Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Corona bandia imeangusha serikali nzima.Hivi vifo vya viongozi wetu kuanzia cha mkuu wa nchi vinawalakini kuna kitu nyuma yao ila watu wanatembelea Corona ndo maana majaliwa kapoa sana siku hizi toka ende madudu ya hazina na mwendokasi sijui walimtisha kidogo.
Mabeberu sio watu.