Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Wataalamu wa umeme nchini (Electical Engineers), na wadau wengine watakutana kujadili ufumbuzi wa kitaalamu wa matatizo ya umeme nchini.
Barua ya mwaliko huo inasambaa kwenye internet na mimi nimeipata kuiweka humu inaonyesha kwamba kikao hicho kitafanyika kwenye ukumbbi wa Karimjee Hall, siku ya Jumamosi, July 30, 2011 kuanzia saa 04:00 hadi saa 06:00 mchana.
Barua inaonyesha kikao hicho kinaratibiwa na Taasisi ya Wahandisi hapa nchini yaani Institute of Engineers Tanzania.
Watoa mada watakuwa ni Dr. Maingu, Dr. Kyaruzi na Eng. Mgaya.
Dr. Kyaruzi ni yule aliyemaliza hoja ya kitaalamu kwamba umeme unaopita juu ya Kanisa la Kakobe hauna madhara.
Hivyo wale wenye kutaka kujua wataalamu wa umeme wanasema nini kuhusu hali ya sasa hii ni fursa yao.
*****
Barua ya mwaliko inasema hivi hapa chini na vilevile unaweza kui-download kwenye attachment:
*****
View attachment ADVERT - MATATIZO YA UMEME.doc
*****
THE INSTITUTION OF ENGINEERS TANZANIA
MKUTANO WA KUJADILI TATIZO LA UMEME NCHINI TANZANIA:
MAHALI: KARIMJEE HALL
SIKU/TAREHE: JUMAMOSI, 30/07/2011
MUDA: SAA 4 ASUBUHI – SAA 6 MCHANA
MADA: UFUMBUZI WA KIHANDISI WA KUTATUA TATIZO LA UMEME NCHINI TANZANIA
WATOA MADA: (1) ENG. DR. M.I. MAINGU
(2) ENG. S. M. MGAYA
(3) ENG. DR. A. L. KYARUZI
WADAU NA WANANCHI MNAKARIBISHWA
RAIS
21/07/2011
*******
Maswali zaidi wasiliana na anuani ifuatayo:
*****
Eng. S.N.A. Kassera
Executive Secretary,
The Institution of Engineers Tanzania,
Pamba Road, Opp. Former Hotel Agig
P.O. Box 2938,Dar es Salaam, Tanzania,
Tel: +255 22 2124265/2122836,
Mob: +255 717 110411/0784 909060,
*****
Barua ya mwaliko huo inasambaa kwenye internet na mimi nimeipata kuiweka humu inaonyesha kwamba kikao hicho kitafanyika kwenye ukumbbi wa Karimjee Hall, siku ya Jumamosi, July 30, 2011 kuanzia saa 04:00 hadi saa 06:00 mchana.
Barua inaonyesha kikao hicho kinaratibiwa na Taasisi ya Wahandisi hapa nchini yaani Institute of Engineers Tanzania.
Watoa mada watakuwa ni Dr. Maingu, Dr. Kyaruzi na Eng. Mgaya.
Dr. Kyaruzi ni yule aliyemaliza hoja ya kitaalamu kwamba umeme unaopita juu ya Kanisa la Kakobe hauna madhara.
Hivyo wale wenye kutaka kujua wataalamu wa umeme wanasema nini kuhusu hali ya sasa hii ni fursa yao.
*****
Barua ya mwaliko inasema hivi hapa chini na vilevile unaweza kui-download kwenye attachment:
*****
View attachment ADVERT - MATATIZO YA UMEME.doc
*****
THE INSTITUTION OF ENGINEERS TANZANIA
MKUTANO WA KUJADILI TATIZO LA UMEME NCHINI TANZANIA:
MAHALI: KARIMJEE HALL
SIKU/TAREHE: JUMAMOSI, 30/07/2011
MUDA: SAA 4 ASUBUHI – SAA 6 MCHANA
MADA: UFUMBUZI WA KIHANDISI WA KUTATUA TATIZO LA UMEME NCHINI TANZANIA
WATOA MADA: (1) ENG. DR. M.I. MAINGU
(2) ENG. S. M. MGAYA
(3) ENG. DR. A. L. KYARUZI
WADAU NA WANANCHI MNAKARIBISHWA
RAIS
21/07/2011
*******
Maswali zaidi wasiliana na anuani ifuatayo:
*****
Eng. S.N.A. Kassera
Executive Secretary,
The Institution of Engineers Tanzania,
Pamba Road, Opp. Former Hotel Agig
P.O. Box 2938,Dar es Salaam, Tanzania,
Tel: +255 22 2124265/2122836,
Mob: +255 717 110411/0784 909060,
*****