa uelewa wa mambo investment yao ya kielimu na exposure inajengwa na strength ya familia ( sio wote lakini)
 
Tulowengi elimu yetu ni ya makaratasi yaani tunasoma ili kuhitimu na kupata vyeti vya kutaftia ajira hii inapelekea mtu akikosa ajira kwa vyeti kutafta kazi nje ya vitu alivyosomea ili kupata ugali wa kila siku.
Ila siku elimu yetu ikiwa content based tutakua mbal sana...
 
Ulaya kinathaminiwa kipaji zaidi sio uwezo wa kukariri notes. Ukiwa na talent ni rahisi kuwa recognized na kupewa heshima unayostahili ila huku kwa ma shithole country ungeshadisko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…