Elezea furaha yako,siku CCM ikitoka madarakani

Elezea furaha yako,siku CCM ikitoka madarakani

Kama tunataka mabadiliko ya kweli katika nchi hii, hakuna njia ya mkato, CCM ni lazima iwekwee benchi. Hayo mengine ni woga tu kwani wapo Watanzania wengi hawajawahi kuonja maisha nje ya utawala wa CCM. Siku CCM inapigwa chini, watu watajawa mwamko mpya na kugundua kuwa yale yote waliyoaminishwa hayawezekani kumbe yanawezekana. Tanzania mpya yawezekana sana tu bila CCM; that's the bottom line.
Mbona hili halina ubishi wowote.

Ni kweli watu wanataka mabadiliko na hasa ikichukuliwa kuwa binadamu tumeumbwa katika mfumo wa kubadilika.

Mfumo wa mabadiliko katika Afrika unaisaidia sana CCM kuendelea kubakia madarakani kutokana na sababu mbali mbali zilizo katika mfumo huo ambazo wanazijengea hoja ili wabakie madarakani.

1)Wapinzani wanapambana siyo na CCM pekee bali pia na mazingira ya kisiasa Afrika. Ninasema hivi kwa sababu historia ya mageuzi katika nchi za Afrika haijatoa mageuzi chanya ambayo watu walidhani kabla ya kuiweka pembeni serikali iliyoko madarakani badala yake imenufaisha kwa kiwango kikubwa kundi la viongozi waliopata madaraka katika mageuzi. Mageuzi yaliyofanyika katika nchi za kiafrika yamenufaisha kifisadi kundi la viongozi badala ya wananchi wengi.

CCM itaendelea kuwaamisha watu uharali wake kubakia madarakani na ninaamini watu wataendela kuamini kwa sababu historia inaisaidia CCM katika hoja zake.

2) Watanzania pia tumelelewa na tumeishi katika mazingira ya kutopenda sana mabadiliko ya kimaisha. Mazingira hayo yamejenga tabia ya kuridhika sana katika mazingira tuliyonayo bila kujali kama ni duni au siyo duni. kwa maana nyingine, tumekuwa taifa la masikini tajiri. Hatuna wivu wa kimaendeleo ambao chachu yake ni mabadiliko ya kimaisha. Hii dhana na tabia inasaidiwa sana kuendelea kuwepo hasa pale jamii nyingine ya nchi za Kiafrika iliyojaribu hayo mabadiliko na wananchi wakajikuta hawayapati baada ya kubadilisha serikali.

NInaamini kama hoja ingekuwa ni utawala mbovu wa serikali ya CCM, basi CCM kwa sasa ingekuwa tayari iko kwenye bench la kiutawala kwa sababu muda wa CCM kuwepo madarakani na mrejesho wa maendeleo unaihukumu kifungo cha kukaa kwenye benchi. CCM imefanya madudu mengi mno.

Mpaka pale wanasiasa wa upinzani nchini watakapoweza kuishinda hoja ya hali ya kisiasa katika nchi zingine za Kiafrika zilizofanya mageuzi, basi hapo watakuwa wameweza kuishawishi jamii kuwa Tanzania mpya yawezekana bila CCM.
 
Mbona hili halina ubishi wowote.

Ni kweli watu wanataka mabadiliko na hasa ikichukuliwa kuwa binadamu tumeumbwa katika mfumo wa kubadilika.

Mfumo wa mabadiliko katika Afrika unaisaidia sana CCM kuendelea kubakia madarakani kutokana na sababu mbali mbali zilizo katika mfumo huo ambazo wanazijengea hoja ili wabakie madarakani.

1)Wapinzani wanapambana siyo na CCM pekee bali pia na mazingira ya kisiasa Afrika. Ninasema hivi kwa sababu historia ya mageuzi katika nchi za Afrika haijatoa mageuzi chanya ambayo watu walidhani kabla ya kuiweka pembeni serikali iliyoko madarakani badala yake imenufaisha kwa kiwango kikubwa kundi la viongozi waliopata madaraka katika mageuzi. Mageuzi yaliyofanyika katika nchi za kiafrika yamenufaisha kifisadi kundi la viongozi badala ya wananchi wengi.

CCM itaendelea kuwaamisha watu uharali wake kubakia madarakani na ninaamini watu wataendela kuamini kwa sababu historia inaisaidia CCM katika hoja zake.

2) Watanzania pia tumelelewa na tumeishi katika mazingira ya kutopenda sana mabadiliko ya kimaisha. Mazingira hayo yamejenga tabia ya kuridhika sana katika mazingira tuliyonayo bila kujali kama ni duni au siyo duni. kwa maana nyingine, tumekuwa taifa la masikini tajiri. Hatuna wivu wa kimaendeleo ambao chachu yake ni mabadiliko ya kimaisha. Hii dhana na tabia inasaidiwa sana kuendelea kuwepo hasa pale jamii nyingine ya nchi za Kiafrika iliyojaribu hayo mabadiliko na wananchi wakajikuta hawayapati baada ya kubadilisha serikali.

NInaamini kama hoja ingekuwa ni utawala mbovu wa serikali ya CCM, basi CCM kwa sasa ingekuwa tayari iko kwenye bench la kiutawala kwa sababu muda wa CCM kuwepo madarakani na mrejesho wa maendeleo unaihukumu kifungo cha kukaa kwenye benchi. CCM imefanya madudu mengi mno.

Mpaka pale wanasiasa wa upinzani nchini watakapoweza kuishinda hoja ya hali ya kisiasa katika nchi zingine za Kiafrika zilizofanya mageuzi, basi hapo watakuwa wameweza kuishawishi jamii kuwa Tanzania mpya yawezekana bila CCM.

utasubiri sana...... utakesha ukiomba wala hayatakujilia.....CCM itatawala hata za siku utungu zitakapofika.
 
utasubiri sana...... utakesha ukiomba wala hayatakujilia.....CCM itatawala hata za siku utungu zitakapofika.
Mkuu, hilo la kukesha nikisubiri mimi silifahamu lakini historia inabainisha kuwa chaguzi za kidemokrasia huwa zinazaa mabadiliko ya kisiasa. Muda wa hayo mabadiliko kutokea ni pale watu wanapokwenda kupiga kura zao wakiwa huru kimawazo, kifikra na kimazingira.

CCM itatawala 'milele' kama wapigaji wa kura nchini watakuwa hawako huru kimawazo na kifikra huku wakichagizwa na undesirable voting process.

Kuondoka madarakani kwa CCM kama ni kesho au baada ya miaka 100 ni debate nyingine ambayo haiondoi ukweli kuwa kuna siku itaondoka madarakani kama historia inavyoihukumu kama zilivyowahi kuwepo empire duniani.
 
Nitatengeneza picha za gaidi Mwigulu kama millioni moja kwa gharama yangu na kisha nitazipiga kiberiti!

1013165_548810871844995_387610025_n.jpg
 
Mimi si wa cdm wala wa ccm lakini kwa namna ninavyoona vyama hivi namna vinavyoendesha siasa ninaamini kabisa kuwa HAITOTOKEA CDM KUING'OA MADARAKANI CCM, LABDA KUJE CHAMA KINGINE LAKINI SIO CDM.

Ni mawazo yangu tu hayo.

Asante
 
Mkuu, hilo la kukesha nikisubiri mimi silifahamu lakini historia inabainisha kuwa chaguzi za kidemokrasia huwa zinazaa mabadiliko ya kisiasa. Muda wa hayo mabadiliko kutokea ni pale watu wanapokwenda kupiga kura zao wakiwa huru kimawazo, kifikra na kimazingira.

CCM itatawala 'milele' kama wapigaji wa kura nchini watakuwa hawako huru kimawazo na kifikra huku wakichagizwa na undesirable voting process.

Kuondoka madarakani kwa CCM kama ni kesho au baada ya miaka 100 ni debate nyingine ambayo haiondoi ukweli kuwa kuna siku itaondoka madarakani kama historia inavyoihukumu kama zilivyowahi kuwepo empire duniani.

Ni kweli ipo siku ccm itaondoka madarakani lakini si sasa hivi na tena si kwa upinzani wa cdm labda kutokee chama kingine kabisaaaa mbali na hivi vilivyopo.
 
Mkuu, hilo la kukesha nikisubiri mimi silifahamu lakini historia inabainisha kuwa chaguzi za kidemokrasia huwa zinazaa mabadiliko ya kisiasa. Muda wa hayo mabadiliko kutokea ni pale watu wanapokwenda kupiga kura zao wakiwa huru kimawazo, kifikra na kimazingira.

CCM itatawala 'milele' kama wapigaji wa kura nchini watakuwa hawako huru kimawazo na kifikra huku wakichagizwa na undesirable voting process.

Kuondoka madarakani kwa CCM kama ni kesho au baada ya miaka 100 ni debate nyingine ambayo haiondoi ukweli kuwa kuna siku itaondoka madarakani kama historia inavyoihukumu kama zilivyowahi kuwepo empire duniani.
sio leo wala kesho
 
gari ni object unaweza ukalishika na ukaliona dhahiri so unaweza kusema limechoka...
sasa CCM unaiona vipi kama imechoka? unaweza kuishika?

Kama mtu anaweza kuupima uchumi wa nchi akasema unakua au unapungua, na hawezi kuushika uchumi wa nchi, kwa nini CCM isiweze kupimwa na kujulikana kama imechoka?

Habari yako kwamba hakipimiki kwa sababu hakishikiki haina mshiko.

Hata upepo tunaweza kuupima, lakini hatuwezi kuushika.

Joto tunaweza kulipima, lakini hatuwezi kulishika.

You have no argument there, sloppy.
 
M nitashangilia mno!, maana haiwezekan 2kalie mfumo ule ule na wa2 walewale wenye mawazo sawa na akil sawa!, kiongoz mkubwa wa nchi anaulizwa, 'why your country is so poor despite of natural resources you hv?',"I don't know" Hon Kikwete replied!. jaman hii n sahh? jaman w2 hawa wamechoka! mabadiliko n razima ndg zangu kwa hii khal 2liyonayo watanzania wenzangu.
 
Mengi yamesemwa lakini sijaona hata mmoja ambae katoa suggestions za vipi kuitoa hiyo CCM madarakani. Kama Kenya waliweza kuking'oa chama tawala KANU baada ya vyama vya upinzani kuunganisha nguvu kwenye uchaguzi kwa nini hapo 2015 vyama vya upinzani nao wasiige Kenya ? Bila ya wapinzani kushirikiana CCM itaendelea kuwepo.
 
Mi Ntachoma ofisi zote za cccm zilizo karibu nami, jengo la lumumba pia ntahakikisha limedondoka.
 
Ushirombo kutoka hapo ulipo siyo chama kitakachokutoa;
Ni juhudi zako binafsi ndo zitakufanya ufanikiwe au ubaki hivyo hivyo huku ukilalama kwenye majukwaa ya kijamii.

Naamini nyie ndo wale mnaolala usingizi wa pono kungojea mzee wako roho iondoke ili ubakie unatamba na mirathi ikiwa ni pamoja na kuwarithi wake zake.

Amka kijana acha kulia lia.............. grrrrrrrrrrp.
 
Last edited by a moderator:
,
Mimi binafsi ntamshukuru Mungu,kushuhudia mabadiliko ambayo yanamchango wangu kwa jamii ilionizunguka kwa suala Zima la mabadiliko,nimetoa Elimu hii kwa ndugu,rafiki,majirani zangu kila mtu aliyekaribu ujumbe na elimu ya mabadiliko
hilo ndo jukumu langu la msingi,so kiukweli mimi ni wakala wamabadiliko.
Itakuwa ni furaha kuu sana Moyoni mwangu hakika
 
Back
Top Bottom