Einstein theories of relativity..Mambo magumu kuelezea

Hiyo eqn inamaana nyingi lakini moja ya most popular meaning kua mass-energy equivalence yaani mass na energy are interchangeable/interconvertible yaani mass inaweza kua energy na energy inaweza kubadilika kua mass.

Katika special theory of relativity hii eqn inamaanisha kwamba kitu chenye mass kikiwa katika speed ya light mass take inaongezeka ambapo hapo gravity itakislow down speed yake..kwahiyo kukeep speed constant yahicho kitu inabidi utumie energy E ambayo Italia Sawa na mass ya kitu hicho kuzidisha na namba mramba ya speed ya mwanga i.e E=mc^2

Ukiona hapo kama hicho kituchako kina mass 1 ili kitembee na speed ya mwanga unahitaji energy ya E=1*(3*10^8)^2 =9*10^18joules mkuu hii energy ndo itafanya hicho kitu cha 1kg kitembee speed ya mwanga constant.


Hiyo energy ni kubwa Sana yaani kwa bulb ya watt 100 itatumika hiyo energy kwa miaka Zaid ya milion 28 na laki 5.

Katika kuzalisha umeme wa Nuclear wanaitumia hiyo equation. yaani mass ndogo Sana lakini energy inayotoka nikubwa Sana kiasi kwamba bwawa la stigler gorge haliwezi kuzalisha.

Mfano 1
mass ya 3.14kg za uranium zinazalisha 3,000 megawatts za umeme wakati umeme wa petrol au diesel au makaa ya mawe yatatumia tani 10,000 kuzalisha kiasi hicho cha 3,000megawatts

Kwahiyo equation ya Einstein inaonesha ni jinsi gani mass ndogo inatoa energy kubwa..lakini practically kuachieve 1kg ya uranium ni kazi Sana kiasi kwamba change ya mass protons na neutrons ni ndogo kwenye nuclear reactions



Mfano 2:
Lita 3.78 sawa na uzito wa 3kg za gasoline/mafuta ya gari yanatoa kiasi cha nishati milioni 132 za joules ukibadili hii nishati kua mass kwa kutumia E=MC^2 unapata mass ya 14nanogram. Hii mass ni ndogo Sana ambapo huwezi kujua kama ndo imepungua kutoka 3kg
3kg=3000g

3000g-14ng ni Sawa na inabaki 3kg ileile mass iliyochange ni ndogo lakini energy ni kubwa.

Kwahiyo utaona ukiconvert 3kg directly kwenda nishati unaweza kupata nishati ambayo inaweza kutatua tatizo la nishati duniani...3kg inatoa energy Sawa na 21megaton za bomu la TNT, nuclear bombs wakati Hiroshima na Nagasaki 13kiloton ndo ilitumika nearly 1.5kg ya uranium Tu.

Mfano 3:
Ukiyapasha maji ya 3kg kwa joto la centigrade 10 hayo maji yata absorb some heat energy na mass ya maji yataongezeka labda kua 3.0000000000000000014kg very small increase in mass. Hakuna scale duniani ya kupima hiyo mass iliyoongezeka. Ukitaka kujua nikiasi gani cha nishati kilicho convert mass hiyo ndogo tumia hiyo equation E=mc^2. Similarly na ukicool object hiyo kwa 10centigrade energy will change the same rate.

technology iko limited mana convertion ya 3kg to energy directly ni kazi yaani ku accelerate 3kg katika speed ya mwanga utaitaji infinite energy mkuu. Katika CERN particle accelerator ni possible ku accelerate particles kwa relativistic speed na kuachieve atomic energy desired sababu particle zenyewe wakina protons, positrons, neutrons, electrons mass zao zinakaribia zero.

Mkuu tukajenge taifa Kwanza.
sijui kama amekuelewa
 
Practically haiwezekani universe kurudi nyuma, ila theoretically in a layman explanation, unaweza kutengeneza time machine au system ukaingia humo ukaishi na ukarudi nyuma in time lakini ila ukitengeneza saiv huwezi kurudi utahitaji infinity energy kucreate hiyo system maana inabidi uwe unaenda zaidi ya speed ya mwanga ambapo utakua umeviolet quantum mechanics na relativity sababu kitu kinacho karibia mwanga mass yake huongezeka hivo kinakua kizito na gravity inakua kubwa...na ukifikia au kuzidi speed ya mwanga relativity ya Einstein inakua invalid tunaisahau unaunda branch ya physics yako mpya ambayo sio relativity tena nahisi itakua Variant infinity theory..au Newton theory inakua universally non doubted tena na nazani Tesla Dynamic theory of gravity, aether theory inakua valid pia..mkuu
Hv hawa watu wenye maakili ya hv kwanini karne hz hawazaliwi? Jamaa alikuwa anawakalisha jopo zima la maprof washindwa kumuelewa enyi Dstv rudieni tena zile series za Ainstein
 
Nimecheck walioelezea wote sijaona aliyeelezea kwa urahisi kabisa. Mwafizikia na mshindi wa tuzo ya Nobel Richard Feymann alisema ukishindwa kumwelekeza kitu mtoto mdogo naye akaelewa basi utakuwa bado hata wewe hujaelewa kitu hicho. Kwahiyo nitajaribu kuelezea concept ya Black hole na General Relativity theory lakini hiyo ya special relativity bado natafuta lugha nyepesi kabisa.

Black holes.

Kuna kitu kinaitwa gravity, ni force ambayo hata duniani yetu inayo, hii force bhana inategemeana na ukubwa/mass wa kitu(sayari ama Nyota). Kwahiyo basi huwa inavuta vitu vyote kuja kwake at the center. Kama dunia ambavyo ukiruka unarudi chini. Sasa kuna kitu wanaita escaping velocity, yaani unahitaji speed gani uwe nayo ili uweze kutoka katika gravity ya sayari fulani. Kwamfano minimum speed ya kuescape dunia 11.186 km/s, kwahiyo ya speed hiyo basi utaishi kuunguka duniani. Hii ni sawa na wewe unavyorusha jiwe hewani, ukirirusha kwa speed kali linaenda mbali juu, ukilirusha kwa speed ndogo then litaenda mbali kidogo linashuka lakini ukiweza kulirusha likawa na speed ya 11.186km/s kwenda juu basi linaweza kutoka kabisa kwenye gravity ya dunia. Escaping velocity ya jua ni 618 km/s (Imeongezeka kwa sababu jua ni kubwa (mass) na kwahiyo hata gravity yake ni kubwa, ndo maana unahitaji speed kali kabisa ili nguvu ya jua kukuvuta uachane nayo.

Sasa jua siyo nyota kubwa pekee. Kuna manyota makubwa hatari ambayo mass yake ni kubwa sana, kama ni makubwa sana basi hata gravity yake inakuwa kubwa sana, na kama gravity ni kubwa basi hata escaping gravity yake inakuwa kubwa sana

View attachment 1077629
Mfano wa nyota kubwa na jua.

Sasa speed ya mwanga ni 299,792km/s sasa kwa concept ya hapo juu basi kuna manyota makubwa sana ambayo escaping velocity yake ni kubwa kuliko hata speed ya mwanga, kwahiyo mwanga ukijaribu kutoka unaenda kidogo then unadondoka ahahahha (yaani kama unavyorusha jiwe tu hapa duniani na linadondoka).

Sasa kama mwanga unashindwa kutoka basi hata sisi tunashindwa kuona ndani kunanini kwa maana tunahitaji mwanga uakisi kitu ndo tuone bila mwanga kutoka hatuwezi ona kitu ndo maana tunaita Black holes. "Once you enter the black hole, no one will see you disappearing" hatari na nusu.

Kina Einstein walitumia concept hiyo hiyo kutabiri kwamba kuna kitu kinaitwa black holes hata kabla hawajakiona (yaani unaimagine vitu na unavitengenezea logic )

NOTE : kwa gravity hiyo ya kuzuia hadi mwanga kutoka unafanya hata star nyewee inacollapse maana kila kitu kinavuta kwenda katika kwa nguvu kubwa sana. Sasa kwa kuwa hiyo force sio kitu wala haoccupy space, basi itavuta kila kitu mpaka vinakusanyika katika yaani kwa udogo usio na kipimo, yaani usio na mwisho (infinitely small) maana utakuwa unavuta tu kwenda katikati na kitu ambacho hakipo(yaani force tu) sasa ukifikia huu udogo usio na mwisho unakuwa umeingia kitu kinaitwa singularity,,. Yaani hapo kwenye singularity mjomba ni hatari sana. Maana inasemekana ndo mwanzo wa duniani , yaani mda ulipoanza according to the theory of relativity(tutaiongelea baadaye)


View attachment 1077637

Hiyo ni comparison ya black hole na solar system nadhani umeelewa tunaongelea kitu gani. Neil Degrasse Tyson anayaita "cosmos beasts" yanakula kila kitu.

Haya tuachane na hayo madudu ya black hole twende kwenye theory ya General Relativity.

Kwanza hii ilitakiwa ijadiliwe baada ya kujadili kwanza theory ya special relativity lakini kwa kuwa ni rahisi kidogo kuieleza basi ngoja nianze.

Bhana kuna kajamaa kanaitwa Newton kalisema kwamba tunda linaanguka kwa sababu limevuta na gravity ya dunia, lakini Einstein baada ya theory yake ya special relativity kulikuwa kama na mismatch na alichokisema Newton ndo ikabidi atengeneza theory ya kuoanisha theory yake ya special relativity na ile ya gravity ya Newton ili mambo yaende sawa ( ilimchukua zaidi ya miaka kumi kufanikisha jambo hilo ahah)

Sasa Newton alisema kwamba kinachofanya kitu kimove sio pull force bali ni push force. Yaani tunda linaanguka sio kwamba limevutwa na dunia bali limesukumwa na kitu. Mmmh sasa hicho kitu kinachosukuma wewe au tunda lirudi kuanguka chini ni nini tena wewe Einstein?)

Einstein akasema majitu makubwa kama dunia waga yanafanya uwazi/space uliopo upinde/ubonye kwenda chini. Yaani kwa mfano unasimama kwenye kitu jamaa aliyesimama anakubonyeza kichwani urudi chini. Kwahiyo kila tukiruka ama tunda likiwa juu linabonyezwa na space kushuka chini. Kwahiyo hata jua sio kwamba linatuvuta tubaki kwenye orbit hapana bali kwa kuwa ni zito limebonyeza space kwenda chini likafanya kama kadimbwi ambako sisi tunakuwa kama tunazunguka kudumbukia juani lakini kwa kuwa na sisi tumepindisha space kwenda chini basi tunabaki kwenye orbit yetu. Picha hapo chini

View attachment 1077665

Sasa hii theory ya General Relativity ikawa imeoanisha gravity na theory ya special relativity ambayo ilikuwa inaongelea space na time.

Hint: Einstein kwenye theory yake ya special relativity alisema alisema space na time vimeshikana na huwezi kuvitenganisha kwahiyo kama gravity inapindisha space basi pia inaweza pindisha muda/time. Basi hayo yote yapo kwenye theory ya special relativity.


Theory of Special Relativity

Hii mpaka nile kwanza maana inahitaji urahisi mkubwa wa kuielezea, but i will try.

NOTE: mimi sio astrophysicist lakini napenda tu kusoma mambo mengimengi, the picture is my personal phone library na baadhi ya vitabu nilivyo soma, utaona baadhi ni vya Neil, Carl Sagan, Stephen Hawking na Richard Feynman na kuna vingine

View attachment 1077678

Any views are welcome. Kama kuna type errors mnisamehe maana nimeandika bila kuproof read.
Wewe ndo umenipa mwanga leo yani pamoja na kuangalia documentary za huyu nguli sikuambulia kitu zaidi ya kufurahia bifu kate yake na watabe wengine wa enzi zile, ila na wewe nakulaumu kitu kimoja unajua haya madude magumu halafu ukute mbunge wako ni Kangi just kidding
 
Aiseeee wewe mkuu umeelezea vizuri sana.

Mpaka mimi niliesoma physics mwisho form two nakuelewa.

Napenda sana mambo ya imagination.

Naomba sasa niwe nakuuliza maswali mkuu kama nitakuwa nimeelewa..
Nimecheck walioelezea wote sijaona aliyeelezea kwa urahisi kabisa. Mwafizikia na mshindi wa tuzo ya Nobel Richard Feymann alisema ukishindwa kumwelekeza kitu mtoto mdogo naye akaelewa basi utakuwa bado hata wewe hujaelewa kitu hicho. Kwahiyo nitajaribu kuelezea concept ya Black hole na General Relativity theory lakini hiyo ya special relativity bado natafuta lugha nyepesi kabisa.

Black holes.

Kuna kitu kinaitwa gravity, ni force ambayo hata duniani yetu inayo, hii force bhana inategemeana na ukubwa/mass wa kitu(sayari ama Nyota). Kwahiyo basi huwa inavuta vitu vyote kuja kwake at the center. Kama dunia ambavyo ukiruka unarudi chini. Sasa kuna kitu wanaita escaping velocity, yaani unahitaji speed gani uwe nayo ili uweze kutoka katika gravity ya sayari fulani. Kwamfano minimum speed ya kuescape dunia 11.186 km/s, kwahiyo ya speed hiyo basi utaishi kuunguka duniani. Hii ni sawa na wewe unavyorusha jiwe hewani, ukirirusha kwa speed kali linaenda mbali juu, ukilirusha kwa speed ndogo then litaenda mbali kidogo linashuka lakini ukiweza kulirusha likawa na speed ya 11.186km/s kwenda juu basi linaweza kutoka kabisa kwenye gravity ya dunia. Escaping velocity ya jua ni 618 km/s (Imeongezeka kwa sababu jua ni kubwa (mass) na kwahiyo hata gravity yake ni kubwa, ndo maana unahitaji speed kali kabisa ili nguvu ya jua kukuvuta uachane nayo.

Sasa jua siyo nyota kubwa pekee. Kuna manyota makubwa hatari ambayo mass yake ni kubwa sana, kama ni makubwa sana basi hata gravity yake inakuwa kubwa sana, na kama gravity ni kubwa basi hata escaping gravity yake inakuwa kubwa sana

View attachment 1077629
Mfano wa nyota kubwa na jua.

Sasa speed ya mwanga ni 299,792km/s sasa kwa concept ya hapo juu basi kuna manyota makubwa sana ambayo escaping velocity yake ni kubwa kuliko hata speed ya mwanga, kwahiyo mwanga ukijaribu kutoka unaenda kidogo then unadondoka ahahahha (yaani kama unavyorusha jiwe tu hapa duniani na linadondoka).

Sasa kama mwanga unashindwa kutoka basi hata sisi tunashindwa kuona ndani kunanini kwa maana tunahitaji mwanga uakisi kitu ndo tuone bila mwanga kutoka hatuwezi ona kitu ndo maana tunaita Black holes. "Once you enter the black hole, no one will see you disappearing" hatari na nusu.

Kina Einstein walitumia concept hiyo hiyo kutabiri kwamba kuna kitu kinaitwa black holes hata kabla hawajakiona (yaani unaimagine vitu na unavitengenezea logic )

NOTE : kwa gravity hiyo ya kuzuia hadi mwanga kutoka unafanya hata star nyewee inacollapse maana kila kitu kinavuta kwenda katika kwa nguvu kubwa sana. Sasa kwa kuwa hiyo force sio kitu wala haoccupy space, basi itavuta kila kitu mpaka vinakusanyika katika yaani kwa udogo usio na kipimo, yaani usio na mwisho (infinitely small) maana utakuwa unavuta tu kwenda katikati na kitu ambacho hakipo(yaani force tu) sasa ukifikia huu udogo usio na mwisho unakuwa umeingia kitu kinaitwa singularity,,. Yaani hapo kwenye singularity mjomba ni hatari sana. Maana inasemekana ndo mwanzo wa duniani , yaani mda ulipoanza according to the theory of relativity(tutaiongelea baadaye)


View attachment 1077637

Hiyo ni comparison ya black hole na solar system nadhani umeelewa tunaongelea kitu gani. Neil Degrasse Tyson anayaita "cosmos beasts" yanakula kila kitu.

Haya tuachane na hayo madudu ya black hole twende kwenye theory ya General Relativity.

Kwanza hii ilitakiwa ijadiliwe baada ya kujadili kwanza theory ya special relativity lakini kwa kuwa ni rahisi kidogo kuieleza basi ngoja nianze.

Bhana kuna kajamaa kanaitwa Newton kalisema kwamba tunda linaanguka kwa sababu limevuta na gravity ya dunia, lakini Einstein baada ya theory yake ya special relativity kulikuwa kama na mismatch na alichokisema Newton ndo ikabidi atengeneza theory ya kuoanisha theory yake ya special relativity na ile ya gravity ya Newton ili mambo yaende sawa ( ilimchukua zaidi ya miaka kumi kufanikisha jambo hilo ahah)

Sasa Newton alisema kwamba kinachofanya kitu kimove sio pull force bali ni push force. Yaani tunda linaanguka sio kwamba limevutwa na dunia bali limesukumwa na kitu. Mmmh sasa hicho kitu kinachosukuma wewe au tunda lirudi kuanguka chini ni nini tena wewe Einstein?)

Einstein akasema majitu makubwa kama dunia waga yanafanya uwazi/space uliopo upinde/ubonye kwenda chini. Yaani kwa mfano unasimama kwenye kitu jamaa aliyesimama anakubonyeza kichwani urudi chini. Kwahiyo kila tukiruka ama tunda likiwa juu linabonyezwa na space kushuka chini. Kwahiyo hata jua sio kwamba linatuvuta tubaki kwenye orbit hapana bali kwa kuwa ni zito limebonyeza space kwenda chini likafanya kama kadimbwi ambako sisi tunakuwa kama tunazunguka kudumbukia juani lakini kwa kuwa na sisi tumepindisha space kwenda chini basi tunabaki kwenye orbit yetu. Picha hapo chini

View attachment 1077665

Sasa hii theory ya General Relativity ikawa imeoanisha gravity na theory ya special relativity ambayo ilikuwa inaongelea space na time.

Hint: Einstein kwenye theory yake ya special relativity alisema alisema space na time vimeshikana na huwezi kuvitenganisha kwahiyo kama gravity inapindisha space basi pia inaweza pindisha muda/time. Basi hayo yote yapo kwenye theory ya special relativity.


Theory of Special Relativity

Hii mpaka nile kwanza maana inahitaji urahisi mkubwa wa kuielezea, but i will try.

NOTE: mimi sio astrophysicist lakini napenda tu kusoma mambo mengimengi, the picture is my personal phone library na baadhi ya vitabu nilivyo soma, utaona baadhi ni vya Neil, Carl Sagan, Stephen Hawking na Richard Feynman na kuna vingine

View attachment 1077678

Any views are welcome. Kama kuna type errors mnisamehe maana nimeandika bila kuproof read.
 
, huwezi jua, yawezekana mi mwenyewe mbunge.
Wewe ndo umenipa mwanga leo yani pamoja na kuangalia documentary za huyu nguli sikuambulia kitu zaidi ya kufurahia bifu kate yake na watabe wengine wa enzi zile, ila na wewe nakulaumu kitu kimoja unajua haya madude magumu halafu ukute mbunge wako ni Kangi just kidding
 
Hamna shida ndugu, we will learn together.
Aiseeee wewe mkuu umeelezea vizuri sana.

Mpaka mimi niliesoma physics mwisho form two nakuelewa.

Napenda sana mambo ya imagination.

Naomba sasa niwe nakuuliza maswali mkuu kama nitakuwa nimeelewa..
 
Kuna watu dunia hii walikuwa na akili na wameacha faida kubwa kuliko mitume na manabii.

Yaani hawa wateule wa Bwana hawajavumbua hata kijiko halafu ndio wanadaiwa kupitia kwao tutaenda mbinguni na kuketi na Mkuu wa Mbingu na ardhi na vyote vilivyomo!

Logically, mzee Newton ni bora zaidi ya Bwana Yesu na Ndugu Muhammad!
Wakikusikia wenye imani zao watakupiga mawe hadi ufe
 
You can't and You might.

Sababu moja kubwa ni jinsi Energy/Mass inavyobihave kwenye motion/acceleration.

Jinsi speed inavoongezeka, then Nguvu zaidi inahitajika., ni sawa na wewe unavyokimbia tu, kila ukiongeza speed ndo unatumia nguvu nyingi zaidi. Sasa kufikia speed ya light utahitaji nguvu nyingi sana kwa kiasi ambacho hakina idadi (infinite energy). Sasa there is no way unaweza ukapata energy hiyo, maana kila utakayo kuwa nayo itakuwa haitoshi.

Sasa wanasayansi kwenye lab ya CERN walijaribu kuspeed particle kwa kutumia mitambo fulani inaitwa particle accelerator. Particle ilifikia 99.99999% ya speed ya light lakini kila wakijaribu kuongeza energy kuisukuma particle ifikie 100% speed ya light hakuna kitu imeganda kwenye 99.99999% tu.

Sasa kuna njia moja ambayo inasemwa na theorist wa fizikia wengi. Hiyo inaitwa wrapping of spacetime (nimeongelea hapo juu. Mfano tuseme tuwe na uwezo wa kukunja ardhi ya dodoma na ya Dar es salaam tukatengeneza umbo kama la 'U' umbali then wa kutoka Dodoma utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa sana. Sasa hii uifanye hapo juu hewani(space) ukunje uwazi wa kati ya Dunia na Jua then safari ya kwenda Juani ichukue dakika 5 tu kwa rocket (Mwanga unatumia Dakika 8) hapo utakuwa umesafiri kwa speed zaidi ya mwanga . Sasa ukisafiri kwa speed zaidi ya mwanga mda wako unaanza kurudi nyuma and hauende mbele tena (kama nilivyoelezea hapo juu)

View attachment 1079447

Sasa shida moja ya hii kitu inakuwa ngumu kumeza kwamba nikirudi nyuma kwenye muda nikaenda nikamuua mshua/father kabla hajanizaa sasa nani atanizaa.

Stephen Hawking aliamua kufanya party siku moja chuoni kwake pale Cambridge University kwa ajili kuhusu time travel,. Alikaa pekee yake kwenye ukumbi mpaka mda wa party ulipoisha kesho yake ndo akagawa kadi za mwaliko kwenye party yake kwamba karibuni kwenye party yangu niliyoifanya jana kuhusu mambo ya time travel

mkuu lengo lake kama kuna time travel basi hata kama ni miaka 200 mbele wangeona mwaliko then watravel into past kuhudhuria party. Kwahiyo kama hakuna aliyekuja basi there is no time travel.

But no one knows the future, what is science fiction today might be a science fact tomorrow, in fact this is what has always been, kupaa angani, kwenda mwezini where science fictions in the past but today are scientific fact.
mkuu chukua tano !...una akili kubwa kuelezeanhivi haya mambo sio kazi rahisi, kwangu umekua kivutio na kunitoa ujinga

kwa ulivoandika umenisaidia kuelewa 75% ya vitu nilokua siviewi aksante sana...ila jaribu kuedit maandishi yako kila neno lina madini ko kuna mahala unatuacha(makosa ya kisarufi).

aksante
 
MWENDELEZO

Kabla ya yote tujue kwamba Newton alitwambia nini mwanzo kabla haka kajama kanakoitwa Einstein hakajazaliwa. Newton alisema kwamba ili ujue/upime speed ya kitu kwa ufasaha kabisa ni lazima wewe unayepima uwe stationary/yaani usiwe unamuvu kuelekea upande wowote. Kwa mfano ukiwa umepanda Bus unaenda Mwanza, bus lingine likawaovertake utaliona speed yake ni ndogo. Lakini kama mkipishana na bus linatoka mwanza utaona speed yake ni kali sana.
(Yaani hata kama bus zote mbili lililowaovertake na mlilopishana nalo yakiwa na speed sawa yote bado utaliona linalowaovertake lina speed ndogo ukilinganisha na mnalopishana nalo).

Kwahiyo ili uweze kupima speed ya kitu kwa usahihi ni lazima uwe stationary kama huyu dogo hapa chini.

View attachment 1078024
Image

(Kama unavyomuona hapo dogo kasimama kabisa. Basi according to Newton huyo dogo ndo anaweza kupima kwa usahihi speed ya hilo baloon juu kuliko mtu anayekimbia kuelekea upande linakwenda ama anakimbia kuelekea upande linakotoka. Lakini kuna fala mmoja anaitwa Einstein anakwambia huyo dogo hajasimama wala nini ), Einstein anakwambia huyo dogo anamuvu mbona na wala hayuko stationary kabisa , kimbembe cha Theory of relativity kinaanzia hapa sasa.)

Einstein cha kushangaza yupo sahihi kwa 100%, kama nitakavyoeleze hapo chini , tena wewe unayeamini dogo kasimama ndo utajiona fala namba moja . Einstein alikuwa mtu wa imagination sana, jamaa alikuwa anapenda kuimagine sana, ndo maana alikuwa anasema "Genius will take you from point A to point B, but imagination will take you anywhere".

Sasa check maneno. Einstein aliimagine akiwa amesimama nje ya dunia kwenye sayari nyingine huko (labda Jupiter) then amwangalie huyo dogo aliyesimama. Je atamuona kasimama? Jibu ni hapana? Maana dunia inazunguka jua, basi na dogo ataonekana anamuvu na dunia kwa speed ambayo dunia inazunguka jua (dogo si kasimama juu ya dunia? Si dunia pia inamuvu kuzunguka jua? Basi kama dunia inamuvu basi na dogo anamuvu . Mfano kwa picha hiyo chini.


View attachment 1078025
(Hapo kama mtu akiwa nje ya dunia atamuona dogo aliyesimama duniani naye anamuvu kwahiyo sio stationary observer kama Newton alivyosema. Speed ya Dunia kuzunguka juu ni 107,000 km/h. Kwahiyo ndugu hata kama umekaa hapo kwenye sofa basi ujue haujakaa bali anakimbia na dunia. Kaa hapo kwa lisaa limoja na utakuwa umekula route ya 107, 000km ) yaani sawa na kutoka Dar es salaam to New York mara 4 kwenda na kurudi.)

Sasa dogo aliyesimama na kupima speed ya hilo balloon hatapata speed sahihi. Yaani ni sawa na mtu yupo kwenye Bus apime speed ya abiria mwenzake anayetembea ndani ya bus atamuona anatembea kawaida tu but kwa mtu aliyesimama nje ya bus atamuona anatembea kwa speed, maana atajumulisha speed ya abiria anayetembea na speed ya bus alilomo.

Kwahiyo Dunia inazunguka, Solar system Inazunguka, Galaxy yetu ya milk way nayo inazunguka hata universe nayo inasemakana inazunguka, kwahiyo inategemeana na wewe unaangalia kitu ukiwa wapi (ndo tunapata neno "relativity"). Ukiwa umesimama ndani ya bus, aliyesimama nje ya bus atakuona unamuvu, hata aliyesimama ardhini naye, ataonekana anamuvu akiangaliwa na mtu aliyesimama Jupiter/juani, aliyesimama Jupiter au juani, ataonekana anamuvu akiangaliwa na mtu aliyesimama nje ya solar system, aliyesimama nje ya solar system, akiangaliwa na mtu ambaye yupo galaxy nyingine (andromeda galaxy) ataonekana anamuvu na speed ya galaxy yetu ambayo pia inazunguka. Kwahiyo mlolongo unaenda bila mwisho .

Basi relativity inaathiri kila kitu kilicho kwenye universe kama: space, time, matter, motion, mass, gravity, energy and light.

Sasa kwa kuwa aliyeuliza swali amejikita kwenye time basi nitajaribu kuelezea kuhusu theory inaapply je kwenye time

Vitu vya kukubaliana kwanza.

1. The speed of light is constant (299,792km/per second)
2. Speed = distance/time.

Kwenye mwendelezo ujao nitaongelea hivo viwili na relation yake na mambi ya time travel, yaani kama unaweza ukasafiri kwenda Jana . Kukuibia siri tu, it is possible theorically lakini practically kuna ka ugumu kadogo mpaka wanasayansi wakikaweka sawa ndo tunaweza safari kwenda juzi bila wasi kabisa.

Typo Errors mnivumilie kama zipo.
You are genius my g
 
Good, umeanza kuelewa. Hence "chini, kudumbukia, kushuka n.k" != (not equal to) "space-time continuum". Now, tafadhali admit kwamba hakuwa sahihi na kwamba post zako zilizopita zina alot of illogical statements / logical inconsistency / absurdity.

PS: Next time don't spread logical inconsistency while trying to hide under the bush of "Laymen understanding", it will always backfire. Sio mbaya wala sipo against kusimplify mambo ili wengi waelewe kwa upana zaidi, ila nipo very against kusimplify mambo kwa kulisha wengine matango pori. in Mathematics, The equation and proof should always balance regardless of the complexity of the problem and the time it takes to solve it. And the Theory of relativity is nothing more than a mathematical equation.

NOTE; sina intention yoyote ya kucorrect your intellectual stupidity, bali illogical means ulizotumia kuelezea Einstein's Theory of relativity.
Sema we jamaa bhana una matatizo sana
 
Back
Top Bottom